
@Jymesjohnes @BarakaMaviatu Sahihi, ila hiyo ya miaka 70(Tz 50) ni kwa kazi za mtu binafsi kama michoro, uandishi nk. Familia inafaidika miaka 50 baada ya kufa kwa mmiliki. Kwa Tz movies zote zinaexpire miaka 50 baada ya kutengenezwa.
Indonesia
Kwa Wivu Mkubwa
4.1K posts

@MPictuss
Jisomee vitabu vya kiswahili















