Mbwidu

1.2K posts

Mbwidu

Mbwidu

@Libazu2

unexplainable

Katılım Eylül 2019
201 Takip Edilen42 Takipçiler
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro amekanusha taarifa za mwanaume aliyedai kuchukuliwa sehemu zake za siri eneo la Kimara, akieleza kuwa ni uzushi unaolenga kutengeneza taharuki.
Indonesia
6
3
59
5.6K
Muskan Mukhtiar
Muskan Mukhtiar@MukhtiarMu24755·
@Samuel47857 @DanielFenelus2 I ask many times from moderators in chat room they did not give a fair Answer about this same Question Some thing is wrong Hope it's going to our favour We need justice we mine pi since 7 years and some who did not participate and take more coins from Exchange @PiCoreTeam
English
2
0
3
269
Daπiel.F
Daπiel.F@DanielFenelus2·
If #PiNetwork had accepted that the Pi of CEXs is equal to the Pi price given as a mining reward, power will be in the hands of the richest and there will be no equity, as they have been talking for years.
English
42
48
664
18.3K
Mafioso
Mafioso@capitanpapilon·
Kuna watoto bado wanaishi kwa hofu, sio kwa sababu ya wao ni nani, bali kwa sababu ya imani potofu. Watoto wenye ualbino bado wanakabiliwa na vitisho, unyanyasaji na ukatili unaochochewa na taarifa zisizo sahihi. Huu si wakati wa kukaa kimya. Ni wakati wa kusimama, kulinda, na kupaza sauti. ✊🏾 Simama dhidi ya ukatili na imani potofu. Linda maisha ya watoto wenye ualbino. #HakiJumuishi #WatotoWenyeUalbino
Mafioso tweet media
Indonesia
3
29
37
1.5K
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@swahilitimes Wasomi wetu hasa wabunifu na wahandisi vipi? Wale wanaojiitaga Eng. Arch. .
Indonesia
0
0
0
18
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amesema zawadi zimeongezwa kutoka kiwango cha shilingi milioni 10 zilizotakiwa kugawanywa kwa washindi watatu watakaoleta suluhu ya foleni, na sasa mshindi wa kwanza atapata milioni 10, wa pili milioni 5 na wa tatu milioni 3.
Indonesia
41
4
107
16.6K
Alpha Index
Alpha Index@Alphaindextz·
🇧🇷 Brazil FIFA Men's World Ranking. 1992 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 3rd 1993 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 3rd 1994 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 1995 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 1996 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 1997 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 1998 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 1999 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 2000 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 2001 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 3rd 2002 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 2003 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 2004 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 2005 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 2006 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 2007 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 2nd 2008 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 5th 2009 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 2nd 2010 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 4th 2011 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 6th 2012 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 18th 2013 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 10th 2014 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 6th 2015 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 6th 2016 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 2nd 2017 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 2nd 2018 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 3rd 2019 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 3rd 2020 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 3rd 2021 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 2nd 2022 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 1st 2023 ➜ 🇧🇷 FIFA Ranking: 5th SOURCES Dataset name: FIFA/Coca-Cola Men's World Ranking (Year-End Positions) Organization: FIFA.
