𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭

46K posts

𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭 banner
𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭

𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭

@MpushyOfficial

🏛️ Architectural & Graphics Designer| 💼 Committed to better services📌 ⚽️ @SimbaSC🔴⚪️& @Mancity💙

Mwanza, Tanzania Katılım Ağustos 2011
2.5K Takip Edilen2.9K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭
Mtu aliyemiliki wake 700, michepuko 300 ndiyo anasemekana kuwa na hekima sana hapa duniani. Ila hii dunia.
Indonesia
48
31
328
11.7K
Fred Kavishe
Fred Kavishe@fredkavishe·
Makaa ya mawe Songea Bomba la Mafuta Tanga Mradi wa Gas Lindi Mikoa mitatu inabeba future ya Taifa kwa next 30 years Kama una kibunda sehemu za kuwekeza hizi Tanga kuna Bandari ambayo sasa inafanya vizuri. Tunahitaji siasa safi tu na Haki next generation wataishi vizuri
Indonesia
38
74
560
18.6K
Kilo-Volt
Kilo-Volt@Kil0voltI·
@TonnyUnfiltered Kutomba is an art. Sio wote wanaweza hiyo shughuli. Sio bao la kwanza tu, kuna watu hata hilo bao la nne hawamalizi dakika 10.
Filipino
6
0
12
2.1K
SPOON
SPOON@TonnyUnfiltered·
Mnafanyeje kuchelewa kumwaga bao la kwanza?
Indonesia
51
41
243
27.4K
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Polisi mnasema mlimkamata Dammour, nafikiri ingekuwa busara zaidi na faraja kutoa taarifa kwa umma mapema. Kwa siku mbili, familia ilimwaga machozi, ndugu walihangaika sana, na marafiki zake wakaingiwa na hofu kubwa — huku mamlaka zikibaki kimya. Sasa mnajitokeza usiku wa manane kueleza kuwa mmekuwa mkimshikilia kwa tuhuma za kujihusisha na vitendo vya kihalifu. Swali la msingi ni hili: kwa nini taarifa hiyo ya kumkamata haikutolewa mapema ili kuondoa taharuki kwenye familia na jamii yake? Askari 7 kwa mtu mmoja? Kwanini mmekwenda na magari yasiyotambulika? Kwa nini mmevaa ‘mask’ usoni? Kwa nini hakuna taarifa kwa serikali ya mtaa? Kama ndugu walijulishwa, ni ndugu gani hao wakati mama yake alisema haonekani kituo chochote? Katika kipindi ambacho wananchi wanaishi na hofu ya kupotea kwa watu, taasisi zenye dhamana ya usalama wa raia zinapaswa kuwa wazi, makini, na zenye utu. Katika mazingira ya hofu ya watu kupotea, ukimya wenu unaongeza maumivu zaidi. Ni maisha ya mtu. Katika mazingira ambayo watu wanatekwa na wanapatikana wakiwa wamekatwa vichwa, mnawezaje kucheza na hisia za jamii hivyo? Mama yake mzazi analalamika, ninyi mnasema “ndugu wamejulishwa.” Ni ndugu gani hao? Be serious with people’s lives NB; Fungueni replies Instagram, ili mpate maoni ya Watanzania. #justicefordammour | #freeninja | #freedammour
Martin Maranja Masese tweet mediaMartin Maranja Masese tweet media
Indonesia
19
135
556
17K
𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭 retweetledi
Charles Chelsea Jr
Charles Chelsea Jr@CharlesChelsea_·
⚽JIWE GIZANI ⚽ 100+🔥ODDS KickOff 👉🏻19:00 EAT DBbet👉 V9RFP JISAJILI 👉DBBET Promo Code👉Charles1 Click 👇 dbbt.me/f1ayw8a
Charles Chelsea Jr tweet media
HT
8
13
113
