HESHIMA JOHN

482 posts

HESHIMA JOHN banner
HESHIMA JOHN

HESHIMA JOHN

@JohnHeshima

*Nafsi,akili na Mwili* *Author* #hatuazamtoano. #HekayazaMtaa #MtanzaniaMzalendo

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Eylül 2015
1.1K Takip Edilen295 Takipçiler
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
Mara nyingi sisi wanadamu tunakimbia makosa yetu kama vile yanatutafuta. Lakini mtu mwenye Hekima za ki Mkosaji anasimama na kuyaangalia moja kwa moja makosa yake na kuyakabili. Na kukiri: "Nimekosea hapa ila nimejifunza nini!?" #Hekima_za_mkosaji_na_mkosoaji
Indonesia
0
0
0
18
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@zittokabwe Mh @zittokabwe Kabla ya kwenda huko tumejiuliza changamoto ya mfumo tulionao ni nini !? Je ni mfumo wenyewe ama usimamizi na uendeshwaji wa mfumo!?
Indonesia
0
0
0
78
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe
Zitto MwamiRuyagwa Kabwe@zittokabwe·
Wakuu wa Mikoa wachaguliwe na wananchi moja kwa moja, wawe na baraza lao la utendaji, RCC ziwe Bunge la Mkoa. Futa maDC. Wenyeviti wa Halmashauri au Mameya wa Manispaa/majiji wafanye majukumu ya kisiasa anayofanya DC sasa. DED afanye majukumu yote ya kitendaji ya DC na DAS
Joel Ntile@JoelNtile

@Semkae Futa wote DC na RC. Majukumu ya DC kama mhamasishaji wa maendeleo aachiwe Meya au M/Kiti wa Halmashauri. Mengine yanayohusu utawala yabaki kwa RAS na DED. Rais anazo taasisi nyingine ground ambazo ndio jicho lake.

