Eng. Joseph Mulangi

14.1K posts

Eng. Joseph Mulangi

Eng. Joseph Mulangi

@JosephMulangi

Mtanzania mpenda maendeleo| Eng. in Telecom UDSM | Simba Fans | Gunners Developer Beginner...

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Ekim 2020
373 Takip Edilen147 Takipçiler
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania Every Simba player need to wwork hard. What yanga win agaiinst us is quick decision on the pitch working hard ech single ball....tusicheze na mashabiki tuchezw mpira sehemu ya kutoa pasa toa haraka. All the best
English
0
0
0
13
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Lengo la kutwaa ubingwa wa Kombe la Muungano 2026 halipo mbali kukamilika. 29.04.2026 ⌛ #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet media
Filipino
16
24
645
7.8K
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania Derby tutashinda kama tutabadilika kutumia nafasi, kujituma zaidi kuaccha maakosa ya back pass watu haatri kwa yanga ni huyo nzengeli yupo kila mahali tunatakiwa kujituma haswaaaaaa
Indonesia
0
0
0
13
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania Ili kumfunga Yanga tuache uchoyo mbele ya lango huyo mpanzu hafai kucheza hiyo derby mchoyo ye anawaza kupiga bila malengo. Hiyo mecchi kante mafaulo yake ayaache. Hii mechi inahtaj kujituma zaidi ya asilimia 100. Nidhamu uharaka kwenye matukio na kuacha kulalamika sana uwaanjani
Indonesia
0
0
0
17
Panga Boy
Panga Boy@SembeKasuku·
@Engkabora Yani Guest alaf usiku unagongewa mpango na mtu usiemjua unafungua? Unahitaji somo la surveilance mkuu for your own good!
Indonesia
4
0
7
2.2K
Engkabora
Engkabora@Engkabora·
Nilishawahi kulalala gest moja Mtwara mjini ilipofika saa nne usiku niligongewa mlango nilipokwenda kufungua Sikuamini macho yangu nilikutana Mapisi wadogo kabisa chuchu mchongoma. Wamevalia mavazi ya kazi waliniambia "kaka tunatoa huduma Kama hujiskii kulala peke yako chagua mmoja wetu hapa'' Huku wakijizungusha wakionyesha Madako Yao ... Kiukweri Mkuyenge ulijaa Upepo nikaamua kujisotia kitoto kimoja swafi kbs nikachakata Mbususu Usiku kucha.
Engkabora tweet media
Indonesia
67
20
325
55.1K
DailyAFC
DailyAFC@DailyAFC·
Arsenal’s remaining five Premier League games of the campaign are against teams in the bottom half of the table, and are all in London. 👀
DailyAFC tweet media
English
160
124
1.3K
2.3M
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania If kapombe and kibabage will play well on wing we can do something. We need to minimize pressure keep the ball make sure we do not give too much space on counter our will depend on kibabage kapombe and our midfield kagoma to handle pressure @KapombeShomari @RushineDeReuck
English
0
0
0
22
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania Tumepoteza mwelekeo. Hizo pesa tunazouza wachezji tumekimbilia kumleta chama haana msaada wowote huu ni ufisadi ndani ya SIMBA. TUBADILIKE AISEEE MWAKA HUU TUMETIA AIBU
Indonesia
0
0
0
19
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania Mpanzu hatoi pass haraka ni tatizo kubwa, hatutengenezi nafasi kabisa, timu inalinda vzr kule mbele kwa nn alitolewaa morice akaingia chama. Chama kazeeka jamani tunadanganyana tu hiyo hela tungeitunza tutafute mtu haswa, msimu huu tumetia aibu kabiaa @moodewji @SimbafansHQ
Indonesia
0
0
0
17
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania TUKUBALI TU KWAMBA msimu huu timu imeharibika sbb kuondoka fadlu pili tunaondoa wachezaji mno, makocha kila kukicha wanabadilika. Leo timu imejitahd lakini haichez kutafuta matokeo. Tujisahihishe migogoro ya ndani killed, chama aamekuja kisiasa hatu offer chochote @moodewji
Indonesia
0
0
0
18
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania Kapombe alihtaj kupumzika guys. Mechi vs Azam alikuwa uchochoro sana anahtaj muda wa kupumzika. Siku hz kapombe hapandishi timu, pili kaponbe harudi haraka kucover eneo lake. But all the best
Indonesia
0
0
0
48
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Wachezaji wetu sita ambao watakuwa ni sehemu ya kikosi cha Taifa Stars ambacho kitashiriki AFCON 2025. #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet media
Indonesia
21
25
644
15.8K
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@moodewji Wao haya ndio mambo. Tanzania tuna data nyingi sana changamoto kuzichakata tumia technology. This is amazing....
Indonesia
0
0
0
116
Mohammed Dewji MO
Mohammed Dewji MO@moodewji·
Niko mbioni kuzindua Mfuko wa Ubunifu (Startup Fund) wenye thamani ya shilingi bilioni 25 kusaidia wana teknolojia, akili bandia (AI), fintech, na wabunifu wa kiteknolojia hapa Tanzania na Afrika. Tutatoa michango na uwekezaji kusaidia vijana wabunifu wenye mawazo ya kubadilisha dunia. Andaieni mawazo yenu — muda umefika! #Ubunifu #Teknolojia #AI #Fintech #Tanzania #AfricaRising
Indonesia
213
245
1.6K
103.5K
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania Hii simba bila kuwa na msshikamano. Timu kila mtu msemaji mo aanaongea mangungu anaongea magori anaongea kocha anaongea hiyo ni timu au...inatakiwa tuwe na mtu mmoja akisema amesema hata wachezaj watakuwa serious. Me naapumzika na simba aise labda msimu ujao
Filipino
0
0
0
18
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Tumeumizwa wote na kutoka hapa ni kuendelea kuwa #NguvuMoja ili kuipambania Simba yetu.
Simba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet media
Indonesia
124
24
513
37.1K
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Ushindi 💯 na wastani wa mabao matatu kwa kila mchezo tukiwa chini ya Kocha Matola. Na leo tena tukawashangaze wahenga. #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet media
Filipino
61
20
554
31.1K
Eng. Joseph Mulangi
Eng. Joseph Mulangi@JosephMulangi·
@SimbaSCTanzania Bila viongozi ndani ya SIMBA kukubali mabadiliko na kuachaa tamaa mfano sasa hv kun watu hawamataki MANGUNGU MAGORI NA CEO je tutafika. MATOLA ANAIGAWA TIMU MAKUNDI MAKUNDI NI UJINGA WA HALI YA JUU SANA @moodewji
Indonesia
0
0
1
47