Anti retweetledi

TAARIFA
kijana anaitwa Peter Mtondo Bulakuvye (CHADEMA) alikamatwa jana asubuhi na watu wa Usalama na baadae wakampeleka Oysterbay kwa kosala linalodaiwa la kimtandao. Kwamba aliwatumia meseji Mzee Wasira na Prof Kabudi ya kuwataka wamuogope Mungu watende haki.
Bado yuko Oysterbay Polisi na hawataki kumuachia wala kumpa dhamana.

Filipino





























