mursal osmond

3.1K posts

mursal osmond banner
mursal osmond

mursal osmond

@kitengo

do whatever u want to do it's longer it's bring u a happenes to u

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mayıs 2011
634 Takip Edilen358 Takipçiler
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@baraka_asege Si jambo baya kumualika mtu wa nje kwenye sehemu kama hizi huyu anaweza akasaidia hata kututangazia baadhibya vitu au kuongeza ushawishi wa vitu
Indonesia
0
0
1
107
Mr.Mbeya
Mr.Mbeya@baraka_asege·
Nielekezwe kwa upole. Hivi ni ipi faida na ulazima wa kumleta DROGBA Bungeni? Kaenda kuongeza nini? Jokate nae anapiga makofi Kwasababu ipi?
Mr.Mbeya tweet media
Indonesia
72
38
565
38.1K
KIPEPE RUNGU🇹🇿
KIPEPE RUNGU🇹🇿@DanfordTun96400·
Iikuwa ni Siku ngumu sana kwa hawa Majanja
KIPEPE RUNGU🇹🇿 tweet media
Indonesia
18
17
182
6.7K
TheProtégéTZ
TheProtégéTZ@giboretz·
Huu ni uwanja upo mkoa gani?
TheProtégéTZ tweet media
Indonesia
8
3
78
3.9K
Troll Football
Troll Football@TrollFootball·
Which record is the hardest to break?
Troll Football tweet media
English
830
1.8K
21.5K
712.3K
mursal osmond retweetledi
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚
Nchi zisizo jiweza, Uchumi wao hupimwa kwa Sarafu ya dolla ya Marekani hapa Nazungumzia Nchi tegemezi. Iran Level Zake si zakupima Uchumi wao kwa dola Yani useme dola 1 sawa na bilioni 10 ya Pesa ya Iran ni kudhihirisha ujinga wa somo lako la Uchumi. Kwa nini dola ina nguvu duniani? Unapaswa ufahamu kwanza nguvu ya Pesa ya Marekani duniani. Nguvu ya dola haiko tu kwa sababu watu wanaikubali, bali kwa sababu👇 👉Biashara ya mafuta, gesi, nafaka, bima ya meli, mikopo ya kimataifa karibu yote inafanyika kwa dola 👉Benki za dunia hushikilia dola kama akiba 👉Madeni ya nchi nyingi yako kwa dola 👉Mfumo wa malipo wa dunia Yani SWIFT, clearing umejengwa juu ya dola Kwa hiyo👉 Ukihitaji kuagiza chochote kutoka nje unahitaji dola. Hapa ndipo nchi tegemezi huumia.i Nchi zinazo👇 👉Kopa IMF 👉Kopa World Bank 👉Kufanya biashara nyingi kwa dola 👉Kuwa na akiba ndogo ya dhahabu, mafuta, au uzalishaji wa ndani Zinafungwa na dola kama minyororo ya Gerezani. Mfano wa Nchi Zetu za Afrika 👉Sarafu zetu huanguka, deni la dola linaongezeka maisha yanapanda bei, serikali zetu hufanya austerity raia huumia Kwa nini Iran haivunjiki kama nchi za Afrika au Asia? Hapa ndipo Mnatakiwa mtulize kichwa profesa niwape Somo vizuri. Iran👇 👉Inazalisha chakula 👉Ina mafuta na gesi 👉Ina viwanda 👉Ina Madawa tiba 👉Ina Viwanda vya silaha 👉Ina umeme wake wa Nuclear 👉Ina Wanasayansi na uhandisi wake 👉Ina soko la ndani la watu zaidi ya milioni 90 Kwa hiyo hata kama👉 Rial ya Iran ishuke mara 10 dhidi ya dola Ndani ya Iran👇 👉Mkate bado ni wa Iran 👉Mafuta ni ya Iran 👉Umeme ni wa Iran 👉Chakula ni cha Iran 👉Madawa Tiba ni ya Iran Hivyo mzunguko wa uchumi wao hauhitaji dola ili uishi. Sarafu ya Iran kwa dola ni si maisha ya Wairan Hii ndio propaganda ya Magharibi kwa vichwa visivyo Elewa Uchumi ni Nini. Wanasema👉“1 USD = 600,000 Rial” Watu wanafikiri Iran imekufa. Lakini swali halisi je👉 Muiran ananunua nini kwa kwa Dola ya Marekani? Mkate, petroli, kodi ya nyumba, usafiri, hospitali Vyote kwa rial, si dola. Kwa hiyo👉Sarafu yao inapimwa vibaya kimataifa Lakini maisha ya ndani hayavunjiki kama nchi tegemezi. Tofauti ya Iran na nchi yako ni hii 👇 Nchi yako👇 👉Inaagiza mafuta 👉Inaagiza Madawa Tiba 👉Inaagiza mashine 👉Inaagiza mbolea 👉Inaagiza chakula Hivyo dola ikipanda👉 Bei za kila kitu zinapanda Iran👇 👉Haitaki dola ili kuishi Ndio maana Marekani inataka kuiangamiza Iran👇 👉Si kwa sababu ya nyuklia. Bali kwa sababu👉 Iran ni mfano wa taifa linaloishi bila mfumo wa dola Iran Inataka👇 👉Afrika 👉Asia 👉Amerika Kusini waige. Na tukiiga Hapo ndipo 👉Dola itaporomoka Mazima. Uchumi wa Iran haupimwi kwa ulinganisho wa dola. Dola ni silaha dhidi ya👉Nchi tegemezi Sio dhidi ya: 👉Nchi zinazojitosheleza Iran ni taifa la uhuru wa kiuchumi, si taifa la IMF wala World Bank. Iran haiweki Pesa zake bank ya dunia wala haina deni huko, Iran haikopi wala haidaiwi na IMF sasa wewe kilaza unapata wapi jeuri ya kulinganisha thamani ya pesa ya Marekani dhidi ya Iran? Iwapo Iran inahitaji Malighafi au Tecnolojia yoyote ile hutumia Dhahabu kupata wanacho kihitaji. Je dola inaunua nini Iran? Baki na Mimi kwa Mengi zaidi yanayo jiri Duniani Na Professor Chotara Mweusi
