Mnegro

4.3K posts

Mnegro

Mnegro

@Mnegrotz

🫸🫷Golden Rule💪

Katılım Haziran 2022
3.2K Takip Edilen3.4K Takipçiler
Mnegro
Mnegro@Mnegrotz·
@Thommunkondya Itikadi zenu za kuteka na mauwaji ya raia Kila kukicha au unamaanisha nini
Indonesia
0
0
0
9
Thom Mnkondya
Thom Mnkondya@Thommunkondya·
Jioni hii nimefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Seneti ya Vyuo na Vyuo Vikuu Mkoa wa Dar es Salaam, Comrade Shangwe, tukijadili masuala mbalimbali ya UVCCM (Seneti) pamoja na kufanya tathmini ya kongamano la CHASO lililofanyika leo. Amenieleza kuwa hali ni nzuri vyuo vingi vya Dar es Salaam vinaongozwa na viongozi wa serikali za wanafunzi kutoka UVCCM, na juhudi zinaendelea kuhakikisha wanavyuo wengi zaidi wanaendelea kuunga mkono Chama Cha Mapinduzi (CCM). Aidha, katika mkutano wa CHASO wa leo, sehemu kubwa ya washiriki walikuwa vijana wetu waliokwenda kufuatilia na kuelewa kinachoendelea. Kwa upande wa Songwe, kama Mwenyekiti wa Seneti, hali ni imara sana idadi kubwa ya vijana wa vyuo na wasomi wanaendelea kuunga mkono siasa, itikadi na sera za CCM. VIVA Vijana VIVA 💪🏿 #UVCCM #CCM #Vijana #Uongozi
Indonesia
73
7
57
17.2K
Mnegro
Mnegro@Mnegrotz·
@IAMartin_ @Mvuvi_Nyasa Serikali ya @ccm_tanzania ndo imetufikisha hapa kwa maana kuteka kwao ni kawaida na hata watu binafsi wakiwa na personal issues ni rahisi kutumia hiyo loop maana mwenye dhaman ya kukemea na kukomesha utekaji naye ni mtekaji na muuwaji😭😭😭
Indonesia
1
1
2
3K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Nimeona video imesambaa mtandaoni, maiti ya mwanaume imeokotwa ikiwa imekatwa kichwa, inaelea katika bonde la mto Msimbazi eneo la Tabata. Baadae nakutana na chapisho la msanii, Mh. Temba anasema ni mjomba wake anaitwa James Temba. Nchi yangu imeharibika sana. Tumefikaje hapa?
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Filipino
56
196
1.2K
48.1K
Mnegro retweetledi
KIDUKU OFSA NGIRI
KIDUKU OFSA NGIRI@Innocen89950594·
TUNDU ANTIPHAS MUGHWAI LISSU 🔥🙌 Mpeni RT 200🤝
English
4
68
198
3.2K
Mnegro
Mnegro@Mnegrotz·
@goligani One love bro Mikeka umepumzika
Slovenščina
1
0
1
8
Mnegro retweetledi
Twaha Mwaipaya
Twaha Mwaipaya@Twaha_Mwaipaya·
NI KAZI YA NGUVU YA UMMA KUHAKIKISHA BANGO HILI LINASAMBAA #REPOST
Twaha Mwaipaya tweet media
Filipino
12
599
1.3K
12.7K
Mnegro retweetledi
Adellah Tillya
Adellah Tillya@AdellaTillya·
Dakika moja kwa Ndugu Zetu wa OCTOBER 29😭💔🇹🇿🕊️🙏🏽🙏🙏!
Adellah Tillya tweet media
28
216
1.1K
11.7K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Pamoja mapungufu machache ya ripoti ya tume ya uchunguzi wa matukio ya 29 oktoba 2025 kama binadamu, Lakini ukweli unabaki kuwa ripoti ya Tume imenyooka na ina mahitaji “yote” muhimu kwa mstakabali wa Taifa letu. ANGALIZO; Ni ukweli kwamba, Waliopanga, waliofadhili, watekelezaji na WANUFAIKA ndio watu pekee hawaitambui Tume, na hawaitaki ripoti hii.
Indonesia
66
3
25
9.5K
Mnegro retweetledi
Mangi wa Kichaga
Mangi wa Kichaga@MangiwaKwanza1·
Namuomba Mungu sana nisife bila kushuhudia anguko la CCM 🙏
Filipino
117
376
2.2K
35.6K
Mchambuzi
Mchambuzi@Baraza_Kuu·
Unamjua lakini? Ni kijana aliyezaliwa mwaka 1981. Haiba yake na sura yake haviendani na umri mdogo alio nao. Kwa nini? Amejaa ganzi na gesi zinazomfanya ajisikie kuripuka kila wakati. Fikiria, ni kijana anayetoka eneo lililobarikiwa na Mungu madini ya kutosha ya dhahabu. Akili yake isivyoweza kuona mbali, amejiweka kwenye harakati za kuichafua nchi yake badala ya kukamata fursa. Ni mwanasiasa aliyefilisika katika mambo yafuatayo: 1. Alitaka kuwa Chacha Wangwe mpya. Watanzania walimshtukia mapema na kumweka sehemu anayostahili. 