MahengeJr
4.7K posts

MahengeJr
@MahengeInlove
Remember the sabbath day, to keep it holy Exodus 20:8
Katılım Mart 2017
2.5K Takip Edilen616 Takipçiler

@Elisalinah31 Matendo yao lazima yaendane na Neno kutoka kwenye Biblia takatifu, Kama si hivyo wao ni manabii wa uongo
Filipino

Kuwatambua kwa matendo yao haimaanishi kutokusoma Bible😂😂
Neno la Mungu linasema “Mtawatambua kwa Matendo yao” To call them out si kuwasema vibaya bali ni kukumbushana kwamba Nyakati za Mwisho kutakuwa na Manabii wa uongo.
EmmaStoree✨@__emmygracee
Seems like You people don’t read your bibles? Haya mambo ya kuwasema vibaya watumishi wa Mungu Sio sawa!
Filipino

@blackboyvictor Kaka unatumia nyundo sehemu ya kutumia Ngumi tu
Indonesia

@blackboyvictor Yaani buku mia tatu kabisaaa?? Ni huruma kwakweli
Indonesia

@DanielKishoka @haxo_runaz @udsm_finest Ameandika sehemu ndogo ya ndoto yote, Ukiipata yote itakusaidia
Indonesia

@haxo_runaz @udsm_finest Bali mlango ni mwembamba, na njia imesonga iendayo uzimani, nao waionao ni wachache.
Mathayo 7:14
Muwe mnasoma Biblia, acheni kukaririshwa vitu vya uwongo.
Indonesia

Ellen G. White, mwanamke ambaye aliwasha taa ya Kanisa la Wasabato,
Lakini pia alizua wingu la "siri" zinazochukua nafasi kwenye mioyo ya watu hapa Tanzania.
Je, alikuwa nabii wa kweli aliyepewa maono ya kimungu, au kuna ukweli uliofichwa nyuma ya hadithi yake kama siri ya kale?
Siri za Ellen G. White
Thread/Uzi
Follow @udsm_finest

Indonesia

@MiriamMkanaka Umenikumbusha mbali, Ukiwa na sh 100 unakua bosi siku hiyo
Indonesia

A mixture of cinnamon & clove has been my most favorite drink lately kama vile @hamzaalbhanj na kahawa za Masaki. This combo appears to be a game changer. Nimechelewa kuijua.
English

@TriciaAbou @ndembo255 Apewe na visheti vya kuuza anapoenda uwanjani
हिन्दी

@ndembo255 jiandae na mechi kesho kaka Gombani stadium
Indonesia

@Rahim_Meghji @muddymtanzania Ni kweli, Baadhi ya kampuni zimepandisha bei ya bidhaa hadi mara 2 ya bei ya awali
हिन्दी

@Rahim_Meghji @muddymtanzania Na hiyo 0.7 imepanda kidogo kwakua kuna wika kadhaa nyuma ilifika 0.3
Filipino

@muddymtanzania 🤝 hata hivo nominal value si ya kuiangalia sana, mchawi purchasing power
Indonesia

Hatimaye tumekumbukwa 🔥🔥😂
Juma ‘Machozi’ Ramadhani@juma_machozi
Wanaume wafupi weusi popote mlipo Mungu awalinde na mahasidi na husda za walimwengu.
Filipino












