Joe Maro 🇹🇿

16.6K posts

Joe Maro 🇹🇿

Joe Maro 🇹🇿

@Josephmaro8

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Aralık 2018
586 Takip Edilen761 Takipçiler
Mchunguzi
Mchunguzi@JMagobe06·
@Josephmaro8 @IAmHaule Yaaani siku hizi hata town ameacha kuja inaniuma sana. Mtu alikuwa vzr kwenye computer bado akaogopa kujitafuta nje ya ajira. Kijijini kuchomoka au kuwa tofauti si kazi ndogo. Na 2018 akasogezwa ndani zaidi na akapewa hako kacheo🙌🙌
Indonesia
1
0
2
30
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
Wewe hapo ni Ajira mpya Umefika hapo kijijini umewakuta wafanyakazi hapo , Si unawaoana wamechoka , si naona mavazi yao eee Si unaona kuna muda wanaokana Kama wapo sawa na wanakijiji Hao walikuja hapo wakiwa Kama wewe umri huo huo na mipango Kama hiyo yako .
Filipino
26
36
445
17.1K
Real Nigger
Real Nigger@MrDepalitto9·
Pale karume kuna wale wazee na umri wa kati kwanzia SAA nne asubuhi tayari wapo wanakunywa kahawa, kucheza draft na kubishana kuhusu simba na yanga mpaka jion, Hivi huwa wanafanya kazi za kupata hela SAA ngap..?
Filipino
27
17
292
14.6K
Joe Maro 🇹🇿
Joe Maro 🇹🇿@Josephmaro8·
@JMagobe06 @IAmHaule Mkuu nikipiga hii hesabu kwa sasa atakuwa na jino moja mdomoni! Na hiyo suruali na shati lilivyopauka ni mungu anajua!
Filipino
1
0
2
37
Mchunguzi
Mchunguzi@JMagobe06·
@IAmHaule Mimi nilipangwa Kazi Longido back in 2009, nikamkuta mwanangu tumemaliza nae chuo tukawa tunapambana kutoka. Mimi nikawa na push sana yeye akaanza kuangalia ka cheo fulani. Nikafanikiwa kutoka nikamuacha. Leo ukimuona hana tofaut na wanakijiji wa kule.inahitaj nguvu kuwa tofauti
Filipino
1
1
8
335
Ibra
Ibra@elchapoza·
@IAmHaule Hakuna kazi ngumu kama kuyabadirisha mazingira.
Filipino
3
0
3
1.1K
Joe Maro 🇹🇿
Joe Maro 🇹🇿@Josephmaro8·
@BlessdGrooveKid @Kidimilo_23 Kumpeleka guest si kuongeza gharama za maisha na vijana wengi hela hawana? Sasa kama ndio anamchumia atakuwa anampeleka wapi? Hotelini? Au wakakutanie kwa wazazi wao? Hizi bangi nyingine tuvute kwa staha!
Filipino
0
0
1
67
Djkid_b_____
Djkid_b_____@BlessdGrooveKid·
Bora nianguke tu kwakweli😅🤝
Djkid_b_____ tweet media
Indonesia
21
18
165
8.8K
ochola..🦅⚠️
ochola..🦅⚠️@therealrigoh·
Wazazi wa sikuhizi hawapigagi watoto kabisa asee Dogo kapasua chupa ya chai kacheka Cheka kapigwa kikofi kimoja amelia akaachwa🙌 Enzi zetu hii ulikuwa ni Moja ya kesi nzito mnoo😂 kesi ya jinai hii🙌😂inabidi usionekane maeneo ya nyumbn siku nzima😁
Indonesia
37
33
359
9.3K
Joe Maro 🇹🇿
Joe Maro 🇹🇿@Josephmaro8·
@kasesco_tz Hii nchi ni kama tunaishi enzi za mababu! Yaani maana ya kuwa na Database ni nini sasa? Ujinga mtu nchi hii! Maana hayo makaratasi wanayoyataka wanayo yote na taarifa zako lukuki!! Hii nchi ni kama hatujui tunataka nini hata kwenye vitu vidogo!! Finger print zilikuwa za nini?
Indonesia
0
0
1
100
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Ukipoteza NIDA Id’ unatakiwa upeleke 1. Loss report 2.barua ya serikali ya mitaa 3.cheti cha kuzaliwa copy na orrignal 4.Nida Id ya Mzazi kama hana upeleke kiapo 5. Passport size 2 6. Elfu 20. Mambo kibao utadhani unataka u renew uhai..🙌🏾
Filipino
74
111
756
