JUMA MIRIGO

19.8K posts

JUMA MIRIGO banner
JUMA MIRIGO

JUMA MIRIGO

@JumaMurigo

Mwanaharakati wa haki za binadamu Muhubiri injili ya Yesu iletayo uzima Katiba mpya ni hitaji la sasa

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Haziran 2017
998 Takip Edilen3K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
JUMA MIRIGO
JUMA MIRIGO@JumaMurigo·
Just REPOST
JUMA MIRIGO tweet media
English
11
410
1K
39.2K
JUMA MIRIGO retweetledi
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
NAMSHUKURU BONGO ZOZO KWA MAONI NA USHAURI WAKE MZURI WA KIZALENDO NA UPENDO NA MAARIFA. TUNGEMSIKILIZA TUNGEPIGA HATUA KATIKA MENGI IKIWEMO KUMUACHIA TUNDU LISSU ILI KULILETA TAIFA PAMOJA. WE NEED TO MOVE ON.
Indonesia
99
507
1.9K
31.9K
JUMA MIRIGO retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nikisikia hizi habari za watu kutekwa najisikia vibaya sana. Watu zaidi ya saba mnakwenda kumteka kijana asiyekuwa hatari kwa usalama wa nchi nyumbani kwao mbele ya familia yake? Mnaelewa kweli trauma mnayotengeneza kwa hizi familia? Mnajua chuki mnayoipandikiza kwa jamii? Watu waliomteka Damour Nyakairo, @Ninja_Damour muachieni huko mafichoni aendelee na maisha yake. Hatutaki kuona kijana mwingine anatekwa na kupotezwa. Hatuwezi wote kufikiri na kuwaza sawa. Taifa letu litajengwa kwa msigano wa mawazo. #FreeNinjaDamour
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
17
262
886
23.2K
JUMA MIRIGO retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Huwaga nikisikia Mtu katekwa naziwaziaga sana familia zao. Ndugu zetu wanapitishwaga kipindi kigumu sana. Mungu akawe na NINJA na familia yake kipindi hiki KIGUMU. Lazima tusimame kukema haya mambo ya KUTEKANA sio ubinadamu. #FreeNinja
SIR TIVA tweet media
Filipino
9
241
636
8.3K
JUMA MIRIGO retweetledi
MADOPE🌾
MADOPE🌾@Ugeniaconso·
Naomba rt tako tu show lov kwa mchizi wetu. 🙏🥹💔
MADOPE🌾 tweet media
Indonesia
7
326
449
4.1K
JUMA MIRIGO retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mmeuwa kwa risasi Watanganyika zaidi ya elfu kumi Oktoba 29 na ndugu zetu wengine mpaka leo bado wanauguza majeraha ya risasi na wengine mmewasababishia vilema vya maisha.🥹 Tangu Idd Amin Mama aingie madarakani hadi leo ameteka kupoteza watu zaidi ya 600 tena hii ni kwa mujibu wa Report wenu yenyewe. Lakin bado hajamaridhika mnaendelea kuteka na kupoteza ndugu zetu, imetosha sana mwachieni @Ninja_Damour na watu wote mliowateka. #FreeNinjaDamour #FreeDamour
Hilda Newton tweet media
Indonesia
1
65
168
3K
JUMA MIRIGO retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Leo umetimia mwaka mmoja tangu Mdude Nyagali avamiwe nyumbani kwake na maofisa wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya ambao walimjeruhi na kisha walimteka na kuondoka nae mpaka leo hatujui wamempeleka wapi. Tukikomboa nchi aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Juma Homera na RPC wa Mbeya Benjamin Kuzaga watatuambia waliko mpeleka Mdude.
Hilda Newton tweet media
Indonesia
7
115
370
5.7K
JUMA MIRIGO retweetledi
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Free @Ninja_Damour hii nchi inaogopesha sana mamae💔 tupaze sauti kwa mwanetu awe huru wazee.
Mangi wa Kichaga tweet media
Indonesia
10
