James (Baba Kaylor)
15.9K posts

James (Baba Kaylor)
@Jymesjohnes
Experienced Marketer with Advanced skills in Training and Development, Consumer Insight generation and Communication Campaign Design and Execution. KingPin🙏
Dar es Salaam, Tanganyika Katılım Mart 2012
932 Takip Edilen2.2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet

@MPictuss @BarakaMaviatu “Zinaexpire”
Hii setting sio nzuri tungeruhusu Kure-new kama familia ikihitaji kufanya hivyo kama hawana mpango umiliki urudi kwa Umma.
Indonesia

@Jymesjohnes @BarakaMaviatu Sahihi, ila hiyo ya miaka 70(Tz 50) ni kwa kazi za mtu binafsi kama michoro, uandishi nk. Familia inafaidika miaka 50 baada ya kufa kwa mmiliki. Kwa Tz movies zote zinaexpire miaka 50 baada ya kutengenezwa.
Indonesia

@MPictuss @BarakaMaviatu Niliona sehemu kama sikuona vibaya ni 70yrs, key actor akifa familia inakuwa na umiliki wa kazi zake kwa miaka hiyo, lakini wanaweza kure-new ownership. (Kama sikunukuu vibaya)
Filipino

@BarakaMaviatu Baada ya miaka fulani character hawa huwa bure kwa matumizi. Mickey Mouse amekuwa bure hivi karibuni. Na unaweza ukashangaa comics character kama huyo spiderman ni bure kumtumia hapa Tz.
Filipino

Mkoa ambao watu wenye upara wanapigwa nondo za kisogo bigtime!
Lubasha Jr@MarekaMalili
Hoja nzito hii
Filipino
James (Baba Kaylor) retweetledi
James (Baba Kaylor) retweetledi



@MarekaMalili
Kheri ya kuzaliwa my brother, April tutaangiza samaki mid 15th.
हिन्दी

@Jymesjohnes Kiparaa, thank you my G, nasubiri kwa hamu sana ninyooshe maelezo🙏🏼
Indonesia

Kusudi kuu zaidi kuwa na tija, binadamu lazima awe na tija.
DUM@H@stevenduma1
Kusudi kuu la maisha ni kuishi kuwa na kupata furaha, kwa hivyo fanya mambo ambayo hukuletea tu! Furaha, upendo, uhuru, amani na kicheko.
James (Baba Kaylor) retweetledi

Absolutely, Investment zote uanza endapo binadamu Atakuwa amegraduate issue ya chakula
NYANI MZEE@jwise017
Kijana anaye-hustle kwa ajili ya mlo kumpelekea habari za kuweka akiba na kuwekeza ni kumtukana.
Filipino

@fumbokhanJr @Jymesjohnes darasani kwetu nani alikuwa na GPA kubwa ?
Filipino

Asilimia Kubwa wanao Kandia GPA Kubwa ni either walifeli Chuo au hawajafika kabisa au walipata GPA ya Kike Chuo, huwezi kumfananisha mtu mwenye GPA ya 4.7 na GPA ya 2 Kwenye soko la Ajira kamwe.
Kuna Watu hawana Connection wanapata Ajira kwa Kuonesha Uwezo Binafsi ndani ya Interview.
GPA Kubwa ni Muhimu.
Indonesia
James (Baba Kaylor) retweetledi







