Mike

62.6K posts

Mike banner
Mike

Mike

@Michael_Goodwil

Knows a thing or two about project management, Operations Management and B2B2C Sales.

Stuck in Tanzania Katılım Kasım 2018
960 Takip Edilen2.5K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
Mike
Mike@Michael_Goodwil·
Wana picha nzuri mitandaoni lakini hawana FURAHA...Kuwa kinyume chake.. #ElimikaWikiendi
Filipino
4
9
87
0
Mike retweetledi
Red🦋
Red🦋@Lilianmbuya2·
Zaburi 63 1 Ee MUNGU, Mungu wangu, nitakutafuta mapema, Nafsi yangu inakuonea kiu, Mwili wangu wakuonea shauku, Katika nchi kame na uchovu, isiyo na maji.
Indonesia
4
11
23
300
Mike retweetledi
Mwacha
Mwacha@Mwacha5·
Mathayo 16:19 Nami nitakupa wewe funguo za ufalme wa mbinguni; na lo lote utakalolifunga duniani, litakuwa limefungwa mbinguni; na lo lote utakalolifungua duniani, litakuwa limefunguliwa mbinguni.
Filipino
2
7
11
91
Mike retweetledi
precious”11:11🌸
precious”11:11🌸@iamdoll__·
Mathayo : 6 : 1 Angalieni msifanye wema wenu machoni pa watu, kusudi mtazamwe na wao; kwa maana mkifanya kama hayo, hampati thawabu kwa Baba yenu aliye mbinguni.
Indonesia
4
9
18
187
Mike retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Nyie ambao hamna bundle la kuandika ‘Free Ninja,’ we see you! Na haina shida. Lakini shida haina adabu!🙏🏽 Free Ninja Now!!
Indonesia
10
365
1K
11.9K
Mike retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Unachukuliwa na watu 7 wenye silaha. Unapigwa pingu mbele ya mzazi wako. Anazuiwa kufuatilia na/au kujua unapelekwa wapi. 24 hrs baadaye, hajui uko wapi, na nani, kwa sababu ipi? Mnaumiza sana familia za watu. Muachieni Ninja. Enough is enough! Free Ninja!!
Tito Magoti tweet media
Indonesia
4
119
266
3.7K
Mike retweetledi
Steph.
Steph.@LifeofSteph_1·
Neno la leo linatoka katika kitabu cha Zaburi 91:9-12, Kwa kuwa umemfanya Bwana aliye tumaini langu, Mungu kuwa makao yako,hakuna mabaya yatakayokupata, wala tauni haitakaribia hema yako; kwa maana atakuagizia malaika zake wakulinde katika njia zako zote" 🙏 #StaysafeNINJA
Indonesia
6
43
92
1.1K
Mike retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
James Temba ameuwawa kikatili sana. Alitekwa - ndugu wametafuta bila mafanikio. Jana mwili umekutwa mtoni Tabata hauna kichwa. Haya mambo yanaogopesha, yanaudhi sana.. nani yuko salama? Nani atahakikisha usalama wetu. RIP James Temba.
Indonesia
18
220
1.2K
26.6K
Mike retweetledi
Francis Mhiche
Francis Mhiche@FrancisMhiche·
“Tukisema kwamba hatuna dhambi, twajidanganya wenyewe, wala kweli haimo mwetu. ” — 1 Yohana 1:8 (Biblia Takatifu)
Indonesia
0
5
28
193
Mike retweetledi
Chapeo Ya Wokovu
Chapeo Ya Wokovu@ChapeoYaWokovu·
2 Timotheo 2:15 Jitahidi kujionyesha kuwa umekubaliwa na Mungu, mtenda kazi asiye na sababu ya kutahayari, ukitumia kwa halali neno la kweli.
Filipino
0
4
12
104
Mike retweetledi
Francis Mhiche
Francis Mhiche@FrancisMhiche·
“Ninyi mkikaa ndani yangu, na maneno yangu yakikaa ndani yenu, ombeni mtakalo lote nanyi mtatendewa. ” — Yohana 15:7 (Biblia Takatifu)
Indonesia
1
5
19
115
Mike retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Tunajali haki na maslahi ya Ninja kwakuwa ukamataji wake ni wa kiholela. Na tunalitaka jeshi la polisi kumuachia mara moja. Free Ninja Now!!
Tito Magoti tweet media
Indonesia
12
428
1.1K
17.3K
Mike retweetledi
Samson Ernest
Samson Ernest@SamsonErnest_·
Moto ulioanza nao katika usomaji wa neno la Mungu na kutafakari, hakikisha unautunza siku zote. Na kama umezima ndani yako, uwashe tena. Mungu yupo tayari kukusaidia.
Indonesia
7
11
27
245
Mike retweetledi
Mwemezi Rwiza, PhD
Mwemezi Rwiza, PhD@SwahiliBible·
Utaimba wimbo gani wa kumsifu/ kumwabudu Bwana Yesu?
Mwemezi Rwiza, PhD tweet media
Indonesia
23
5
70
3.7K
Mike retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Maelfu wamesaini wito kulitaka Baraza la Umoja wa Mataifa la Haki za Binadamu kumfuta kazi Jaji Chande. Chande ni sehemu ya washauri wa Baraza kuhusu haki za binadamu Sudan. Alitumia turufu hiyo kujaribu kumsafisha muuwaji Samia huko UN. Kwa ripoti ile, hana tena uhalali.
Indonesia
38
313
1.6K
26.5K
Mike retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Leo nimemsikia MWABUKUSI yule niliekesha kumpigia kampeni—nimemsikia kwa TONE ya uchungu sana akimpigania KIONGOZI wake mstaafu TUNDU LISSU. Sijajua mgeni Rasmi alikuwa nani ila ujumbe umefika KUNAKO.
Indonesia
11
182
1.5K
24K