Indonesia
30
23
149
20.5K
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@HildaNewton21 Tatizo ni siasa siasa kila mahali..Inchi haina wazalendo,haina umoja na mshikamano...Tunawaza matumbo yetu tu
Indonesia
0
0
0
85
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
‼️HABARI MBAYA‼️ Huyu kijana anaitwa James Temba ni ndugu wa Mwanamziki wa kundi la TMK Wanaume Family wakuitwa Mhe. Temba James Temba alitekwa na watu wasiojulikana Jijini Dar es salaam siku kadhaa zilizopita jana mwili wake umeonekana ukielea mto msimbazi Tabata huku ukiwa hauna kichwa. Huyu Msanii wenu pamoja na wenzake ni Makada wa CCM, tukiwaambia tuungane pamoja kupinga maswala ya Watu kutekwa, kuuwawa na kupotezwa huwa wanajivuta nyuma kwasababu wanadhan kwamba wao na familia zao wapo salama kwasababu wapo upande wa watekaji, leo na yeye limemkuta mtu wa familia yake. Wapendwa hakuna ambae yupo salama ili wote tuwe salama inabidi kila mmoja bila kujali itikadi wala dini, tuungane kupinga vitendo vya Utakaji na yote yanayofanana na haya. Hii nchi ni yetu sote, haiwezekani kikundi cha watu wachache ndo wawe wanaamua nan aishi na nani afe, HAPANA.
Indonesia
61
220
763
54.7K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Uwepo wa Majaji Wakuu wawili wastaafu katika tume hiyo, ungetakiwa kuleta utimamu wa kisheria na kuziba mianya na mapengo ya kisheria. Ni bahati mbaya sana, hata raia wa kawaida wameyaona mapengo mengi. Tume za uchunguzi wakati mwingine hufanya kazi kwa mujibu wa hadidu za rejea (terms of reference). Hata hivyo, ikiwa matokeo ya tume hiyo yanaathiri haki, mali, au sifa ya mtu, lazima kanuni za haki ya asili zitumike. Ni jambo la kushangaza kuona mchakato wa kisheria au wa kijaji ukikwepa misingi ya kisheria na haki ya asili (natural justice), hususani unapoongozwa na watu wenye uzoefu mkubwa na ubonezi wa juu katika sheria. Katika ulingo wa sheria ya ushahidi, haki ya kuhoji mashahidi (Cross-Examination) ni nyenzo muhimu zaidi ya kupata ukweli. Bila dodoso, mahakama (au hiyo tume) itakuwa inategemea simulizi za upande mmoja. Katika sheria, cross-examination inajulikana kama injini kuu ya kisheria iliyowahi kuvumbuliwa kwa ajili ya kubaini ukweli (the greatest legal engine ever invented for the discovery of truth). Hutakiwi kuikwepa. Bila mtuhumiwa au upande mwingine kupata fursa ya kumhoji shahidi, ushahidi huo unabaki kuwa wa upande mmoja (ex-parte). Tume inakuwa imejenga ukuta badala ya daraja katika kutafuta ukweli na haki. Ushahidi wa aina hiyo kitaalamu unakosa kile kinachoitwa "Admissibility weight" kwa sababu haujafanyiwa jaribio la moto (fire-testing). Mchakato huo unakiuka misingi ya Haki ya Asili (Natural Justice). Katika mahakama nyingi, ushahidi ambao haujapita kwenye dodoso huchukuliwa kama ushahidi dhaifu au wakati mwingine hukataliwa kabisa kwa sababu haujafanyiwa majaribio ya ukweli. Haujapimwa. Dodoso husaidia kufichua uongo, upendeleo, au makosa ya kumbukumbu ya shahidi. Dodoso ndiyo njia ya kupima kama shahidi ni mwaminifu. Je, ana chuki? Je, ana maslahi ya kifedha? Maelezo yake yanalingana? Bila maswali ya dodoso, uaminifu (credibility) wa shahidi hauwezi kuthibitishwa, na hivyo ushahidi wake hauwezi kuwa na probative value ya kumfunga mtu au kumwajibisha. Majaji wastaafu wanafahamu hilo. Kupuuza dodoso ni kuubadili mchakato kutoka wa “kisheria” na kuwa wa “kiutawala” au “kisiasa,” jambo ambalo linafifisha dhana ya utawala wa sheria. Ndiyo wamekwepa kuwataja wahusika wa hayo mauaji. Haki ya Kusikilizwa (Audi Alteram Partem). Hii ni nguzo ya kwanza ya haki ya asili—kwamba hakuna mtu anayepaswa kuhukumiwa bila kusikilizwa. Wametuhumiwa watu na makundi, hawahojiwa. Right to Hearing: Ikiwa tume ilikusanya tuhuma