Sabitlenmiş Tweet
Ricardo Kaká
551 posts

Ricardo Kaká
@KibwachuJr
Tweets siyo maisha yangu | Maisha ni zaidi ya hapa.
Katılım Kasım 2025
48 Takip Edilen55 Takipçiler

Za kihindi, wazungu na kiarabu,benda hoteli za Masaki (siwezi kutaja Jina la hoteli kwa sababu za kibiashara).
Ukitaka rainbow nenda "Mabatini Rd" K/meat....kuna hoteli hapo ndo chimbo lao, ukitaka local contents basi nenda Sinza (Mori to Mapambano)
PABLO@PabloYende
Ukiwa mkoani Huku kwenye Story Tunaambiwaga Dar Kuna sehem Unapata Mbususu za Kizungu, Kiarabu, Kihindi, ni kibunda Chako Tu Haya Niambieni ni wapi? ili nikifika Dar Nipakwepe hapo
Filipino

Kaka @Cowwbama mwambie yule blo akairejee ile kauli isemayo "Ukimwendekeza mwanamke ni sawa sawa na kumeza sindano halafu baadae unakunya mtaimbo
"
Filipino

@allymushi358663 @JoyceHuru Nilizungumzia kuhusu gharama alizotumia kwa janja
Suomi

@KibwachuJr @JoyceHuru Hamna Compasation yeyotte kwa sababu alitoa mzigo mwenyewe hakubakwa
HT

#TajiriLaKihaya
Kwenye hii Issue ya MJULUS kuibiwa…
Hadi sisi wenye NCHI 2?? Au ni nyie tu wenye Nchi 8 kuendelea??
Mdau kutoka DM….
HT

@SportsarenatzTz Amna cha uelewa wala nini, ni swala la maslah binafsi hivi mna kumbuka kwenye wimbo maalumu kwa ajili ya Afcon ( tuliona watu wakiwa wamevalishwa jez ya yanga mimi mpaka leo najiuliza what happene je jezi ya taifa ilikosekana ? 🤔 ) hapo ndio ujue safari ya uzalendo bado ndefu
Indonesia

🇹🇿 | Wakati Tanzania ikiendelea na maandalizi ya Afcon 2027, ni wazi kuwa kuna watu wachache sana wenye uelewa wa kina wa soka la kisasa kama Injinia Hersi Said. 🧠
Huu ni wakati sahihi wa kutumia utaalamu na fikra za watu wa aina hii kwa manufaa ya taifa, ili kuhakikisha maandalizi yanaenda kwa kiwango kinachostahili.
Tusipofanya hivyo, hatari ya kushindwa kufikia matarajio ipo wazi. Lakini tukitumia rasilimali watu vizuri, Tanzania inaweza kuandika historia mpya.

Indonesia

@iHumphreyz Ukitaka kutatua matatizo yanayokukabili jambo la kwanza lazima ukubali kuwa una matatizo hayo then unatafuta namna ya kuyatatua.
Tatizo letu kubwa huwa hatukubali kuwa tuna matatizo na tutabakia hivyo hadi tutakapo badili mindset
Filipino

Mona Mwakalinga, Dean of Faculty UDSJ pia Mwenyekiti wa Bodi ya Filamu nchini Tanzania (akirejea maudhui ya filamu iliyozinduliwa na waKameruni hivi karibuni)anasema;
"Waafrika lazma tuungane tuyatambue matatizo yetu na tuweze kuyatatua sisi wenyewe...
youtu.be/GS5lb-NbIng?si…

YouTube
Indonesia

@Cowwbama @kajuna_alfred kwa mwendo huu kanji ataendelea kutunyoosha hadi tuchakae wallah 🙌
Billy@BillyTronix1
Hii wiki nimepitia mengi inabidi kesho nijipongeze hata na wachumba wawili
Indonesia

@Cowwbama Hii mbona nimeonaga jeshini mtu anayo hasa vibonge. Hadi mwama aliacha kuoga bafu la kushea.
Filipino

@KibwachuJr @JoyceHuru Dah uanaume kazi sana mzee inabidi ukaze kwelikweli otherwise unakula umeme mapema 🤣🤣🙌
Filipino

Nenda Mbinga huko, Tunduru,Morogoro kaangalie mchango wa misaada ya USA kwenye maendeleo....
Awamu ya kwanza ya umeme vijijini ilifadhiliwa na USA kupitia Millennium Challenge....
Walijitoa baada ya watu kigomea mambo ya demokrasia.
Wamejenga barabara nyingi sana za lami
Doctor Mishy🇷🇺@SharonMontana20
Kwa nini misaada kutoka nje haijawahi kuleta maendeleo ya kudumu Afrika?
Indonesia
Ricardo Kaká retweetledi
Ricardo Kaká retweetledi