Alpha Index tweet mediaAlpha Index tweet media
English
18
68
2.9K
482.2K
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@PiNewsMedia Time will tell. If listed in Kraken whats Binance?
English
0
0
0
5
Pi News
Pi News@PiNewsMedia·
Who will be the first to win?🤔
Pi News tweet media
English
35
10
171
9.8K
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@Jambotv_ Huyu jamaa ndiye aliyekuwa Mkurugenzi NEC uchaguzi mkuu 2015
Indonesia
0
0
0
15
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Mkurugenzi wa Uchaguzi kutoka Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhan Kailima, amewatahadharisha wananchi na wadau wa siasa nchini Tanzania kuwa kuhamasisha watu kutoshiriki kupiga kura ni kosa kwa mujibu wa Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani ya mwaka 2024. Akizungumza katika mahojiano na kituo cha televisheni cha UTV, Kailima amesema kifungu cha 129 cha Sheria hiyo kinaeleza wazi kuwa mtu yeyote anayetumia nguvu, vitisho, au njia yoyote ya udanganyifu ili kumshawishi mpiga kura kuacha kupiga kura anatenda kosa la ushawishi mbaya, na anaweza kuchukuliwa hatua za kisheria. Kailima amenukuu kifungu hicho ambacho kinaeleza kwamba mtu yeyote anayetumia au kutishia kutumia nguvu, vurugu, au hila ya aina yoyote kumshawishi mpiga kura kupiga au kuacha kupiga kura anatenda kosa la kisheria. “Kwa hiyo mtu yeyote kwa sasa, au kwa niaba ya mtu yeyote, anayeshawishi wapiga kura wasiende kupiga kura ametenda kosa kwa mujibu wa sheria hii, kifungu namba 129,” amesisitiza. Amesema Tume inatarajia mamlaka husika kuchukua hatua kwa wale wote watakaobainika kutoa maneno yanayolenga kuzuia watu kushiriki kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Kailima amewahimiza Watanzania wote kutumia haki yao ya kikatiba kwa amani na kwa uwajibikaji, akisisitiza kuwa kutoshiriki kupiga kura ni mtu binafsi kujinyima nafasi ya kuchagua viongozi anaowataka. “Niwaambieni wananchi wa Tanzania, usipokwenda kupiga kura utachaguliwa Rais usiyemtaka, utachaguliwa Mbunge usiyemtaka, utachaguliwa Diwani usiyemtaka kwa muda wa miaka mitano,” amesema.
Indonesia
140
10
103
15K
Ezekia Wenje
Ezekia Wenje@EzekiaWenje·
Okegoneya Chuma onindo.Nimepokea taarifa ya kuondoka kwako kwa masakatiko makubwa sana. Umenilea, umeniheshimu, umenishauri,tumeenda na wewe maeneo mengi duniani. Ulipanipa exposure kubwa kwenye siasa na maisha yangu.Itoshe tu kusema R.I.P Baba. Okegenoye go with peace.
Ezekia Wenje tweet media
Filipino
238
12
172
77.7K
Daπiel.F
Daπiel.F@DanielFenelus2·
Some believe that DevPis won't be able to tell the difference between a purchased Pi and a mined Pi. They monitor all your transactions via exchange APIs KYB.if they can't identify the origin of your Pi,they'll use AI specifically designed for that purpose. #PiNetwork
English
61
60
611
57.1K
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@mshambuliaji Wee nae kiazi kweli! Huyo Rais wa zamani ni yupi? Hana jina?
Filipino
0
0
0
179
Maulid Kitenge
Maulid Kitenge@mshambuliaji·
Rais wa zamani wa Congo, aliyehukumiwa kifo Septemba 30, ameitisha kongamano la kisiasa nchini Kenya. Kongamano hilo linakuja wiki mbili baada ya kuhukumiwa kifo na Mahakama ya Kijeshi ya Congo, ambayo ilimpata na hatia ya uhaini na uhalifu dhidi ya amani. Katika hukumu hiyo,Mahakama ya Kijeshi iliamuru kutaifishwa kwa mali zake na fidia ya Mamilioni ya fedha. Kwa mujibu wa taarifa, Rais huyo wa zamani wa DRC amewaalika wapinzani kadhaa kwenye mkutano uliopangwa kuanza leo Oktoba 14 jijini Nairobi. #KitengeUpdates
Maulid Kitenge tweet media
Indonesia
13
20
528
35.3K
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@mshambuliaji Ila wew naye sometimes kilumbu kweli! huyo Rais wa zaman hana jina?
Filipino
1
0
0
218
