Sabitlenmiş Tweet
Mzee mzee
6.4K posts

Mzee mzee
@JoseTillya
Teacher by profession .
Pwani, Tanzania Katılım Kasım 2018
621 Takip Edilen531 Takipçiler

@JoseTillya @Rydx_017 Itabidi niijaribu hii pia. Nilikuwa naamini Total ndio wazuri. Ila kwa sasa naona ni michezo tu hamna kitu
Indonesia

Nimeingia wasi wasi na Total recently. Nadhani wanachakachua mafuta maana nikiweka mafuta kwao Gari performance mbovu. Tofauti na nikiweka station zingine. Nilikiwa naamini ndio bora ila Baada ya kuweka Mafuta kutoka Lake Energies nimeona tofauti sana.
Latto 𝕏@Rydx_017
Mafuta yalivyokuwa Ghali ivi alafu unaniwekea Maji badala ya mafutaaa 😀😀😀 Oyaaaa!!!! Video kwa Comments 👇
Indonesia

@ayubu_madenge Moja ya golikipa Bora sana duniani kuwahi kutokea
Indonesia

Kesho LATRA hawataniangusha
MfinaWiiiseeee@mfinanga_rm
Baada ya bata mfululizo la Pasaka, sasa tuanze kuishi kama bata mpaka mwezi uishe! 🦆😂🙌🏾
Filipino

@samatimemagari @Sativa255 Na hii 18.3 ni kwasababu ni ya 2016 ukichukua ya 2015 au 2017 umeisha
Indonesia

Hapo Ununio kuna sehemu wanauza maji nusu lita 4000/= au 3000/=
Nyamandenge Magufuli@NellyNyamandege
@giboretz maji wanauza 4000 hapo. hii ni starehe kila mmoja acheze anapochezaga
Indonesia

@LawizY_99 @MangiwaKwanza1 @AllyAssed13070 Hao kaka ni wachache sana tz asilimia 80 wanalipwa Hela ya kawaida
Indonesia

@JoseTillya @MangiwaKwanza1 @AllyAssed13070 Watu wanapotosha sana kuhusu kuajiriwa inategemea umeajiriwa sehem gani sioo kila muajiriwa analipwa laki5 sijui million1 au 2. Watu wameajiriwa na wanalipwa vzr sana
Indonesia

@JotiOfficial 😀😀 changamoto sana na hapo ukiomba atoe full anakaza
Filipino

@JoseTillya Kimeo sana. Unapita kwenye barabara yenye taa pembeni, bado anawasha full.
Indonesia














