Joel Mshana
12.7K posts



@livingmkamba Mara nyingi kushinda kesi kama hiyo ni ngumu, ila unaweza kupima DNA Ili kuhakikisha ni kweli SIo wake then unafungua mashtaka mahakamani
Filipino

@ayubu_madenge Andika comment yako unasubiri nani acomment usome?
Filipino

Ulivyokua lijinga umekuja kuitolea maelezo kml la Bibi yako kibungo nilijua ni muonekano tu huna kumbe mpaka akili zimefifia
Essiiie Kapambala@DadaEstie
Sijawahi Vujisha DM Na Sikutaka Ila Huyu Kanichokoza Mwenyewe. Wanabully Watu Kwa Mtindo Wa Kusifia Kama We Mgeni Maeneo Haya Huwezi Elewa. Hii Acheni Ikae Hapa Make Hata Yeye Sikumtuma Apost Screenshot Ya Picha Yangu✌🏾✌🏾
Suomi

@_zolendronic Tuletee andiko katika bibilia ambalo yesu anakataza ufiraji
Indonesia

@_zolendronic Yes wakiristo, Nchi nyingi za Kikiristo ndio zinaongoza kampeni za uhuru wa kufirana..wana hadi matamasha ya kufirana huko kwa wenye ukiristo. Huwa hadi wanatutishia Watanzania kuwa tukibana uhuru wa Kufirana watatunyima misaada ..Wanasema kufirana ni haki za binadamu
Indonesia

@kelviniii_17 @Bendevelarian98 Misiba ni mingi mno tuna kama wiki mbili hivi kijijini kule watu wanazikwa mbaya haipiti siku tatu bila msiba sijui shida nn
Indonesia

Tusali sana wanangu😭😭
Leo nikitoka kazini,
Nimekutana na kijana mmoja
Akaniomba lift,
kisha tukaanza safari uelekeo kwenda nyunbani,
Kidogo hivi namuona dogo analia,
Nikashtuka na kumuuliza, Oy vp
Mbona unalia mwanangu?
Dogo aliangua kilio so mchezo ikabidi nipaki pembeni,
Nikamsogelea dogo kwa utaratibu na kumkumbatia huku nikimbembeleza aniambie kilichomsibu,
Baada ya muda kupita kama dk 20 hivi,
Dogo aliniita "Bro" nikaitika,
Akanambia "
Nimepigiwa simu nyumbani nimeambiwa mke wangu amepelekwa hospitali masaa mawili iliyopita japo nilipigiwa simu haikuwa inapatikana,
Ila kwa bahati mbaya mkeo kafariki dunia wakati wa kujifungua na mtoto pia kafariki😭💔
Nimejiskia vibaya sana nimekosa cha kumwambia dogo imebidi tulie wote 😭😭
Mwenyezi Mungu amfanyie wepesi .
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un💔🕊
Filipino

@mtakivenance1 @Kicheche_jr Zipo nyingi sema za serikali na sio maarufu kama zile zenye boys/girls only
Indonesia

#TajiriLaKihaya
Mimi nitafukua Makaburi… na MSAADA NITATOA…
Umekua miongoni mwa watu walionipiga Spana kwa kuwasaidia watu Mitandaoni ila leo mm nakutumia Hela mtandaoni na wewe unaomba Msaada mtandaoni kama walivyoomba wale uliokua unawaponda!
Sina Beef na wewe… tunaweka kumbukumbu sawa!
Kama jinsi nlivyowasaidia wale na Leo tunakusaidia wewe… ila ingekua bora kama ungeweka Bill nzima hapa- ili tujue tunachanga kiasi gani!
Mtu anaweza toa laki 5 kumbe bill ni laki 2 au mtu akatoa elfu 50 akajua amemaliza kumbe bill ni milion 5.
UGUA POLE Bro… MWENYEZI MUNGU AKUPONYE na Akujaalie uwe na AFYA NJEMA🙏🏽
Binafsi nipo tayari kwa mchango mwingine- ukiweka taarifa zako sawa!

Filipino



































