Lameck Ditto
28.3K posts

Lameck Ditto
@Lameckditto
Singer & Songwriter | Passionate about Creativity, Media, Writing, Marketing — and occasionally, Politics.


X ni Mtandao wenye Show Off za kijinga, Alafu nyuma ya pazia ni njaa kali, KuFAKE ni gharama sana, Kuliko kuishi kwenye level yako.





Niliwahi kuandika kuwa kosa kubwa tulilofanya kama nchi ni kutopanga miji yetu mapema. Mh @AbdallahKUlega . Ukweli ni kwamba bila uwekezaji mkubwa hata kama ni trilioni 100 kwa ajili ya fidia, upanuzi wa barabara na upangaji mpya wa mji hatutaweza kuondoa tatizo la foleni Dar es Salaam. Suluhisho la kudumu linahitaji maamuzi makubwa, no way. Nipe tu hiyo milion 10.


🚨 BREAKING: Klabu ya Simba SC wameiandikia barua Tanzania Premier League Board wakitaka ufafanuzi wa kuhamishwa kwa mechi kutoka Benjamin Mkapa hadi Amaan Stadium. Wamehoji kwanini taarifa ilitangazwa kwanza na Afisa Habari wa Yanga, Ali Kamwe, kabla ya Bodi yenyewe.








