Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD)

794 posts

Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD) banner
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD)

Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD)

@MngongoEA

Lecturer & Researcher-Sustainable Agriculture|MUST|, Agriculturist, Soil Scientist, Biogeochemistry expert

Plymouth, England Katılım Şubat 2013
1.6K Takip Edilen633 Takipçiler
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD) retweetledi
Priyank Ahuja
Priyank Ahuja@ahuja_priyank·
2 Billion People use Google Maps. But many don't know its full potential. Here are 15 amazing features.
Priyank Ahuja tweet media
English
47
434
2.1K
1.1M
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD)
@SuluhuSamia Asante Rais wetu mpendwa, tunaomba tujengee Majengo ya Ndaki Science na Technolojia ya Kilimo (CoAST) pale MUST ili tuweze kuboresha zaidi kilimo nyanda za juu kusini kwa utafiti zaidi na kuzalisha wataalam wengi na ajira.
Indonesia
0
0
3
2K
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Ninawatakia Waislamu na Watanzania wote kheri ya Sikukuu ya Eid al-Adha. Tafakari na mafundisho ya Sikukuu hii yanatuasa kuishi katika utii kwa Mola wetu, katika ukweli na kumtegemea Mwenyezi Mungu, huku tukiwajali wenye uhitaji na wote ambao Mola amewaweka katika njia ya kuhudumiwa nasi kwa namna mbalimbali. Sikukuu hii iendelee kutudumisha sote na Taifa letu katika amani, upendo na umoja. Mwenyezi Mungu Mtukufu aendelee kuzipokea na kuzikubali dua zetu katika yote mema kwa nchi yetu. Eid al-Adha Mubarak.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
1.3K
321
2.6K
263.2K
Samia Suluhu
Samia Suluhu@SuluhuSamia·
Leo ni Siku ya Mama Duniani, siku maalum ya kuwatambua, kuwaenzi na kuwapongeza mama zetu kwa mchango wao mkubwa katika ustawi wa familia, jamii na Taifa letu kwa ujumla. Kwa moyo wa dhati ninawapongeza mama wote kwa kazi kubwa ya malezi mnayoifanya ambayo ni msingi wa Taifa letu kupata raia bora, nguvu kazi mahiri, wataalamu na viongozi. Tumefanya kazi kubwa, na tunaendelea kuwekeza katika maeneo ya afya ya mama na mtoto, elimu kwa mtoto wa kike, maadili na kuwawezesha wanawake kiuchumi na kisiasa, ili kulinda utu wa mama na kuleta usawa katika fursa zilizopo nchini.
Samia Suluhu tweet media
Indonesia
194
238
998
63.7K
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD)
@godbless_lema badala ya kuwaza kuwadhibiti tunaweza kuona namna ya kufanya integration nao ili kazi zaidi zizalishwe nchini na vijana wetu wapate kazi zaidi. hatuwezi kuzuia wageni ilituishi ktk njia zile zile zilizotufanya tuwe masikini.
Indonesia
0
0
0
175
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Ninaweza kusema kwa sauti kubwa kabisa kwamba hatuna siku nyingi tutakuwa na matatizo makubwa sana kati ya wafanyabiashara wazawa na Wachina. Hawa watu ni kama hawabanwi kabisa na sheria zozote , wanafanya wanachotaka na wanavyo jisikia kuanzia biashara za kawaida mpaka miradi mikubwa , wanaua sana mitaji ya wafanyabiashara wa ndani na kusababisha umasikini mkubwa na fujo. Wasipodhibitiwa haraka kwa nguvu kubwa ya sheria umasikini kwa watu wetu utaongeza sana. Kuna tatizo kubwa sana. Ni hatari na bahati mbaya CCM hawawezi kuona jambo hili.
