Mchochezi Pro
1.9K posts

Mchochezi Pro
@MchocheziPro
Governments will come and go, the state is there to stay.




Powering Progress: How Infrastructure and Energy Defined President Samia’s First Four Years. taifadaily.com/powering-progr…


Wafuasi wa CHADEMA wamejitokeza katika Mahakama Kuu ya Tanzania Masijala Ndogo ya Dar es Salaam kwa ajili ya kufuatilia mwenendo wa kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa chama hicho Tundu Lissu. Wafuasi hao pia wamefanya maombi ndani ya chumba cha mahakama kabla ya kuanza kwa kesi hiyo ambayo inatarajiwa kutolewa uamuzi mbele ya Jopo la Majaji watatu akiwemo Jaji Dunstan Ndunguru. Uamuzi huo unatokana na mapingamizi ya Lissu ambaye ni Mwenyekiti wa chama hicho ya kumpinga shahidi wa Nne ambaye ni wa siri kutoka upande wa Jamhuri. #MillardAyoUPDATES

🚨𝐌𝐰𝐚𝐥𝐢𝐦𝐮 𝐰𝐚 𝐬𝐡𝐞𝐫𝐢𝐚 𝐜𝐡𝐚𝐥𝐢𝐢𝐢!!! Hoja zote za mhaini zimepigwa chini isipokuwa hoja moja ambayo Mahakama imesema haina mashiko ambayo haina msingi wa kisheria wa kuathiri mwenendo wa kesi ya msingi kwa upande wa mashtaka. Mwalimu wa sheria matopeni!!! 🤣🤣🤣















