Trojan Horse 🎭
60K posts

Trojan Horse 🎭
@anon_codex
💎Multi-talented Proficient and creative | Software Developer | Mobile App dev🎭


Wakuu kwani hatuwezi weka hii challenge tumruhusu mtu atoke na gari yake ubungo aende moshi Tuweke ata ela😂





Pesa ipo mezani 5M mtu na gari lake kasema 4hrs net bila sekunde hata moja Inatafutwa 5M , Masaa matatu haiwezekani tushakubaliana







Unakumbuka December tulifika Moshi Kwa masaa matatubna nusu😂 Nyumbani wakaniuliza kwani umekuja na ndege😂😂 Watu wengi hawawezi tembea 140-160 Ila 120-140 Moshi haizidi masaa manne

Namuambia mtuu nimetoka Dar saa saba usiku nimefika Moshi saa 11 alfajiri nimetumia masaa 4 anakata Kwani haiwezekani ?



Namuambia mtuu nimetoka Dar saa saba usiku nimefika Moshi saa 11 alfajiri nimetumia masaa 4 anakata Kwani haiwezekani ?















