@IAMartin_ Tutakuwepo
NB; ungevua miwani wakati unazungumza, tukuone macho. Usikute na wewe unatucheka wafiwa kwenye tinted yako nyeusi. Hadi sasa hatuaminiani…
Ndugu Mkuu wa Wilaya ya Kongwa, umesahu haraka..
Wakati sisi tunasoma huko shule ya msingi tulikuwa tunakimbia mchaka-mchaka asubuhi. Katika mbio mbio zetu kuna nyimbo fulani tulikuwa tunaimbiashwa.
Tulikuwa tunaimbishwa mdundo wa aina hii; “Idi Amini akifa, mimi siwezi kulia.. nitamtupa Kagera, awe chakula cha mamba”… hapo tunaruka na kupiga miluzi mingi.
Au Idi Amini hakuwa binadamu? mlitufundisha kushangilia vifo wenyewe katika shule zetu.…… halafu JOBO alikuwa na matendo ya Idi Amini. Walifanana.
Tulifundishwa kumchukia Idi Amini kutokana na matendo yake ya ukatili kwa binadamu. Hatukuchukia sura yake. Tulifundishwa na kuimbishwa hivyo..
Job Ndugai alizuia mjadala wa Tundu Lissu bungeni. Job Ndugai alizuia mshahara wa Tundu Lissu. Job Ndugai alizuia fedha za matibabu. Alikuwa mtu katili sana.
Matendo ya watawala yanajenga na kuongeza chuki. Hayo mambo yanayokushangaza ni madhara ya chuki ambayo mmeijenga kwa kupuuza mambo mengi..
Ni kweli kwamba siyo utamaduni wa Kitanzania watu kushangilia kifo cha mtu tena ambaye mbunge wao kwa miaka zaidi ya 25.. unajiuliza kwanini wanashangilia!
Lakini hadi watu hao wanaingia barabarani na kuanza kushangilia kifo cha mbinge wao, ni wazi hawaridhishwi na utendaji wake katika madaraka aliyowahu kushika..
Hatujachelewa sana, tunaweza kurejesha umoja na mshikamo wa asili ambao tumeishi tukiona upo. Tendeni matendo mema tu. Unganisheni jamii iliyo na hasira.
Matendo ya kupora haki ya watu kuchagua na kuchaguliwa yanaumiza sana jamii. Watu wanaongozwa na wasiowachagua. Watu wanachaguliwa viongozi.
Matukio endelevu ya watu kutekwa na kupotezwa yanazidi kuongeza chuki ya wazi kwa Serikali na watumishi wa umma. Serikali ipo kimya tu. Inakera.
Pia, ukandamizaji wa haki za msingi; kuwanyima wengine haki za kukutana na kufanya siasa inaongeza chuki kubwa. Mnafungia chama kikuu cha upinzani?
Fikiria; sasa hivi tumefikia hatua ya kuwazuia watu kukusanyika na kufanya ibada kwa kuwa Askofu wa Kanisa alipinga UTEKAJI na kuunga mkono NRNE.
Mnatakiwa kujirekebisha. Watu mliopewa madaraka ya kuongoza watu hamtakiwi kuwatawala. Mnatakiwa kuwaoangoza watu. Tatizo mmekuwa watawala.
Usipoelewa kwanini wananchi wanashangilia mbunge wao kwa miaka 25 basi huwezi kulitatua tatizo katika jamii yako….. utakwenda Kongwa na kisirani sana.
Unaweza kutumia vyombo vya ulinzi katika wilaya kuagiza walioshangilia barabarani katika kijiji hicho wakamatwe; utawashtaki kwa makosa gani?
NB; ungevua miwani wakati unazungumza, tukuone macho. Usikute na wewe unatucheka wafiwa kwenye tinted yako nyeusi. Hadi sasa hatuaminiani…
‼️PIGA KURA‼️
Ukiambiwa leo uchaguzi ni wa haki na huru upige kura
A = Samia Suluhu
B = Tundu Lissu
C = Dorothy Semu
Jibu na herufi au jina na piga kura ktk poll 👇🏾 hapo next tweet
Waungwana, mimi naamini kwa asilimia 100 huyu mshua aliyenyooka tunaweza kumtafuta na kumpata... tumchangie kakitu kadogo, hata buku-buku. Au mnasemaje wadau?
Njia Pekee Ya Wewe MWANANCHI Kulinda KURA Yako Kwa Wivu Mkubwa Ni Kukaa Nayo Mwenyewe. Ukiiweka Tu Kwenye Box Ushaliwa Tayari. NO REFORM NO ELECTION
Naombeni RT 200🤝
Ukisikia “KAZI NA UTU”, ndiyo hiyo 👇 sasa. Hongera sana rafiki yangu @mrishogambo kwa KIVUKO BORA na cha TATU UIMARA DUNIANI. Wale WANAOKUPIGA VITA, nawaambia; WATASUBIRI SANA. Mrisho Gambo TUNAE na TUNATAMBA NAE.
Inaweza ikawa positive au negative wereva lakini CDM wameteka attention ya nchi kuanzia mwishoni mwa mwaka jana mpaka sasa hivi!!
Matukio after matukio!!
Kabla sijaandika THREAD HII,nilijipa muda wa kutosha , kuthibitisha na kujiridhisha na niliyoaandika
Uzii huu ni sensitive sana ,kwani unaweza kuharibu biashara ya mtu au wadhifa wake
Lakini , kwanini nidanganye , ingali naweza sema ukweli ?
MR KUKU -Tariq Machibya
THREAD 👇
@MwananchiNews Uhuru mnaousemea ni upi?? Majuzi tu mlikula ban ya mwezi mmoja jana mmetoka kifungoni eti uhuru wa habari umepanda,kuweni na adabu basii sisi tuna akili na tunaona kinachoendelea.
If you have family history of
🌿Cervical cancer
🌿Breast cancer
🌿Colon cancer
🌿Brain cancer
🌿Prostate cancer
Normalise drinking dandelion leaves tea as often as possible.
Nature heals.