LEO XXIV
2.3K posts

LEO XXIV
@LordMugo
I walk in truth and love. The trees have shaped me, the waters have cleansed me. My journey is fearless. I am a child of my ancestors, they are with me always.


Solid on his first start 👊 Collins Sichenje is your Player of the Match! 🌟 #cafc

I dated a foreigner for 3 years and he might have set the bar too high for these Kenyan men,You experience a level of masculinity frame our Kenyan brothers don't offer like monthly allowance he'd be like "You're my woman& it's my responsibility to take care of you" 🥹







Start a problematic discourse :


My muslim brothers,Mimi I do not hate you,lakini lazima niwaambie nikiona mkikosea. Because what is love without truth? Wakati ya ramadhan most of you dont fast. And you know this,You just pretend to do so like you are being forced and theres no alternative. Otherwise how can you fast on a full stomach ? Mnakula pilau kilo mbili asubuhi saa kumi na maziwa lita moja,hiyo itawashikilia siku mzima juu ata hamfanyi kazi hii wakati,ni kulala tu tumbo ikiwa imeangalia mawingu juu ya kushiba,by the time metabolism kwa tumbo inamalizika five jioni,mshaafungua. Mnarudi kwa sinia tena,Chapati kilo ingine mbili na dengu imejaa supu ya pili pili. Hiyo inawashikilia mpaka asubuhi. Why are you cheating allah,and yourselves too? Are you being forced? Fasting should be out of goodwill. To show devotion to god that you are not dependent on earthly things,to seek clarity and to also improve metabolic rate. Why fast like you’re being forced,na ndio maana kuna wengine wenu ramadan ikiisha mmeongeza kilo mbaya sana. Hebu tuwe watu wa hekima jameni







