MightbeOj

6.6K posts

MightbeOj banner
MightbeOj

MightbeOj

@MightbeOj

Civil engineer👷‍♂️| @chelseaFC

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Nisan 2021
4.5K Takip Edilen2K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
MightbeOj
MightbeOj@MightbeOj·
Mwanamke akikupenda anakuzaa tena 😊
MightbeOj tweet media
Indonesia
65
83
1.8K
105.9K
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Kasha linakwambia nusu ya 100,000 ni 500. Hivi kama sio usenge ni nini?
Indonesia
33
58
523
10.8K
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
HABARI ZA HIVI PUNDE: Iran wamefunga tena mfereji wa Hormuz sababu Israel wamefanya mashambulizi makubwa kwa kundi la Hezbollah lililopo Lebanon ambalo ni washirika wakubwa wa Serikali ya Iran.
Ayubu Madenge tweet media
Indonesia
44
53
1.2K
27.1K
SATIVA
SATIVA@Sativa255·
Kuna wale watu wanaheshima zao kwenye Jamii afu gafla unakuja kumuona live anavuta SIGARA—huwaga inachosha sana. Mfano kuna siku niliona video ya LUGUMI anavuta sigara nilichoka aisee. Kipindi hicho nafuatilia kandanda, mtu niliekuwa namkubali ni HAJI MANARA, nae nikaja kuona anavuta SIGARA nilichoka. Kuna siku tena nikamuona yule Gerald Hando anavuta vile vivespa sijui msibani mbele za watu—vile ni ishara ya kukata kiu ya FEGI nilichoka. Hii starehe ya kuvuta CHIGA (SIGARA) ni ya kipumbavu—hili halina MJADALA.
Filipino
167
128
1.3K
115.9K
MightbeOj
MightbeOj@MightbeOj·
@INFLUENCERjr Mzeee alishawai nimind kinoma kujua nalipa laki mbili kwenye chumba sebure choo jiko😂😂😂😂
Filipino
0
0
1
111
MightbeOj
MightbeOj@MightbeOj·
@SportsarenatzTz juzi bandani kuna mshikaji kasema hili gueye ni machachari ila hana hatari, ni kama akina mpanzu na kisinda tu
Indonesia
4
0
4
1.6K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
💬 | Tuhamie kwa mchezaji anayeitwa Libasse Gueye. Alipoingia katika timu niliona ataleta jambo jipya. Ana kipaji maridhawa lakini nimeanza kuwa na mashaka na msaada wake katika timu. Kipaji siyo kila kitu. Kipaji inabidi kilete bidhaa ya mwisho Bao au pasi ya bao. Libasse anahitaji kubadilika.” — Legend, Edo Kumwembe.
SportsArenaTz tweet mediaSportsArenaTz tweet media
Filipino
28
18
621
31.1K
𝙶𝙰𝙱𝚈 𝙻𝙾𝚅𝙴𝚂 𝚃𝙴𝙲𝙷 7.o
Sema kulea kisasa ghali sana aisee ila bana mtu ana mshahara 400k na ana watoto watano analea bila chanzo kingine cha mapato na anaishi DAR😄🙌🏽
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594

@Mwinshehe07 Huyu Janja Wangu Anatumia Maziwa Ya Laki Na 20 Kwa Mwezi 10k Kodi Ya Meza (Hapo Ndani Kuna Baadhi Ya Mazaga) Kwa Mwezi Ni Laki Tatu Bado Hujaweka Kodi, Mavazi Na Matibabu Kwa MIMI, WIFE Na WATOTO (Wawili) Hapo Bado Familia Za Pande Zote Mbili Hiyo 450k Inatosha Kama Huna Familia

Filipino
13
6
82
7.4K
MightbeOj
MightbeOj@MightbeOj·
wanaume tunatakiwa kulinda tupu zetu aisee😂
Indonesia
0
0
2
32
CoCo🍫
CoCo🍫@YourFrenchFry·
Kikao cha wanaume kilifana. Hongereni 😅
Filipino
22
6
117
36.2K
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Ila humu X…. Watu wanajisahau saana😅 Yule dogo ni juzi tu - tulimchangia hela ya bajaji kutoka Kimara hadi Oysterbay! Leo anatishia watu kushare Bank statement😅😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽
Indonesia
94
54
867
77.3K
MightbeOj
MightbeOj@MightbeOj·
@wilsonjuma08 @EsirEid wewe umenafanya msaada ili uliyemsaidia aje kukuheshimu? nini unakitaka baada ya mtu kumsaidia??
Indonesia
1
0
2
103
Enjoy Football 🌴🏆
Enjoy Football 🌴🏆@wilsonjuma08·
@MwaitegeOseah @EsirEid Wapi pameandikwa hapo baadae uje kusujudu? ubinadam ni hata ukijipata usisahau ulipotoka, haujawahi kuona mastaa waliofanikiwa wana waheshimu sana watu ambao waliwahi wasaidia kipindi wanajitafuta? yani wewe uwe na shida usaidiwe humu alafu siku uje kutambia bank slip humu? mzee
Indonesia
2
0
1
128
Enjoy Football 🌴🏆
Enjoy Football 🌴🏆@wilsonjuma08·
@MwaitegeOseah @EsirEid Hakuna aliemlimit, Mungu akikupa wewe kaka basi ni wakati wako tu, sio sababu ya wewe kutambia watu, kumbuka ulipotoka, kaskize nyimbo ya rayvanny na baraka NIKUMBUSHE.
Indonesia
2
0
1
290
Steph.
Steph.@LifeofSteph_1·
Ee, wewe unafikir watu watakua maskini milele. Labda kama hyo juz unayoisemea ni siku 3 nyuma ya leo.
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿@EsirEid

