Sabitlenmiş Tweet
Lucк
16.5K posts

Lucк
@Luckiest255
Luкє 1:47 // β|£$$3d αnd G®αt£fu| // Tęâc#£ŕ
Singida, Tanzania Katılım Ağustos 2015
2.1K Takip Edilen1.8K Takipçiler

Msemaji wa Jeshi la Polisi, Naibu Kamishna wa Polisi (DCP) David Misime, leo Jijini Dodoma ametoa ufafanuzi kuhusu taarifa zinazosambazwa na baadhi ya Watu kuhusu madai ya kupotea kwa sehemu za siri za Wanaume pindi wanaposhikwa mabega ambapo amesisitiza kuwa matukio hayo sio ya kweli na ni uzushi unaolenga kuleta taharuki.
DCP Misime ameeleza kuwa uchunguzi uliofanywa na Jeshi la Polisi umebaini kuwa baadhi ya Watu waliodai kupoteza sehemu zao za siri wamekutwa na sehemu hizo baada ya kukaguliwa hivyo Wananchi wanapaswa kupuuza taarifa hizo zisizo na ukweli.
Aidha, amewataka Wananchi kuacha kuamini imani za kishirikina ambazo zimekuwa chanzo cha hofu na taharuki hiyo na kuonya kuwa imani hizo zimesababisha madhara makubwa ikiwemo vifo vya baadhi ya Watu waliouawa na Wananchi wenye hasira kali wakihusishwa na tuhuma hizo zisizo na msingi.
#MillardAyoUPDATES

Indonesia

@kasesco_tz @AmRosalinee Marufuku kuingia kwangu ukiwa umevaa suti.
Indonesia





