dhidi ya watu fulani bila kuwapa nafasi ya kujitetea (right to be heard), ripoti au mapendekezo ya tume hiyo yanaweza kupingwa kisheria (procedural impropriety). Kwa tume inayohusisha majaji wakuu wastaafu, matarajio ya umma na kisheria ni kwamba taratibu hizi zingefuatwa kwa ukamilifu ili kulinda heshima ya mchakato mzima. Badala yake, hatua zimerukwa Unapokuwa na jopo lenye watu wenye weledi wa hali ya juu (kama Majaji Wakuu wastaafu), tegemeo ni kwamba wataulinda huu mwongozo wa haki ya asili (Natural Justice). Lakini katika tume hii, imekuwa tofauti. Hao mnaosema walipanga, waliratibu, walifadhili waaandamanaji, mmewafikia na kuwahoji? Huo ushahidi usiokuwa na shaka ni ushahidi wa upande mmoja. Kwanini hamjawafikia waliotajwa, na kuwahoji? Kitaalamu, Jaji anafahamu, hukumu au hitimisho lolote linalofikiwa bila kushirikisha upande unaotuhumiwa ni batili kisheria (null and void) endapo itatumika kama msingi wa kutoa adhabu/maamuzi ya kisheria. MMM, Martin Maranja Masese, Mtikila.
Indonesia
26
148
670
30.9K
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
Katika haya maisha,hakuna mkamilifu,sote tu wakosaji,ila pia sote tu wakosoaji wa matendo na fikra zetu,maono na fikra za wengine...Ila yatupasa kuheshimu kanuni za maisha hata pale zinaploeta mgongano. #Hekima_Mkosaji_Mkosoaji
HESHIMA JOHN tweet media
Indonesia
0
0
0
9
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@Sisimizi3 Naona una shida binafsi na familia pamoja na team lowassa...ila huja huwezi mshusha aliyejuu kwa kumvuta chini..
Indonesia
0
0
0
202
Dr. Sisimizi
Dr. Sisimizi@Sisimizi3·
Leo imetimia miaka miwili tangu kifo cha Mzee MAMVI, lakini moja ya vitu hakuvifanya vizuri ni kushindwa kumjengea uwezo mtoto wake, sasa amekua mlevi wa kupindukia na hawezi kushinda hata Udiwani
Dr. Sisimizi tweet mediaDr. Sisimizi tweet media
Indonesia
41
9
191
34.2K
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@MarekaMalili Kuna ndugu yake anaitwa airtel,utajua hujui nini maana ya GB,Kwa jinsi zinavyomezwa kwa sekunde...
Indonesia
1
0
4
389
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Voda huu ulaji wa bando ni next level
Indonesia
29
10
247
12.1K
MR BEN
MR BEN@Eric__Bernard·
Leo Mama Kanisa anaadhimisha Sherehe ya kuzaliwa Bwana wetu Yesu Kristo, Imanueli, Mungu pamoja nasi, Mama Kanisa anatufundisha kwamba, Kristo Yesu amezaliwa mnyenyekevu zizini, katika familia maskini. Wachungaji wa kawaida ndiyo mashuhuda wa kwanza wa tukio hili kubwa. Katika umaskini huo, utukufu wa mbinguni ulionekana. Tumwombe Yesu atusaidie, maneno na Matendo yetu visaidie katika kueneza habari njema ya Kristo aliyezaliwa katikati ya watu wake, tusambaze upendo, tusambaze furaha, tusambaze msamaha na huruma ya Mungu kwa watu wote. Noeli ni Sherehe ya Fumbo la umwilisho, Mungu kuchukua mwili na hali ya kibinadamu. Kama Mungu amethamini utu wetu na kutwaa mwili kama sisi, nasi tunapaswa kujithamini na kuuthamini ubinadamu wetu na kuiheshimu miili yetu. Tusiudhalilishe ubinadamu wetu au kuwadhalilisha wengine. Mtu ana thamani, ameumbwa kwa sura na mfano wa Mungu na Mungu amejiunga naye katika ubinadamu wake. Kwa hiyo, tuondoe yale yote yanayodhalilisha utu wa mwanadamu. Tumuenzi Masiha aliyezaliwa kwa kutenda mema na kuepuka nafasi za dhambi na Mungu atatujaza baraka na neema zake. Heri na baraka tele kwa sikukuu ya kuzaliwa Mwokozi wetu Yesu Kristo, Imanueli, Mungu pamoja nasi. Tumsifu Yesu Kristo!🙏
Indonesia
1
0
7
976
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
Heri ya Sikukuu ya Noel familia
HESHIMA JOHN tweet media
Indonesia
0
0
0
13
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
Kibantu ni kizuri sana and africa is one
Wakanda Forever@Wakanda53431460