Godbless E.J. Lema tweet mediaGodbless E.J. Lema tweet media
Indonesia
146
175
1.5K
151.3K
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD)
Imagine a world without fire—no cooked food, no warmth in winter, no metal tools, no electricity. Humans remain in darkness, vulnerable to predators, bound to raw diets, and limited to warm climates. Without fire, the modern world as we know it simply never exists.
English
0
0
0
51
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD) retweetledi
Mushtaq Bilal, PhD
Mushtaq Bilal, PhD@MushtaqBilalPhD·
Major academic publishers make billions of dollars. Elsevier: $3.9 billion, Springer Nature: $2 billion, Wiley: $1.8 billion As for peer reviewers, they are paid $0. ReseachHub is a new online platform that pays peer reviewers up to $150 per review:
English
31
456
2.5K
408.6K
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD) retweetledi
Mushtaq Bilal, PhD
Mushtaq Bilal, PhD@MushtaqBilalPhD·
Found this thread on Deep Seek helpful? 1. Scroll to the top and repost the first post to share it with your friends. 2. Follo me for more threads on how to use AI apps for academic purposes.
English
1
1
27
7.9K
Paul_Makubi
Paul_Makubi@Makubi_Pol·
𝗜𝗟𝗘 𝗣𝗗𝗙 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝟲 𝗬𝗔 𝗞𝗨𝗞𝗨𝗭𝗔 𝗕𝗜𝗔𝗦𝗛𝗔𝗥𝗔 𝗬𝗢𝗬𝗢𝗧𝗘 𝗧𝗭 (𝟮𝟬𝟮𝟱) 𝗛𝗜𝗜 𝗛𝗔𝗣𝗔 TAHADHARI. Nakutumia sasa hivi, ila hakikisha. 1. Umenifollow 2. Repost 3. Comment "2025" Halafu angalia Inbox yako ⏳
Paul_Makubi tweet media
Indonesia
420
386
464
52.4K
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD) retweetledi
Paul_Makubi
Paul_Makubi@Makubi_Pol·
USIJARIBU KUFANYA BIASHARA HII KWANI UTAKUWA TAJIRI SANA NA UTACHUNGUZWA. Fikiria unataka nunua nyumba Yenye thamani ya MILLION 200 na kwenye Account una MILLION 50. UNYAMA HUU UNAITWA (REAL ESTATE)🔥 Ngoja nikuelekeze unavofanywa. Tutafanya na hesabu kidogo 🧵🧵 UZI
Paul_Makubi tweet media
Indonesia
178
511
1.7K
271.1K
kalunguyeye
kalunguyeye@kalunguyeyez·
Viti virefu (vinavyojulikana kama bar stools) katika sehemu za kunywea pombe, kama baa au pub, hutumika kwa sababu kadhaa: - 1. Urahisi wa kufikia kaunta: Kaunta za baa mara nyingi hujengwa kwa urefu, na viti virefu vinaendana na urefu huo ili kuwawezesha wateja kukaa kwa urahisi na kufikia vinywaji, chakula, au huduma nyingine kwa urahisi bila kujikunja. 2. Matumizi bora ya nafasi: Viti virefu huchukua nafasi ndogo na huruhusu wateja wengi zaidi kutumia eneo la kaunta, tofauti na viti vya kawaida ambavyo vinaweza kuwa na muundo mpana zaidi. 3. Muonekano wa kijamii: Viti virefu hufanya watu kukaa katika nafasi ya juu zaidi, ambayo huwapa fursa ya kuzungumza kwa urahisi na wahudumu wa baa au wateja wengine. Pia, inachangia muundo wa kijamii unaosaidia watu kujihisi sehemu ya mazingira. 4. Mtazamo mzuri wa eneo: Kukaa juu huwapa wateja mtazamo mzuri wa sehemu nzima ya baa, na hivyo kuwa na uzoefu wa kijamii na wa kuona wa kufurahisha zaidi. 5. Urahisi wa kuingia na kutoka: Viti virefu, mara nyingi bila migongo, hurahisisha mtu kuingia na kutoka kwa haraka bila kusumbua wateja wengine. Kwa ujumla, ni suala la design inayolenga kuwezesha matumizi mazuri ya nafasi na kuboresha uzoefu wa mteja.
Indonesia
5
3
24
3.4K
Heavyweight
Heavyweight@ChelWiz·