𝐇𝐚𝐛𝐢𝐢𝐛 𝐘𝐚𝐡𝐲𝐚 tweet media
Indonesia
23
17
100
5.9K
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@Narrowbeeflying Hawa wenye kofia nyekundu si FFU hawa weka mabli na watoto hawa ila hawa wenyekofia nyeusi hawa baadhi yao ukijaa kwenye mfumo imo
Indonesia
0
0
0
17
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Silaha pembeni, Huyu tukizichapa namfua vizuri tu 😊😁
Narrowbeefly tweet media
Indonesia
130
47
733
60.9K
DSZN8𓀀
DSZN8𓀀@Neduszn8·
Without mentioning Kelvin Debryune and Cole palmer , name a player who’s played for Chelsea and Manchester City. LEVEL: very difficult 🤯 Just give up !👀
DSZN8𓀀 tweet media
English
3.7K
143
3.7K
299.3K
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@SwahiliRealTalk Hapo cha kwanza towa vitu vyote nnje fanya usafi ukishamaliza pulizia dawa chumba kizima halafu pulizia vitendea kaz vyako kwa dawa na ufue nguo zote ukiviingiza ndan hakikisha visafi
Indonesia
0
0
0
25
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺
Naomba ushauri wenu wakuu nimetumia dawa zote lakini hawa kunguni bado wananisumbua sana geto 🥹 nifanyaje ili waishe wote wakuu 🥲
Swahili RealTalk🇹🇿🇦🇺 tweet media
Indonesia
243
44
312
55.1K
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@Startony_01 Sasa hapo ndy tunamuangalia vzr mikato yake kama system ilichezewa au laa
Indonesia
1
0
1
6
Startony☀️🎬
Startony☀️🎬@Startony_01·
Wakuu hivi hako kashimo kwenye sikio huwa kana kazi gani?
Startony☀️🎬 tweet media
Filipino
21
12
32
1.4K
Ze Planmaster
Ze Planmaster@ZPlanmaster·
"Muache tu ukimtoa hapo atalia"
Ze Planmaster tweet media
Lietuvių
44
35
144
3.5K
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@ayubu_madenge Kuna watu cyo waoga kbs Ila hapa ndy tunaona uweledi wa wenzetu mtu kakamatwa kawekwa kizuizin ila ikija hku africa hii sura isingetambulika hata kidogo
Indonesia
0
0
1
148
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Mtuhumiwa aliyetaka kufanya shambulio kwenye event aliyokuwepo Rais Trump na makamu wa Rais JD Vance, anaitwa Cole Tomas Allen. Ana miaka 31, mkazi wa California tena ana degree ya Mechanical Engineering toka California Institute of Technology na Master ya Computer Science.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
29
34
717
20.8K
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@TMnyama4_ Japokuwa piki piki ni nyingi ila mafundi haswa wapiki piki ni wachache mno Mafundi wengi wa piki piki wameingiliwa na matapeli na kufanya hii kaz kuwa na changamoto kubwa mno
Polski
0
0
0
78
T
T@TMnyama4_·
Mimi ningekuwa kijana ambaye sina mishe yoyote mjini moja ya kazi ambayo ningeweza kujifunza ni ufundi wa bodaboda au magari na nikajitahidi kuwa master katika fani hii. Ukipata goli lako kuingiza 20,000 kwa siku ni jambo dogo sana. Kijana kuna fani nyingi sana zinalipa ukizijua.
T tweet media
Indonesia
16
14
178
6K
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@TMnyama4_ Kwa zamani miaka ya kuanzia 2010 mpk 2015 ilikuwa inalipa sana Ila kwa sasa si hivyo
Filipino
0
0
0
62
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@Francimramba Bila ya shaka huyu ni mkristo,muislam kuna namna unafundishwa kula huwez kuta mkono ukakaa hv
Indonesia
0
0
0
15
Fraղcis Gustavo
Fraղcis Gustavo@Francimramba·
Ugali wa leo mbona una nata nata mkononi au haujaiva nini?😀😀
Fraղcis Gustavo tweet media
Indonesia
33
16
48
2.9K
Boss
Boss@Boss_941·
Ivi kazi ya haka kadude ilikuaga ni nini👇🏽👇🏽
Boss tweet media
36
24
87
9.7K
ochola..🦅⚠️
ochola..🦅⚠️@therealrigoh·
Hivi Jack Grealish huu ulevi wake ni Hali ya kawaida kweli 🤔 mchezaji professional unawezaje kulewa style hii wakuu Sema huyu kwakuwa ni mwingereza tu ndio mana wanambeba 🙌😳🚮
ochola..🦅⚠️ tweet mediaochola..🦅⚠️ tweet media
Indonesia
23
18
189
17.5K
mursal osmond
mursal osmond@kitengo·
@GraceNguo Nachojua passport ni mali ya serikali na ina sheria zake na kanuni zake na kitu chochote cha serikali ukikichezea bas azabu kali itakukuta
Indonesia
0
0
0
23