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@udsm_finest sasa unatuuliza sisi ili iweje? huna kazi ya kufanya?
हिन्दी
1
0
0
610
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@azamtvtz sasa hizo rangi zinazofanana na gari za jeshi mmeenda mbali!
0
0
0
57
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@Dr_Picoin sometimes you discouraging people who engaging with Pi Network, sometimes you are encouraging! who kind people like you?
English
0
0
0
44
Dr Altcoin ✝️
Dr Altcoin ✝️@Dr_Picoin·
A few weeks ago, I promised to list business apps from the Pi App Studio that have strong potential and are worth staking your Pi to help improve their rankings. Here are my two main categories so far: 1. Delivery Apps: Millions of Pi users will need delivery apps to order food and goods locally. These apps are an excellent way to enable peer-to-peer (P2P) Pi transactions while providing essential services. 2. Tutoring Apps: Likewise, many Pi users around the world will seek tutors for their children — and will be willing to pay using Pi. Tutoring apps are another great way to support and expand the Pi ecosystem through valuable service offerings. I will continue listing more promising apps in the future. @PiCoreTeam @nkokkalis @Chengdiao
Dr Altcoin ✝️ tweet mediaDr Altcoin ✝️ tweet media
English
19
31
314
16.6K
Simba Sports Club
Simba Sports Club@SimbaSCTanzania·
Waziri wa Fedha na Mipango na mdau wa michezo nchini, Dkt. Mwigulu Nchemba ameunga mkono kampeni ya kuhamasisha mashabiki kukataa jezi feki na kununua orijino kwa kununua jezi 200. #NguvuMoja
Simba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet mediaSimba Sports Club tweet media
Indonesia
24
24
496
24.3K
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@Jambotv_ kwaio uharibifu ukitokea gharama za matengenezo ataleta muhisani? Kuweni na akili nyie warangi
Filipino
1
0
0
148
Jambo TV
Jambo TV@Jambotv_·
VIDEO: Wakazi wa mtaa wa Maji ya Shamba wilayani Kondoa mkoani Dodoma wamelalamikia Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Kondoa (KONDUWASA) kufunga mita kwenye mradi wa maji uliopo maeneo hayo, wakidai kuwa mradi huo si wa serikali bali waliomba msaada kwa wahisani ili waondokane na adha ya upatikanaji wa maji safi. Hayo yamejiri wakati wa mkutano wa hadhara wa mtaa huo uliofanyika baina ya wananchi na mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira ambapo Wananchi hao wameitaka mamlaka hiyo iondoe mita ili waendelee kunufaika na huduma hiyo yenye gharama nafuu. Aidha serikali ya mtaa huo inayoongozwa na mwenyekiti Bw. Emmanuel Jonas amesema alifuatwa kuelezwa juu ya ufungaji wa mita hiyo ambapo alikataa kwa sababu suala hilo bado lilikuwa halijashirikishwa kwa wananchi. Kwa upande wake Msimamizi wa usambazaji maji na usafi wa mazingira Kondoa kutoka Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Kondoa (KONDUWASA), Boniface Mwamkinga amesema mita hiyo haizuii utoaji wa huduma bali walichofanya kama Mamlaka ni utaratibu utakaowasaidia wananchi kupata huduma pamoja na kufanya matengenezo ya miundombinu hiyo pindi itakapokuwa chakavu.
Indonesia
16
21
143
12.9K
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@bbcswahili Jeshi linapaswa kusikiliza matatizo ya wananchi!
HT
0
0
0
31
Malkia Nyuki 👑
Malkia Nyuki 👑@nyuki_malkia·
Ndio binadamu pekee wanaoishi na bikra zao mpaka kifo 🙌
Malkia Nyuki 👑 tweet media
Polski
109
30
842
59K
Mbwidu
Mbwidu@Libazu2·
@DanielFenelus2 Pi Core team said any one saying that communicated with them regarding Pi Network programs is Liar, and you, seems to be a big liar!
English
0
0
0
81
Daπiel.F
Daπiel.F@DanielFenelus2·
The value of Pi is already predetermined, but they have faced a problem: the number of Pi in circulation is too high to produce a real value. That's why a dual-value system was created to support and value only a small amount of Pi. Here's the truth: #PiNetwork
English
92
80
737
34.8K