#TajiriLaKihaya Ila humu X…. Watu wanajisahau saana😅 Yule dogo ni juzi tu - tulimchangia hela ya bajaji kutoka Kimara hadi Oysterbay! Leo anatishia watu kushare Bank statement😅😂🙌🏽🙌🏽🙌🏽

Indonesia
23
17
134
9K
MightbeOj
MightbeOj@MightbeOj·
KAMA KUNA MTU NAJIVUNIA KUSOMA MAANDIKO YAKE APA X BASI NI MARTIN AISEE 🙌🙌🙌
Martin Maranja Masese@IAMartin_

Kulinganisha bei ya bidhaa kama mafuta (petroli/dizeli/mafuta ya taa) kati ya nchi iliyoendelea na nchi inayokua bila kuangalia uwezo wa kununua (Purchasing Power) ni kujaribu kupotosha ukweli halisi wa hali ya maisha. Tofauti ya Kipato cha Wastani (GDP per Capita) ndiyo kigezo kikubwa zaidi kinatumika hapa. Hata kama lita ya mafuta Norway ni ghali mara mbili ya Tanzania, kipato cha raia wa Norway ni kikubwa mara hamsini zaidi. Uwezo wa Kununua Mafuta (Fuel Affordability); hapa utapaswa kuangalia asilimia ya kipato cha kila siku kinachohitajika kununua lita moja ya mafuta kwa nchi hizo ulizotaja (Mfano Netherlands) na Tanzania. Mtu wa kawaida Norway au Netherlands ana mapato mara 50 au 70 zaidi ya mtu wa Tanzania. Hii inamaanisha kuwa gharama yoyote (hata ndogo) inachukua sehemu kubwa zaidi ya bajeti ya familia ya Kitanzania. Tanzania (data 2018–2022, bado inatumika kama kiashiria) na inaonyesha 51.3% ya watu wanaishi chini ya $2.15 kwa siku (umaskini mkali wa kimataifa). Karibu 70% wanaishi kwa kipato cha chini ya $3.65 kwa siku. Katika nchi za Norway, Sweden au Netherlands raia wa kawaida katika nchi hizo anatumia chini ya 1% ya kipato chake cha siku kununua lita moja ya mafuta. Kwao, mafuta ni gharama ndogo sana (pocket change). Mtanzania wa kawaida anayepata kipato cha wastani wa Tsh 15,000 kwa siku, akitakiwa kununua lita moja ya mafuta kwa Tsh 3,800, anatumia zaidi ya 20% ya kipato chake cha siku kwa ajili ya kununua lita moja tu. Kwa akili ya kawaida tu, maumivu anayoyasikia Mtanzania wa kawaida kwa kununua lita moja ya mafuta ya petrolo na dizeli ni makubwa mara 20 zaidi ya anayoyasikia raia wa Netherlands au Norway. Katika nchi kama Sweden, Norway na Netherlands, mfumo wa kodi unarudisha huduma bora za kijamii (shule bure, bima ya afya ya uhakika, usafiri wa umma wa kisasa). Hii kitaalam inaitwa ‘disposable income’ Tanzania, raia wa kawaida anapaswa kutoa fedha mfukoni kwa ajili ya kugharamia ada ya shule, matibabu (ambayo ni gharama kubwa), na usafiri binafsi kwa sababu usafiri wa umma haujitoshelezi. Wakati raia wa Norway akimaliza kununua mafuta, anabakiwa na pesa nyingi ya ziada (disposable income). Mtanzania wa kawaida akimaliza kununua mafuta na chakula, mara nyingi anabaki na deni au sifuri Ulaya, mifumo ya hifadhi ya jamii inawalinda masikini. Tanzania, mfumuko wa bei wa bidhaa za chakula una athari ya moja kwa moja, zaidi ya 50% ya kipato cha kaya Tanzania huishia kwenye chakula pekee. Kujaribu kulinganisha bei ya bidhaa za mafuta ya Tanzania (Tsh 3,900) na ya Netherlands (Tsh 6,000) bila kuhusisha GDP per Capita ni sawa na kulinganisha uzito wa chungwa na uzito wa basi la abiria. Pamoja na kwamba mnafanya kazi ya kuitetea Serikali katili ya mbogamboga, jitahidini kuwaonea watanzania huruma. Mafuta yakipanda bei katika pampu, athari za kiuchumi katika maisha ya kawaida ni kubwa.

Suomi
0
1
6
188