K∆L∆SH NiKV

8.4K posts

K∆L∆SH NiKV banner
K∆L∆SH NiKV

K∆L∆SH NiKV

@Kalashnicovic

🇹🇿Yanga & Any team that beats Simba | 🇬🇧Man United & Any team that beats Liverpool |  Apple Products‘ Addict |

📍Jupiter Katılım Haziran 2018
849 Takip Edilen1.1K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
THREE things that I’m pretty sure with; 1. I’ll die one day, 2. My Mom’s love is genuine, 3. I won’t die poor.
English
0
1
4
0
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
Si unakumbuka kipindi kile kwenye NECTA wale wana uliwaficha majibu? Ndo hawa sasa leo umewapa kadi ya mchango wako wa harusi..
Filipino
0
0
0
17
nshomily
nshomily@nshomily1·
@gabyconscious Kwambq mnapataga faida ya 40k kwenye simu mmoja ?? Usitoa taarifa za uongo mzee
Indonesia
2
0
4
6.8K
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
Kwahiyo, 1. AS FAR afe Misri. 2. Kabylie tumpige kuanzia 3 bila? Calculator imezima. ➖✖️➕➗🟰
Filipino
0
0
0
19
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
@EliraNyamu Ni ngumu huwa kuna fake link wanatuma na inaonekana from Apple ukifungua na kufuata maelekezo kazi imekwisha na wanaweza kubeba mpaka hela zako zote kuanzia bank mpaka kwenye mitandao ya simu. Ila bila hivyo bado ni ngumu kuiAccess hasa kwa hizi models za juu.
Indonesia
0
0
0
75
Munyu🌊
Munyu🌊@EliraNyamu·
So apparently all that upuuzi wa kusema huwezi kubypass an Iphone it’s a lie? Mdogo angu kaibiwa simu jana, washenzi wale accessed her phone, disabled find my iPhone, changed passwords including her gmail account, and added passkeys. And so far the police hasn’t been helpful.
English
11
6
87
10.7K
Dr.Julius AlmaS
Dr.Julius AlmaS@DrKessyJulius1·
@spana_Konki @Kalashnicovic Acha kushangaa as if wewe ndio umesikiliza mwenyewe,hakuna mahali Popote alipoongea Uchumi mzuri/mbaya katika clip yake kama unayo Lete Hapa,kitendo Cha kusema Eti mara anapigiwa simu kwenda kijiweni na washkaji,mara mke anamuuliza yuko wapi maana yake alikua na utoto sio Akili
Filipino
2
0
1
45
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
@spana_Konki @DrKessyJulius1 Aisee 😀 hoja yake ilikua oa/olewa unapoona umemaliza ujana na sio unapokua financially stable we hiyo umeitoa wapi? Unadhani angesema unayoyasema watu wangemwona kazingua? Btw clip hiyo hapo taja kuanzia dk ipi kagusia au kuongelea masuala ya hela?
Indonesia
1
0
0
23
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
@Kalashnicovic @DrKessyJulius1 Nalisha au mmekurupuka kuelewa. Sikilizeni eleweni. Kaongea sahihi ila nyie mmeangushia sukari kwenye mfano wake mmoja, hakumaliza hata kutoa mifano kwasababu ya muda wa kipindi. Ila point yake ya msingi ni make sure ni wakati sahihi ili mambo yasiwe mengi. Sikilizeni jamani.
Indonesia
1
0
0
32
Dr.Julius AlmaS
Dr.Julius AlmaS@DrKessyJulius1·
@spana_Konki @Kalashnicovic Hapana Mangi Jamaa aliongea kifala Sana Eti alioa mara washkaji wanampigia aende kijiweni,mara mke anamuuliza uko wapi n.k hakua na hoja ya Msingi kabisa,mara Eti baba angu ananiambia nitulie tu maana mda ulikua haujafika yaani Ujinga tu
Indonesia
2
0
0
36
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
@spana_Konki @DrKessyJulius1 Hakuna sehemu kagusia changamoto ya kifedha kaongelea suala la umri na wakati kwenye suala la kuoa. Labda kma kuna clip nyingine tofauti na ile na hata kesi ya ndoa yake shida ilikua ujana na sio uchumi (kwa mujibu wake). Msikilize vizuri.
Indonesia
2
0
0
25
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
@Kalashnicovic @DrKessyJulius1 Ndio hichohicho kasema alafu akaishia tolea mfano wake mmoja tuu. Sikiliza alivyoanza kuongea na akaja ongeza na caption generally, ndio suala hilohilo, uelewa wa mtu tuu.
Indonesia
2
0
1
45
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
@spana_Konki @DrKessyJulius1 Kwa hoja hiyo uko sahihi bro ila kwa mujibu ile clip ya Farhan hoja yake haikua hiyo unayosema na laiti angesema hivyo kusingekua -ve comments za vile.
Filipino
1
0
0
28
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
@DrKessyJulius1 Una miaka 35, unatamani na una uchu wa kuoa, umri unakwenda ila kazi ya kueleweka huna, unapata vibarua vya hapa na pale vinakusaidia kula kidogo na kujivika usitembee uchi, unakaa kwa ndugu au mwana. Ni kwa namna gani mtu huyu ana sababu za msingi za kuoa?
Indonesia
2
0
3
1K
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
Unamwita mtoto wa watu “My Queen” unaweza kutoa treatments za kifalme? Usije ukaombwa Abaya mbili za Eid kingdom ika collapse..
Eesti
1
0
1
70
K∆L∆SH NiKV
K∆L∆SH NiKV@Kalashnicovic·
Speaking of short-term rental investment, Airbnb is growing tremendously in Bongo and people are now slowly avoiding hotels..
English
0
0
0
44