@Patriote257 KIRUNDI-Mwiriwe(KIHA-MWIDIWE) KIRUNDI-UZOZA(KIHA-ULOZA) KIRUNDI-URUMVA(KIHA-ULATEGEZA) KIRUNDI-OYA(KIHA-KAYEE) KIRUNDI-NI NZIZA( KIHA-NI NSOLE). KIHA sio Kirundi, ni sawa useme KIRUNDI na Kinyarwanda ni lugha moja, Kuna tofauti.

Indonesia
0
0
0
4
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@INFLUENCERjr Hatuna Taifa Linaitwa Tanganyika,Tuna Tanzania …Tanganyika ilizikwa 1964…Tuipende Tanzania yetu nchi ilioasisiwa na wazee wetu na Sio Tanganyika ya wakoloni…
Indonesia
0
0
0
12
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@MabalaMakengeza Tanganyika is not exist anymore, we have Tanzania MainLand…its independence day of Tanzania Mainland.
English
0
0
0
13
Richard Mabala
Richard Mabala@MabalaMakengeza·
Nawatakieni heri ya sikukuu ya Uhuru wa Tanganyika. No violence ... pande zote
Indonesia
11
48
505
21.6K
McChainiz
McChainiz@McJames95298505·
@JohnHeshima @AnnaTibaijuka 😄 approach iliyotumika kutatua mivutano Kenya haiwezi kutumika kwa Tz kijana. acha kabsaa kujijaza upepo
Suomi
1
0
0
16
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
Tunapoadhimisha miaka 61 ya Uhuru wa Kenya ninatoa pongezi kwa majirani zetu na ninaleta kumbukizi ya wasifu wangu rasmi kwa Hayati RAILA AMOLO ODINGA NA UJASIRI WAKE KUCHAGUA AMANI BADALA YA MADARAKA 2007. Tumuenzi na kujifunza kutoka kwake katika changamoto zinazotukabili leo. Apumzike kwa amani. Baada ya miaka mingi ya kifungo na mateso, kiongozi wa upinzani wa Kenya Raila Odinga alikabiliwa na wakati ambao vurugu zingempa ushindi. Badala yake, alichagua maridhiano—na kwa kufanya hivyo, akaokoa demokrasia ya taifa lake. Nilibahatika kufanya kazi kwa karibu na Raila akiwa waziri wa Ardhi na mimi nikiwa Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa na Mkurugenzi Mtendaji wa UN-Habitat, na pia Mkurugenzi Mkuu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa Nairobi (UNON). Kwa hiyo ninaandika kwa undani. "Mazishi ya Raila Amolo Odinga yanafunga sura ndefu ya historia ya kisiasa ya Kenya—na Afrika kwa ujumla. Anaacha nyuma si tu rekodi ya upinzani na mageuzi, bali pia mfano wa jambo adimu zaidi: kiongozi ambaye, baada ya kuonja ukatili wa madaraka, alikataa kuwarudishia wengine ukatili huo. Maisha ya kisiasa ya Odinga hayawezi kutenganishwa na miaka yake ya kifungo katika miaka ya 1980 na mwanzoni mwa miaka ya 1990. Aliwekwa kuzuizini bila kupelekwa mahakamani kwa takribani miaka minane, akiteswa kwa upweke na udhalilishaji katika seli maarufu za Nyayo House. Miaka hiyo ingeweza kumgeuza mtu yeyote kuwa mwenye kisasi. Badala yake, ilimjenga kuwa na nidhamu. Alitoka gerezani akiwa na imani isiyotetereka kwamba demokrasia, hata ikiwa na mapungufu, ni salama kuliko vurugu. Imani hiyo ilijaribiwa mwaka 2007 -2008 wakati wa machafuko ya uchaguzi uliohatarisha na kulisukuma taifa la Kenya hadi ukingoni mwa vita vya wenyewe kwa wenyewe. Kuhesabu kura kulivurugika; jamii pinzani zilihamasishwa kila moja kutetea upande wake; mamia ya watu walipoteza maisha. Ndani ya makao ya Umoja wa Mataifa Nairobi, tulihisi uzito wa historia ukibisha mlangoni. Tukahofu bila kuchukua hatua maalum nchi itasambaratika. Kama mkuu wa mfumo wa UN nchini Kenya, niliripoti moja