
@kasesco_tz Wameondoa tu Ilo neno ila ukifuatilia riba ipo ndani kitaalam.
Indonesia
.
196 posts
























@YerickoNyerereT Binafsi—naamini bila chembe ya shaka kwamba ; watu wametoka kwenye maandamano bila kulipwa hata senti moja, na bado wengi wanaendelea kusukuma harakati hizi kwa kujitolea —pasipo kupokea malipo yoyote.