6.6K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Mara ya mwisho kesi ya Uhaini dhidi ya Mhe. Lissu ilisikilizwa February 24, 2026. Serikali ya Nduli Idd Amin Mama baada ya kuona ushahidi walionao hautoshi kumtia Mhe. Lissu hatiani wakaamua kuweka mpira kwapani kwa kukimbilia Mahakama ya rufani kwa kisingizia kwamba wamekata rufaa kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu kutupilia mbali maombi yao ya kuongeza mambo ya Oktoba 29, 2025. Mpaka leo unaenda mwezi wakaamua tatu, ofisi ya Jaji Mkuu @judiciarytz imegoma kupanga tarehe ya kuanza usikilizwaji wa shauri hilo kwasababu Nduli Idd Amin Mama anatumia Mahakama kumkandamiza Mhe. Lissu kwa kumnyima Haki zake za msingi. #FreeTunduLissu
Hilda Newton tweet media
Indonesia
14
163
625
17.2K
𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭 retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Nimechoka na kuona ukatili kila siku! Hivi ina maana WOOOOOOTE mliopo kwenye mfumo mnaona hii ni sawa? Mtu anatekwa alafu mwili wake unakutwa hivi? Kweki? Huku polisi wakiendelea kuteka! Tumetoka kuona MAELFU wa ndugu zetu wameuwawa kikatili na miili yao kuachwa barabarani na baadaye kusombwa na kutupwa kama takataka! Nyie kimyaaa Nyie ni binadamu? Hamjisikii hata kidogo vibaya? Nyie ni mashetani WOTE! 🚮mi hata huyo @nchimbie wengine mnamfagilia nasema ni walewale! Kwani sisi wengine tulishindwa nini kukaa kimya ili maisha yetu yaende? Tulishindwa kukaa kimya kwa sababu ya UTU! Sasa mi nawaona ninyi wote mlioufyata wasaliti! Mmekaa kimya ili uovu utawale - basi ninyi ni sehemu ya uovu! #ChangeTanzania
Maria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
56
201
738
55K
Narrowbeefly
Narrowbeefly@Narrowbeeflying·
Ni kitu gani unajua lazima kitatokea kwenye hii mechi? 😁
Narrowbeefly tweet media
Indonesia
40
18
94
5.8K
𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭 retweetledi
Ze Planmaster
Ze Planmaster@ZPlanmaster·
Mtumishi yupi ni tapeli zaidi kati ya hawa?
Ze Planmaster tweet media
Indonesia
319
78
506
67.6K
Adv.Innocent⚖️
Adv.Innocent⚖️@Adv_innocent·
Mungu katupa siku nyingine tena, leo atukumbushe kusema ukweli kwenye hali yeyote..hata kama wanaotuunga mkono na kutusapoti wakienda kinyume bado tusimamie kweli ili hiyo kweli ituweke huru. Good morning🖐
Filipino
54
89
150
1.9K
~BINGWA⚡
~BINGWA⚡@BingwaIK·
Ni siku nyingine ya kumtanguliza Mungu kwenye kila Jambo, Good morning🌅,
Filipino
20
21
47
731
𝗠𝗽𝘂𝘀𝗵𝘆@20𝟭𝟭 retweetledi
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
Msikilizeni Polepole aliwaonya akina Mafwele hadi Abdul na Samia kuhusu utekaji - wakaamua wamteke! Hawa ndo wapumbavu leo wanahaha kutaka kutuliza umma! Wanatusukuma kubaya! Oktoba 29 ilijaa hasira za wananchi maana tumechoka kutekwa! Sasa wamejaa kiburi wameanza tena kuteka na kuleta ubabe! Mnachokitafuta mtakipata! Haya! And #FreePolepole nyie washenzi 🚮 #FreeAllPoliticalPrisoners
Indonesia
16
157
640
19.8K
Muka Mtambo🇹🇿
Muka Mtambo🇹🇿@Omary_Mtambo·
@HecheJohn @iamkhoisani Jeshi la police ni kama maji usipo yakoga utayanywa hata huu ujasiri wa ku tweet hapa ni kutokana na huo ulinzi wa jeshi la police ,unajua mali zako huko na watu wako utawakuta salama utakapo rudi nyumbani ungekuwa na wasi wasi usingepata mida wa ku tweet
Indonesia
7
0
3
1.8K
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Yaani huyu huyu aliesema kwenye ripoti ya haki jinai 2023 kupitia aya 3.1.1 (i) kuwa jeshi linahitaji kufanyiwa maboresho na kubadili muundo. Mpaka sasa hilo halijafanyika bado. Leo kwenye ripoti yake anasema wananchi wakae na jeshi la polisi kwa kuelewana!!! jeshi ambalo kwenye ripoti yake halijawahi kufanyiwa marekebisho kama alivyopendekeza.
John Heche tweet media
Indonesia
59
264
969
36.4K