20.5K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Madawa ya kulevya wale watu safari hii wanafanya kazi sana sio mchezo. Wale watu kiboko safari hii hawacheki na wowote
Indonesia
6
13
179
3.8K
Joe Maro 🇹🇿
Joe Maro 🇹🇿@Josephmaro8·
@HecheJohn Makamu nani tena huyo anaingiza watu chaka karne hii? Wamesema ile chombo ya NASA ilikuwa imejificha baaharini? Maana siasa za hii nchi ni tatizo kama Corona!
Indonesia
0
0
2
404
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Kutumia media uchwara kujaribu kufanya agenda setting sio kwa kizazi hiki.. Kizazi cha internet kinajua Mpaka Ulaya watu wanavyoishi na wanavyopigania haki.. Ujinga Kama huu ulifanyika kabla ya uchafuzi wenu wa mwaka jana . Mwisho mliishia kuua maelfu ya watu. Watanzania sio wajinga, wanajua wanaolipwa kufanya propaganda za kijinga.
Indonesia
18
176
738
18.5K
Joe Maro 🇹🇿
Joe Maro 🇹🇿@Josephmaro8·
@HastaRuego So vyombo vyetu vya dola vingeshindwa kujua? Maana michubuko, purukushani na mambo mengine ya kitabibu yangeonyesha au hapa ni Paradox mkuu?
Indonesia
2
0
4
572
CHAVO 🌟
CHAVO 🌟@HastaRuego·
Yule mzungu kuna uwezekano kamnyonga yule dada then aka mu hang juu na kamba ionekane kama ni suicide so sad 💔🕊️
Indonesia
14
12
181
10.6K
𝐳𝐚𝐦𝐨_𝐭𝐳
Mke wangu akianza kuongea na simu na mama yake lazima atoke nje au ataongea kimeru ambacho mimi sijui
Indonesia
43
32
317
13.2K
MJOMBA NI MAMA 🦘
MJOMBA NI MAMA 🦘@mjomba__nimama·
Makamu wa Taifa la Malawi nikama hayupo pamoja nao au yeye ana cheza na Akili za wa Malawi kwajili ya Mikaya ya mbeleni...
Indonesia
2
0
9
320
Joe Maro 🇹🇿
Joe Maro 🇹🇿@Josephmaro8·
@SBloga11 @Elsukay0 @fintanjr_ Mkuu unanunua iPhone ya kichina ambayo sio OG lazima uzione kimeo!! JBL OG unafananisha na ipi mkuu tuanzie hapo! Wazungu hawajawahi grade bidhaa kwa jina ni ubora chief!
Indonesia
0
0
0
36
Rich1128
Rich1128@SBloga11·
@Elsukay0 @fintanjr_ Kuna kitu kinaitwa brand n kama Apple simu zao zinachemka hazikai na chaji na ni bei kubwa ila kila mtu anazitaka sasa ndo hyo jbl n ya kawaida mzee ila sasa ukiwakuta vijana wa mjini wakiisifia😂 yan unatoa M1.5 unanunua huo wehu
Filipino
3
0
9
758
EL SUKAYO🇹🇿
EL SUKAYO🇹🇿@Elsukay0·
Hiki ki radio original bei yake ni million 1.5 Tshs Sasa hiki kwa mfano kina maajabu gani😅😅
EL SUKAYO🇹🇿 tweet media
Indonesia
19
21
96
6.3K
Time.
Time.@IMngulu87986·
@Psiteshio1 Haha jana kaja jamaa kasema kanifananisha nikasema siyo mimi! Akanipiga mzinga wa elfu 2 nikampa kiroho safi, kaenda huko baada ya lisaa karudi tena kanikuta pale pale kiti kirefu akasema naomba niongezee elfu 2 nami ninywe Heineken, nikamwambia acha mazoea ya kifala nenda huko.
Filipino
2
0
7
1.9K
P'site Shio
P'site Shio@Psiteshio1·
Unakutana na mtu barabarani unasalimia, kwakuwa mnaenda njia moja ananza story Unajua Mimi Nina nyumba 6, mbili za kwangu Mbili za wapangaji, mbili nimejengea watoto wangu kama zawadi wamemaliza university huko Thailand Mkifika mwisho WA safari anakuomba 1000 😜😜
Indonesia
4
5
63
2.1K
𝐌𝐚𝐱𝐦𝐢𝐥𝐢𝐚𝐧 👑
Kuna watu humu kama wasenge sema ni wasenge tu unatetea upumbavu eti ni makosa Sawa ni makosa kupeleka bidhaa sio vip kuhusu kupokea na kujibu dm ? Muuzaji hapokei cm tangu apeleke mzigo. Nini maana yake? Mafala yana tetea upumbavu mtu kama amekosea asemwe tu sio kutetea.
Suomi
3
8
17
301