231
501
5.5K
JUMA MIRIGO retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Hii ilikuwa jana usiku baada ya Profesa J kutambua uwepo wa Mhe. @HecheJohn kwenye Show ya Bongo Fleva Honors Umati ukalipuka kwa shangwe watu wakaanza kuimba Hecheee!… hecheeeee!.. hecheee!…
Indonesia
8
150
986
23.7K
JUMA MIRIGO retweetledi
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
#Pichani anaitwa Damuru ni mkazi wa Mburahati, ametekwa mida hii na watu wasiojulikana, watekaji walikuwa wamevaa musk nyeusi usoni. Walikuwa na gari ambalo mbele lilikuwa na plate number 125 DFPA na nyuma namba 28957
Hilda Newton tweet media
Indonesia
15
283
905
22.2K
JUMA MIRIGO retweetledi
Fanuel Arsene
Fanuel Arsene@ArseneFanuel·
@EsirEid NISAIDIENI KAZI WAKUU Nina experience ya kazi za microfinance(mikopo) miaka 4 mpk level ya branch manager, elimu ni degrii ya Hisabati na Takwimu, ni dereva pia nina leseni hai, hata kibarua cha 10k kwa siku sawa, mambo ni mbaya,niko Kahama town 0619923421 RETWEET IFIKE MBALI 🙏
Indonesia
0
39
62
2K
JUMA MIRIGO retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Leo nimemsikia MWABUKUSI yule niliekesha kumpigia kampeni—nimemsikia kwa TONE ya uchungu sana akimpigania KIONGOZI wake mstaafu TUNDU LISSU. Sijajua mgeni Rasmi alikuwa nani ila ujumbe umefika KUNAKO.
Indonesia
11
182
1.5K
23.7K
JUMA MIRIGO retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
NI KAZI YA NGUVU YA UMMA KUHAKIKISHA BANGO HILI LINASAMBAA #REPOST
Twaha Mwaipaya tweet media
Filipino
12
590
1.3K
12.1K
JUMA MIRIGO retweetledi
Dada Conso 🐺
Dada Conso 🐺@DadaConso·
Lissu is basically saying.. LETENI NA HIZO KESI ZINGINE.. I CAN HANDLE PRESSURE This man.. is extraordinary 🙌🏿🙌🏿
English
6
96
734
6.2K
JUMA MIRIGO retweetledi
Think Different
Think Different@lifeofmshaba·
Yaani sasa hivi wananchi wamekabia juu ndio anatoa hii milio Lakini chini kwa chini anateka watu kwa kasi sana, Lissu yuko rumande kwa amri za Samia Hivi uwa anatuchukulia je huyu? yeye anatumia tofauti za Hoja kuteka watu, kufunga watu , kuua kupitia wasiojulikana na mwanae Abdul Kama kuna mtu anasikilia huyu mtu ajipange, huyu hakuna kitu anamaanisha akitoka hapo anakiwasha upya, Tukiachia hapa tuliposhikia akapata nafuu kidogo tu atakuja kushambulia tena kwa kasi mbaya sana Hizo tofauti za hoja na SIASA zimeondoa HAKI nchini, watu wanafanyiwa mambo ya ovyo sana
Think Different tweet media
Indonesia
9
37
153
6.6K
JUMA MIRIGO retweetledi
Fanuel Arsene
Fanuel Arsene@ArseneFanuel·
@EsirEid NISAIDIENI KAZI WAKUU Nina experience ya kazi za microfinance(mikopo) miaka 4 mpk level ya branch manager, elimu ni degrii ya Hisabati na Takwimu, ni dereva pia nina leseni hai, hata kibarua cha 10k kwa siku sawa, mambo ni mbaya,niko Kahama town 0619923421 RETWEET IFIKE MBALI 🙏
Indonesia
14
193
360
13.2K
JUMA MIRIGO retweetledi
Anna Tibaijuka
Anna Tibaijuka@AnnaTibaijuka·
HAKIKA RC MTAKA UAMINIFU umetupiga chenga. TUTATESEKA sana . Tunaambizana uongo hata kwa yale yaliyo wazi kwa wengi kwamba yalitokea. Hivyo hasira zinapanda, vidonda vinatoneshwa upya badala ya kupona. Halafu tunadanganyana tutaliponya taifa?. HOW?? Kwa kutafuta kafara badala ya KUTUBU NA KUJIREKEBISHA?
Filipino
45
249
908
33.8K