#MezaHuru
691 posts

#MezaHuru
@MezaHuru
Sehemu Pekee Utapata Simulizi Za Kina Juu Ya Yaliyowahi Kujiri Katika Safari Ya Muziki Wetu Mpaka Sasa. Sikiliza Episode Mpya Kila Siku Ya IJUMAA 🎤 #MezaHuru
Katılım Temmuz 2022
0 Takip Edilen452 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
#MezaHuru retweetledi

@_AbdelazizJamal @MezaHuru Jimmy Kabwe alikuwa anakaa Keko,
Kulikuwa na ghorofa moja mpya ya NHC hapa bora mkabala na jengo la JW ambapo wanakaa wachina miaka hiyo ya 2000 mwanzoni...
Jimmy alikuwa anaishi ya K'lyn wakati huo katoka kushinda u Miss Tz 🤣🤣🤣🤣
Lijamaa nilikuwa nalikubali sana
Filipino
#MezaHuru retweetledi

@MoruoKing @MezaHuru Kazi nzuri sana mnafanya wazee. Kongole kwenu 👍🏾
#MezaHuru retweetledi

#MezaHuru retweetledi
#MezaHuru retweetledi
#MezaHuru retweetledi
#MezaHuru retweetledi

@MkushiBilly @MoruoKing @BabuBomba4 Naaam,
Nae tupate kumsikia akijibu hizi maswali shazi from home to kila sehemu kunako mashabiki wake!!!
@MezaHuru @lordeyesmweusi
Indonesia
#MezaHuru retweetledi

Shukrani kwa support my Brother! Enjoy! Cc: @IamNchaKALIH Tulijadili hili siku moja,now go get your copy Brethren and let's talk on the other side! Cheers!
#MezaHuru@MezaHuru
Dhima kubwa @MezaHuru ni kujua wapi tumetoka kutoka kwenye vinywa vya wasanii na wadau waliokuwepo mstari wa mbele wakati mageuzi ya tasnia yetu ya Muziki wa kizazi kipya yanaanza hivyo kuelewa zaidi hapa tulipo na tunapokwenda.
English
#MezaHuru retweetledi

Kitabu yangu tayari ipo site
Ni mambo kusoma TU sasa
S/O to @MikeMhagama kwa hii jambo.

#MezaHuru@MezaHuru
Dhima kubwa @MezaHuru ni kujua wapi tumetoka kutoka kwenye vinywa vya wasanii na wadau waliokuwepo mstari wa mbele wakati mageuzi ya tasnia yetu ya Muziki wa kizazi kipya yanaanza hivyo kuelewa zaidi hapa tulipo na tunapokwenda.
Filipino

Unaweza kujipatia nakala yako kutoka kwake kwa kupiga simu namba +255658458495 na utajipatia nakala yako.
Tunasubiria kwa hamu kubwa kufanya nae kipindi ili tupate madini zaidi.
Endelea kuwa nasi.
@IamMasoudJr @Tanzan1anDream @MoruoKing
Filipino

Gwiji la habari na Utangazaji kaka yetu @MikeMhagama ambaye pia wakati huo alitamka kwa mara ya kwanza neno "BongoFlava" redioni amekuja na kitabu chake kilichojaa Simulizi na mengi ambayo wengi hatujawahi kuyasikia popote pale.
Indonesia
#MezaHuru retweetledi

#MezaHuru retweetledi

#MezaHuru retweetledi

#MezaHuru retweetledi

.....ni wao tu ndo walioamua kujiongeza kwa kupata knowledge ya ukamilishaji wa project za audio.
Nikukaribishe kwenye ulimwengu wa CHIZAN BRAIN, kijana mwenye asili ya Kenya, lakini aliamua kutumia maisha yake nchini TZ kwenye studio kubwa ya Wanene! 2/2
#MezaHuruNaCHIZAN 🎙️




Indonesia



