ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ
5.7K posts

ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ
@MaverickAds
Mtanganyika - A True Patriot, Independent-Minded. Man Utd & Young Africans SC Fan. BSc (Hons) MSc.
Tanzania Katılım Kasım 2020
401 Takip Edilen465 Takipçiler
ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ retweetledi
ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ retweetledi

Kahaba anayehalalisha mauaji
SIR TIVA@Sativa255
Na huyu ndio WAZIRI wenu wa Ajira aliepata ZERO forn 4. Hana Degree ila anamiliki pHd. Amesoma vyuo vya online viwili ambavyo ukisearch HAVIPO. Huyu ndio anaenda kutatua kero za WASOMI wenye madegree waliokosa ajira. MALAYA kama hawa ndio wanasemaga wameokotwa majalalani.
Indonesia
ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ retweetledi
ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ retweetledi
ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ retweetledi

TUME YA JAJI CHANDE WANAPENDA NAMBA ILA HAWAJUI HESABU
Kwenye report yake anasema watu 758 walitekwa, watu 113 walipatikana ila watu 445 hadi leo hawajapatikana.
Sasa ukipiga hesabu watu 758-113 = 645
Hivyo watu ambao hawajapatikana hadi leo ni 645
Sasa hawa watu 445 Chande aliwatoa wapi?
Kwanini kapunguza watu 200+ kwenye list ya waliotekwa na kupotezwa?
Wamepika report, wamejaza mambo ya uwongo mpaka wamejipiga ngeta.🚮🚮🚮
Indonesia
ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ retweetledi

@MwananchiNews Waandishi wa toilet paper msio na weledi. Hoja ni katiba inaruhusu???
Indonesia

UCHAMBUZI WA DANIEL MJEMA: Rais Samia sio wa kwanza kuteua mpinzani, tuache nongwa
mwananchi.co.tz/mw/kolamu/ucha…
Indonesia

@joeselasini Dah! Itakuwa ndiyo sababu waliyomtoa ni waovu sana... Ukinyooka tu wanakudhuru wanataka machawa tu. Yaani walimkata Mzee Adadi wakamweka Mwana FA🫢
Indonesia

Mimi nakumbuka kwa kuwa nilikuwa ndani ya bunge.
Mkiti wa kamati hiyo alikuwa Mhe Adadi Rajabu aliyekuwa mbunge wa Muheza na DCI mstaafu.
Haishangazi labda ndio maana bunge lililofuata CCM walimbwaga pamoja na kushinda kura za maoni.
PaYRoLL🗽@CoolestDudeOnX
Wangapi wanafahamu kwamba baada ya shambulio la Tundu Lissu, 07/09/2017, Spika aliagiza Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge kufanya uchunguzi, na baada ya ripoti kukamilika, ikatengewa tarehe ya uwasilishwaji. Siku hiyo ilipofika, ghafla, ripoti ile ikaondolewa kwenye ratiba!!
Indonesia


@mwanasoka1 @joeselasini Ibara ya 54(1) na Ibara ya 55(1) za Katiba ya Tanzania ndizo zinazoweka msingi wa Rais kuteua mawaziri kutoka chama kilichoshinda uchaguzi pekee bila kingine.
Indonesia

@lifeofmshaba Mwache akomeshwe...Na yeye mpigaji pia yaani bado anadai bilioni 300 na kitu kwa order hiyooo. Nchi ya ovyo sana hii
Indonesia

Tunawaambia kila siku hauna aliyesalama mbele ya CCM, hata ukiwa mwana CHAMA mtiifu namna gani kuna siku wanakulamba
Huyu mzee amepigania maisha miaka yote, kupitia humo humo CCM wanampa vitenda na miradi, Leo wamemfirisi na kumtoa kwenye jengo na wamechukua jengo lenyewe
CCM wakishajua una mali wanaanza kukusaka kuichukua, wanafanya hivi kwa watu wote, wananchi wa kawaida na wafanyabiashara hata wana CCM
sasa ushenzi kama huu kwa mtu aliyewatengenezea kofia mnategemea mtu mwingine watamfanya nini?
Miaka yote CCM uwa haina utaratibu wa kulipa madeni, ni wahuni, kuna majangili kibao na yana control mpaka mifumo ya bank
Indonesia

The Chanzo: ''Mama asimulia jinsi alivyoshuhudia kijana wake Damour Nyakairo akichukuliwa na watu saba waliofika nyumbani kwao na Landcruiser Nyeupe.
Akizungumza na The Chanzo leo Mei 02, 2026, Lilian Swai ambaye ni mama mzazi wa Damour Nyakairo, ameeleza kuwa kijana wake amechukuliwa asubuhi ya leo na watu waliokataa kujitambulisha, na kumpeleka kusikofahamika.
“Wameondoka naye hatujui kapelekwa wapi. Wametoka huko watu saba wakaja,mimi nashangaa watu wanakimbia mvua au wanakimbia nini? Moja kwa moja wanamfuata Damur na mimi nimekuwa hapa. Wakamshika, wawili wanamshika na mmoja akatoa pingu mfukoni akamfunga. Nikauliza kuna nini [wakasema] tutajua huko huko, nyie nani? Wakasema tutajuana huko huko,” anaeleza Lilian Swai mama wa Damour.
“Kwa hiyo wakambeba watu watatu wakamshika, wakambeba wakamburuza mpaka kwenye gari. Mimi nikawa nataka kuingia na yeye huko, wananivuta wakanitoa nje.”

Indonesia
ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ retweetledi

Responsibility for Tanzania’s sham election and the bloodshed that followed it rests ultimately with the country’s president. Further instability is possible with Samia Suluhu Hassan in charge economist.com/leaders/2026/0…
English
ΜⒶⓥεR丨ᑕⓀ retweetledi

Opposition politicians are behind bars. The media remain muzzled. Outsiders are unlikely to help. A pall of fear hangs over Tanzania. Samia Suluhu Hassan is taking her country down a ruinous road econ.st/42GOzD3
Photo: Xinhua News Agency/Eyevine

English