Hivi kwanini sehemu za kunywea pombe huwa kunakua na viti virefu kama hivi? 👇
Heavyweight tweet media
Indonesia
87
23
374
57.1K
Jasim Iqbal (@jasimkhan38.bsky.social)
@Edel_PLopez Honestly, many students from undeveloped countries wants to move abroad and settle there. & for that the best and easiest way is to pursue education there. That’s why many students opt to apply for second masters (often). I did the same in 2017, when I was applying to Canada.
English
3
0
8
1.3K
Edel Pérez-López
Edel Pérez-López@Edel_PLopez·
Why do individuals with a Master’s pursue a second one, or PhD holders seek a second doctorate? 🤔 How many deserving candidates miss out on opportunities because spots are taken by those already holding advanced degrees? 🧐 What’s your take on this?
English
17
10
113
19.5K
Diego SV
Diego SV@Diego__sv·
@Edel_PLopez In my case, I’m finishing my PhD but the postdocs related to my research topics or based on my interests shows that I’m not enough to apply for them because “lack of experience”. I’m seriously considering to apply to another PhD.
English
4
0
6
1.4K
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD)
@HildaNewton21 Mbowe akishindwa uchaguz bado atakuwa na nafasi ktk chamana baraza au kamati kuu, ila Lisu akishindwa hata kuwa na nafasi yoyote chamani...hvo vzr kutazama hilo
Indonesia
0
0
0
16
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nawaza sana hivi kwa aina hii ya kampeni ambayo tunafanya humu mitandaoni hivi baada ya Uchaguzi wa ndani ya Chama kupita tutaweza kweli kuurejesha ule umoja tuliokuwa nao hapo awali maana natambua kwamba bila umoja baina yetu hatuwezi kumshinda adui?🤦‍♀️
Indonesia
476
81
1.1K
66.4K
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD) retweetledi
Abhishek
Abhishek@HeyAbhishek·
ChatGPT can now create Flowcharts and Diagrams. No more wasting hundreds of hours creating visuals for presentations or research papers. Here’s how to do it for free in a few minutes:
Abhishek tweet media
English
51
328
1.6K
364.9K
Mwemezi Rwiza, PhD
Mwemezi Rwiza, PhD@SwahiliBible·
SUPERVISOR anahangaika. Anakutafutia fursa za internship (tena za kulipwa) na placements nje ya nchi. Unaenda huko unazurura weeh. Unarudi huna hata draft ya manuscript. Hata ku- build networks na connections hakuna. Unarudi kama ulivyoenda🙄, mtu wa Mungu. Mtuhurumiage tu.
Indonesia
32
54
536
26.4K
Atul Kumar
Atul Kumar@atulkumarzz·
Data Analytics from Zero to Expert Free Course😱🤯 A Udemy Complete Paid Course for Free.👇 Limited Time(24 Hours Only) This Course covers; -Excel -SQL -Tableau -Many more... Simply:- 1. Must follow @atulkumarzz to get Link 2. Like and Repost 3. Type "course" & get Link in DM
Atul Kumar tweet media
English
1.4K
801
1.5K
203.3K
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD) retweetledi
Modern Men's Guide
Modern Men's Guide@ModernMenGuide·
Six Male Personalities of Modern Men Explained: (What Each Type Brings to the Table) Open Thread -
Modern Men's Guide tweet media
English
2.8K
18.1K
130K
48.2M
Dr. Marco E.A.Mng'ong'o (PhD) retweetledi
Jaynit Makwana
Jaynit Makwana@JaynitMakwana·
7 GPT-4o Prompts That Will Blow Your Mind: (Save it for later)
Jaynit Makwana tweet media
English
50
125
753
274.8K