KMchuchuli

2K posts

KMchuchuli

KMchuchuli

@MchuchuliK

1)Mjumbe Kamati Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo 2024-2029. 2)Mbunge Mstaafu (Viti Maalum) 2010-2015.

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mayıs 2020
157 Takip Edilen1.7K Takipçiler
KMchuchuli retweetledi
ACTWazalendo
ACTWazalendo@ACTwazalendo·
"CCM hawawezi kuwachukulia hatua mafisadi. CCM wametoka kuwa Chama Cha Mapinduzi; na jina wanalostahiki ni Chama Cha Mafisadi. Tunataka wahusika wote wa vitendo vya ufisadi na wizi wa fedha za umma wakamatwe na wachukuliwe hatua za kisheria." Katibu Mkuu wa @ACTwazalendo @AdoShaibu #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACTWazalendo tweet media
Indonesia
7
17
34
1.4K
KMchuchuli
KMchuchuli@MchuchuliK·
Kama ilivyo ada. Kila mwaka @ACTwazalendo lazima tuchambue Ripoti ya CAG na kuweka wazi madudu na ufisadi unaofanywa serikalini. Kesho saa 5:00 Asubuhi katika Jengo la Maalim Seif kutafanyika uchambuzi wa Ripoti ya CAG. Waandishi wote mnakaribishwa #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
KMchuchuli tweet media
Indonesia
0
2
5
58
KMchuchuli retweetledi
ACTWazalendo
ACTWazalendo@ACTwazalendo·
Leo Aprili 10, 2026 Kiongozi wa Chama cha @ACTwazalendo, Ndugu @SemuDorothy, amekutana na Mwakilishi wa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Madola, Rais Mstaafu wa Malawi, @LAZARUSCHAKWERA, katika ofisi ndogo za uwakilishi za Umoja wa Mataifa nchini Tanzania. Katika kikao hicho, ameambatana na Makamu Mwenyekiti wa chama Zanzibar, Ndugu @IsmailJussa; Makamu Mwenyekiti Tanzania Bara, Ndugu @MchinjitaIR; pamoja na Katibu wa Idara ya Mambo ya Nje, Ndugu @Mwanaishamndeme. Kikao hicho kimejadili hali ya uchaguzi kabla, wakati na baada ya uchaguzi uliofanyika tarehe 29 Oktoba 2025. #TaifaLaWote #MaslahiYaWote
ACTWazalendo tweet mediaACTWazalendo tweet mediaACTWazalendo tweet mediaACTWazalendo tweet media
Indonesia
1
15
41
3.1K
KMchuchuli retweetledi
ACTWazalendo
ACTWazalendo@ACTwazalendo·
Maazimio ya Kamati Kuu Kuhusu Katiba Mpya. Kamati Kuu imeazimia kwamba @ACTwazalendo kitaongoza mapambano ya kupigania Katiba Mpya kwa vile bila Katiba Mpya hakuna demokrasia na haki. ACT Wazalendo tunataka mchakato wa Katiba Mpya uanze mara moja. Hatua zinazopendekezwa na ACT Wazalendo katika mchakato wa Katiba Mpya ni kama ifuatavyo; a) Kupitiwa upya na kufanyiwa marekebisho kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba (Constitutional Review Act 2011) na Sheria ya Kura ya Maoni (Referundum Act 2011) ili kukidhi matakwa ya sasa na kuhuisha mchakato wa Katiba Mpya. Muswada wa sheria ya kurekebisha sheria hizi uwasilishwe na kupitishwa Bungeni katika Mkutano wa Bunge unaoanza mwezi huu wa Januari, 2026. b) Uitishwe Mkutano wa Kitaifa (National Sovereign Conference) utaoshirikisha wadau wote nchini ili kupata muafaka wa masuala juu ya Katiba ambayo ni nyeti na hayana muafaka ikiwemo Muundo wa Muungano. c) Iundwe Timu ya Wataalam Wabobezi (Committee of Experts) ili kuandaa rasimu mpya ya Katiba. d) Iitishwe kura ya maoni (Referundum) ili wananchi waamue kukubali au kukataa rasimu ya katiba itakayoandaliwa. Makamu Mwenyekiti Bara @MchinjitaIR #MaazimioYaKamatiKuu
ACTWazalendo tweet media
Filipino
0
7
12
699
KMchuchuli
KMchuchuli@MchuchuliK·
@JiniKinyonga Hawamuwezi Mungu humpa amtakaye ' Aliyepewa kapewa" watakauka miili kwa hasada zao
Indonesia
0
0
0
7
Dotto Rangimoto
Dotto Rangimoto@JiniKinyonga·
Kwa hiyo hawa manyumbu, wanataka KCM Zitto afanye nini? Anyamaze, shida! Aseme shida! Kwa hivyo tatizo si kusema wala kunyamaza, tatizo kule Zitto kuwaacha mbali sana viongozi wao. 💪🏿
Dotto Rangimoto tweet media
Filipino
170
4
71
19.3K
KMchuchuli retweetledi
Isihaka Mchinjita
Isihaka Mchinjita@MchinjitaIR·
Ukweli ni silaha muhimu ktk kuleta utengamano wa kitaifa. Hakuna uwezekano wa kupata suluhisho huku tukikwepa ukweli .
Isihaka Mchinjita tweet media
Filipino
1
10
24
1.1K