Director 🥷
2.5K posts


@kishoka_ Jumapili nitakuwa kabwe,iringa nitapumzika kidogo ila j3 asubuh saa 1 Niko Dodoma
Filipino

@fbuyobe @lifeofmshaba Mambo yakiwa mengi,ichapwe space Moja yenye maswali na majibu,Maana najua UMMA una maswali mengi ambayo hata wao hawana majibu😂
Indonesia

@lifeofmshaba Ninaweza kuonekana kama mtu niliyekosa msimamo kwani nilishafunga huu mjadala.
Lakini kutowasikiliza pia ni ubinafsi hivyo kwa manufaa ya wengi naweka poll
Naipa poll zaidi ya masaa 6 kwani hapo katikati nitakuwa safarini struggling to meet my daily ends.
Indonesia

Mwanzo alikuwa anajibu lakini baada ya kumuukiza issue za Msuya aliyekuwa naye Nairobi ametoa haya majibu
Mwenye akili na atumie akili
Buyobe wewe sio lazima ujibu hapa maana majibu yenu ni kwa kutumia vikosi
Umeshindwa kumkana Msuya
Umeshindwa kueleza ulikuwa unafanya nini Nairobi bila hata mkeo kujua
Umeshindwa kueleza umma why ulikimbia Nairobi na Msuya
Umeshindwa kueleza ulikimbia nini Tanzania na umerudi baada ya tukio
Umeshindwa kuambia umma ulikuwa unaishi na Msuya na azizi
Umeshindwa kueleza baada ya mateso yale tulipotaka kukupeleka Hospital ukakwepa appointment
Uamuzi wa kukaa kimya ni sasa maana hata kumkata tu Msuya umeshindwa maamuzi ni kukaa kimya
Umeeleweka
Tumetunga mjadala
Pia umeshindwa kuja kutukana pale kwa thread maana wewe si ni mbabe
Hivi mtu anayekimbia hatari anaweza kaa Hotelini mwanza ? Mafwele anakimbiwa namna hii ?
Uzuri huko mnavuja sana na umewahujumu sana hata wao
Fortunatus Buyobe@fbuyobe
After a thorough consultation and for the benefit of restoring total focus, I have decided not to anymore answer accusations directed towards me. It is against this background, this will be my last post to strongly condemn and denounce all weapons shaped and aimed at me. I do it for the love of unity in a community believing in democracy, rule of law, justice, and the likes. And, as we focus on fighting our common enemy, the dictatorship and bureaucrat government. Any divide between us benefits the enemy
Indonesia

It is time kuwa na public notice kuweni makini na @fbuyobe
Jiepusheni naye kwa namna zote mnazoweza, vyovyote vile natumia hekima sana,
Buyobe ana sura ya pili wengi msiyoijua, anachopost hapo na mambo anayofanya hapa Online sio anachoishi gizani
Huyu sio mpambanaji
Filipino

@Mgonanzi29 @shucom20 @lifeofmshaba Yakubu hayupo active ni mstaafu, alf Mkingule yes yupo active ila alishaondolea kwenye maswala ya kijeshi sasa hivi yupo chini ya wizara ya mambo ya nje mkuu na hawezi rudi jeshini tena kwa namna yeyote ile
Filipino

Huyu Luteni General wa Jeshi yuko kwenye Stress kali kwa kuushishwa na Tume iliyofanya mambo ya kihuni
Jeshini huyo uwa ni namba mbili, na uwa ni mtu mmoja tu mwenye cheo hicho Jeshini,
Kwenye Jeshi ukiondoa CDF anayefuata ni Luten General
Fikiria mtu mwenye uzoefu mkubwa hivyo yamemshinda yuko na stress kali namna hii
Hawa wanashinikizwa kusema uongo hivi wanakubali kwa nini? Majeshi ya kigeni yalikuwepo nchini, kulikuwa na watu wanaongea lugha ya kigeni na wasiojua kiswahili na walipiga watu Risasi Dar, mwanza na Tunduma

Filipino

@Eddie_bojobojo @shucom20 @lifeofmshaba Mkingule ana cheo gani? Yakubu Mohamed still yupo active pia + huyu othman
Indonesia

@Mgonanzi29 @shucom20 @lifeofmshaba Sio kweli kwasasa kamandi zote zipo chini ya mameja jenerali na pia luteni jenerali kwasasa yupo mmoja tu ambae anakuwa mnadhimu mkuu wa jeshi ambae ni active jeshini
Filipino

@Mind255Master @Eddie_bojobojo @shucom20 @lifeofmshaba Yakubu active,mkingule Active ijapokuwa Wana majukum as Ambassador
Indonesia

@Eddie_bojobojo @Mgonanzi29 @shucom20 @lifeofmshaba Wakati Mella bado ni officer, alikuwa Lt General pia, ingawa hakuwa CoS, alikuwa anaongoza walinda amani Darfur. Nadhani ndio muda pekee kulikuwa na 2 Lt Generals.
Nje ya hapo ni General 1, Lt Gen 1 na Mj Gen wengi wengi tu siku hizi
Indonesia

@shucom20 @lifeofmshaba Major gen ni cheo kidogo kwa lut gen,hivyo lut gen hayupo mmoja but wapo wengi wanaongoza Kamandi na majukum mengine
Filipino

@lifeofmshaba Acha uzushi, mnadanganya sana watu! Chini ya General kuna Major Genaral kisha ndo Luteni General! Mnalisha sana watu matangopori kwa kuongea vitu msivyovijua
Indonesia

@Sirajitz1 Ni Jana TU nilitembeza mkono hatari akavunja Hadi glass zake😂😂

Hapa Karume kuna jamaa anauza juisi sasa akikuona anakuita anaanza kukupigisha story kama anakufahamu afu anakupa juisi.
Mnaendelea kupiha story huku anakuuliza habari ambazo utahisi labda anakujua ukimaliza kunywa anakudai pesa ya juisi wakati hukumuomba ulihisi labda ni mwanao kitambo kumbe ndo technique zake za biashara
Sema kuna siku atakuja kujichanganya kwa walugaluga itakua kisanga 😂🙌
Indonesia
Director 🥷 retweetledi

@YoungAfricansSC Kocha wa viungo pia haiwezekanan wachezaji wanaumia kiasi hicho
Polski



