2. Alishiriki kampeni ya kumpaka matope Freeman Mbowe kwa kumsaidia Tundu Lissu kuendesha kampeni ya kumdhalilisha mwenyekiti wake. Juhudi zake hizo, zimekigawa chama chake na baadhi ya viongozi kukimbilia kwingineko. 3. Anatamani Tundu Lissu aendelee kukaa ndani ili atumie nafasi hiyo kuongoza chama chake kwa kipindi kirefu. 4. Anatamani kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania. Kila akimtazama Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba anazidi kuumia roho, akihisi yeye ndiye angefaa kuchukua nafasi hiyo. Uwaziri Mkuu ni nafasi yenye heshima yake; siyo ya wavuta bangi wa milimani. 5. Alianzisha kampeni haramu ya kuwakimbiza wawekezaji wa uchimbaji wa madini wa Kampuni ya North Mara huko kwao Nyamango, akiwahamasisha vijana kuvamia mgodi kila mara. Kiu yake ya kutafuta umaarufu kwa gharama ya damu za watu iliendelea kumwanika vibaya kama mwanasiasa aliyefilika. 6. Ni mwanasiasa anayehamasisha siasa za chuki na kutumia damu za watanzania ili kufikia maslahi yake ya kisiasa. 7. Ni mwanasiasa anayeamini kuwa Tanzania inatakiwa kuongozwa na umoja wa mataifa – msimamo unaoanika akili kisoda alizo nazo. Anajitoa akili kuwa alitaka kuzuia uchaguzi ambao chama chake hakikushiriki na akashindwa. Kumbe yeye na chama chao walikuwa wanaamini kuwa nchi yetu inapaswa kukabidhiwa umoja wa mataifa. Imagine!
Mchambuzi tweet media
Indonesia
77
36
51
29K
Fichua Hub
Fichua Hub@fichuahub·
Hii ni ripoti yangu niliyeunda tume kwahiyo asitokee mtu wa kudai ownership ya ripoti, Tukisema huyu mama hana akili muwe mnaelewa😂😂
Indonesia
27
29
155
10.5K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Ule utaratibu wa kutowaachia wazee Siti kwenye Dalaldala tunaendelea Tulipoishia wakuu,Itoshe kuseme hili Taifa Wazee hawastaili heshima kutoka kwetu ..🤝
Indonesia
44
168
1.1K
19.1K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Jaji Chande anasema Oktoba 29, Polisi walikuwa kwenye vituo vya kupigia kura wala hawakuwa na silaha.🥹
Filipino
14
158
615
12.7K
Mchokozi !!
Mchokozi !!@OleMtetezi·
Hizo Kambi Za Kutoa Mafunzo Kwa Waandamanaji Zilikuwa Maeneo Gani? Ziliongozwa Na Nani? Zilikuwa Ngapi? Watu Wangapi Walipatiwa Mafunzo Kwenye Hizo Kambi? JWTZ, Polisi Na Usalama Wa Taifa Walikuwa Wapi? Jaji Chande Na Tume Yake Wanatuchukuliaje Watanzania?
Filipino
21
216
941
15K
Yericko Nyerere
Yericko Nyerere@YerickoNyerereT·
Kwa viwango vyote vya kidunia, Yaani hata Malaika na Mitume na Maswahaba wote watoke mbinguni leo kisha Waulize nani alihusika na jaribio la mapinduzi la 29 October 2025? Jibu lao la kwanza itakuwa ni CHADEMA kwa mazingira yoyote, kisha wataanza kutajwa wengine huko. Haitakuwa Chadema pekee yao, lakini ni lazama watajwe Chadema. Hivyo tusubiri ripoti ya Jaji Chande kesho itatueleza walihusikaje, maana suala la kuhusika linajulikana walihusika, sasa tunasubiri walihusikaje tu. Na tutapokea mapendekezo ya adhabu kwamjibu wa sheria ya vyama vya siasa kwa Chadema na kwamjibu wa sheria ya uhaini kwa viongozi wao na yeyote aliyehusika. Lazima hili litibiwe lisije jirudia kwa aina yoyote!
Indonesia
206
15
70
70.8K
Mnegro
Mnegro@Mnegrotz·
@HildaNewton21 Hata mnyama naongopa kumfanyia alichokuwa akimfanyia huyo police amekanyagia shingo huku anapiteke usoni halo police sio ndugu zetu
Indonesia
1
0
1
699
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Kila nikitazama hizi video za Oktoba 29, huwa najiuliza hawa Polisi ni binadamu kama sisi? Unawezaje kumfanyia binadamu mwenzako Ukatili wa kiwango hiki? Kamwe hatuwezi kusahau huu Ukatili wa Nduli Idd Amin Mama pamoja na washirika wake maana pamoja na mateso yote haya bado wakauwa Watanganyika wenzetu zaidi ya elfu kumi.
Indonesia
51
295
837
70.4K