kwa moja kwa Katibu Mkuu Ban ki Moon huko New York kuhusu hali halisi na athari zake kwa Kenya na nchi jirani zote ikiwa machafuko hayatadhibiwa. Nilipendekeza kuangalia uwezekano wa mfumo wa kugawana madaraka. Pia nilimshauri aliyekuwa mkuu wangu mstaafu, Kofi Annan, akiwa Ghana wakati huo, naye alikubaliana kuwa upatanishi ulikuwa muhimu na kugawana madaraka kungetuliza mtafaruku. Tulihitaji kwanza kuungwa mkono na mataifa makubwa na Umoja wa Afrika. Kupitia rafiki yangu Mary Chinery-Hesse, Makamu mtendaji mkuu wa ILO mstaafu, akiwa mshauri wa Rais Kufuor wa Ghana ambaye alikuwa Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika, nilifikisha ujumbe huo Accra. Tuliamini Waafrika walipaswa kuhamasisha dunia kuisaidia Kenya kabla ya mgogoro haujateketeza ukanda nzima. Ndipo wazo la serikali ya mseto likaanza kukubaliwa na kusambaa kati ya UN, Umoja wa Afrika, na washirika wa kimataifa. Nilipotoa taarifa kwa washirika Nairobi, niliwasihi maafisa wa Marekani na viongozi wakuu waliotembelea nchi hiyo kufikiria upya kauli zao za mapema za pongezi kwa Rais Kibaki zilizokuwa zikifunga mlango wa mazungumzo. Nilizungumza si tu kama afisa mwandamizi wa UN, bali pia kama mzaliwa wa eneo la Maziwa Makuu niliyeshuhudia tangu nikiwa mtoto mdogo tatizo la wakimbizi wa kwanza wa Rwanda wakivuka mpaka wa Kagera mwaka 1959, kabla ya Uhuru wa nchi yangu Tanganyika. Baba yangu aliwapokea wakimbizi wengi kama 20 nyumbani na mama akalazimika kuwapikia na mimi nilimenya ndizi mikungu mitatu peke yangu mara niliporudi kutoka shule kwa ajili ya chakula chao. Kumbukumbu hiyo haikuniacha kamwe hadi leo. Amani ikivurugika mateso ni kwa wengi hata wa mbali. Mantiki tuliyotumia kwa Kenya ilikuwa rahisi lakini ya mapinduzi: pale uchaguzi unapopingwa hadi kumwagika damu, uhalali wake uko mashakani na unaweza kurejeshwa tu kupitia muafaka kwa ushirikishwaji kukiri makosa na kutenda haki. Inahitaji ujasiri kutoka pande zote.
Indonesia
35
128
458
39.1K
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@Babadancila @MarekaMalili Kama ni muungano why Zanzbar tunaiona ila Tanganyika haipo.!?Kilichafanyika ni kuongeza mipaka ya kiutawala ya Taifa la Tanganyika,na kuanzisha taifa jipya la Tanzania…
Filipino
0
0
0
13
Babadancila
Babadancila@Babadancila·
@JohnHeshima @MarekaMalili Tanzania ni nini kwani? Ninachojua ni muungano wa Tanganyika na Znz, tatizo waznz mnataka uzenji wenu na bado mnataka ya Tanganyika ilihali hamko tayari watanganyika kupata haki mnazozitaka
Indonesia
1
0
0
44
Babadancila
Babadancila@Babadancila·
@JohnHeshima @MarekaMalili Je Tanganyika ina mamlaka kamili? Unazungumziaje waznz kumiliki ardhi Tangayika bila vigezo? Pia waznz kuja Tanganyika kuchukua madaraka nayo imekaa vipi?
Indonesia
1
0
0
45
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@Babadancila @MarekaMalili Kuhusu jina la Tanganyika kufa , ni uamuzi wenu wa Tanganyika kuachana taifa la wakoloni na kuanzisha taifa lenu wenyewe la Tanzania..
Indonesia
0
0
0
15
HESHIMA JOHN
HESHIMA JOHN@JohnHeshima·
@Babadancila @MarekaMalili Bado Na sio kweli mtanganyika hamiliki ardhi Zanzbar,bali sharti ni uwe mzanzbar mkazi(uwe umekaa Zanzbar kwa zaidi ya miaka mitano)
1
0
0
18