KoiTheDigital🇹🇿🇰🇪🇺🇬
14K posts

KoiTheDigital🇹🇿🇰🇪🇺🇬
@Koi_Dickson
Helping business grow online presence, let's talk 😂 | Founder @SmartConnectzz
Dar es salaam, Tanzania Katılım Ağustos 2021
249 Takip Edilen2.2K Takipçiler

Mlikuwa wapi siku zote kufanya haya.
Kwahiyo wakamataji wote wanao kuja kirai sahizi ni ruksa wananchi kuwazuia?
Sentinel Global@SentineGlobal
George Simbachawene Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi, ameagiza jeshi la polisi kuhakikisha kuwa taratibu za ukamataji watuhumiwa zinafanyika kwa kufuata sheria,weledi na staha.
Indonesia

@kasesco_tz Kuna kitu kinaitwa Sheria za asili hii inawaadhibu watu wengi pili ni ubongo unakawaida wa kutiki kitu ambacho unakisimulia sana kua tayari kimefanyika mwisho wa siku hutakifanya tena
Indonesia

@ally_eh Sio Tanzania kaka wala Tanzania bara ni Uhuru wa Tanganyika
Indonesia

@MillanMarketer Kaka ulitaka nirudi wapi wakati nimerudi 😂😂😂
Filipino

@MillanMarketer @LuhambaI Mwambie sio siku tu hata week inakata
Indonesia

Hii Muulize @LuhambaI na @Koi_Dickson Kama Wasipoanza Na Kulia Nahama X...😁😁😁
i-am-vaslisa@MVaslisa
Kwahio kumbe kwenye biashara kuna siku hakuna kabisa mteja, Mungu atusaidie😪🙏🏾
Filipino

@MillanMarketer na mwenzake @LuhambaI hawana tofauti na Manyaunyau
Indonesia

@gabyconscious @JEliuta Kaka hapa mmmmh ila hili linaukweli mkubwa sana
Filipino

@JEliuta Watu wengi wanaosaka validation ONLINE ni psycho ila hawajui kama ni wagonjwa😂
Indonesia

@MillanMarketer @Koi_Dickson @iam_Elknows Pale posta alikua analipiwa ofisi na mumama, nasikia alipata stroke.
Nilishangaa sana mtu analipaje rent ya ofisi 6M/mo auze sms?
Filipino

Mshua masta Hana shida, shida Queen mother 🫵🫵
Ataongea kiswahili, kinyamwezi na kinyaturu kama kifungashio
Torgbuigà@Mr_Ceyram
Something like this please 🤝
Indonesia

😅😅😅😌 acha iniharibu tu kwakweli na kuniua ila siachi 🫨
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar
Tabia gani kutoka moyoni unatamani kabisa kuiacha unaona inakuhabiria maisha lakini umeshindwa kuicha?.
Indonesia

@iam_Elknows Hakuna Mtu Ninayemdai Anilipe Ili nilipie 147K...
@Koi_Dickson @LuhambaI Naombeni hela zangu!... 😂😁
Filipino

Mapaka sasa Kibongo Bongo Hakuna Program Bora ya Kufanya Biashara Facebook na Instagram inayoweza Linganishwa na CASS FORMULA yangu..
Utazunguka Kote Upigwe sanaa..
Kisha Ukipata hii Utalaumu ulikuwa wapi..
Angalia Ofa yake hapa leo
cassformulaoffer.gr-site.com
Indonesia

@MillanMarketer Sasa atajiitaje kampuni na aijasajiliwa huyo ni sawa tu na @LuhambaI
Indonesia

🛡️ “Nilikosa tenda kubwa kwa sababu kampuni yangu haikuwa imesajiliwa.”
Usisubiri hadi ikukute wewe.
#TunasajiliCompanyBure — Ofa ndani ya siku 25
📲 +212 619-291975 | 📞 0744 839 383
Indonesia

📌 Unataka jina la biashara liwe lako kisheria?
Usipofanya usajili, mtu mwingine anaweza kulichukua kesho.
#TunasajiliCompanyBure — Ofa ndani ya siku 25
📲 +212 619-291975 | 📞 0744 839 383
Indonesia




