Sabitlenmiş Tweet
Mr Dee
9.9K posts

Mr Dee
@MrDeePel
computer science Footbal & IT lover
Tanzania Katılım Ocak 2020
1.9K Takip Edilen1.9K Takipçiler

@MswatiKing_01 Muda wa kupiga samba unautoa wapi, wajapan wanakaba kama wapo 18 uwanjani😂😂, kila mtu anakabwa na wawili na hakuna alie free
Filipino

@RevocatusMagum1 Kuna mtu alisema "ogopa sana mjinga mwenye confidence"
Indonesia

🚨HILI LIANGALIWE MARA MBILI.
Tumekoseshwa Ubingwa na hawa hawa marefa wa Bongo tumekubali na tukikubali hii Final achezeshe Refa wa Bongo basi tutaachwa na vilio tena
Waamuzi hawa wameshazoea swala la kufungiwa kwa sababu wanapewa kibunda kirefu harafu wanaharibu mechi baada ya hapo wanafungiwa baadaye wanarudi kama kawaida Kwahiyo hii adhabu ya kufungiwa kwao si hoja kabisa na wamezoea
Kama kuna namna viongozi wetu kama Crescentius Magori 🇹🇿 wanaweza kufanya basi wasimame na hili jambo kuhakikisha marefa wanakua wa nje ya Tanzania bila hivyo tutamaliza msimu na vilio vikali mno.
@Cresce27Magori

Indonesia

@kasesco_tz Imagine hakuna ivyo vyote na imeweza kufika hadhi yajiji, we huogopi?😂
हिन्दी

@FaradayMtz01 @AllyAssed13070 "Ndoa si kwaajili yako ni kwaajili ya watoto"
Indonesia

Basi kuna hotel moja huku mbweni nmekutana na lugumi akaniona akasema wow Rahma hi, and i was like woooah tajiri lugumi umenitambuaje?!
Akanambia aaah acha utani bhana i notice you from X we mtu mkubwa mama, basi nkacheka tukagonga nkamwambia haha we jamaa jau sana mbona sa hujibugi dm zangu
Linaanza kunidanganya eti mambo mengi, lugumi bhana afu mtu poa kichizi live😂
Anyways kanialika for dinner kesho kwake sjui kwanini hajachagua lunch ila anyways who am i to judge, itakua ubusy wa kazi mchana😌🫵
Indonesia

@Sincerelyrahma7 @fezoomaster Nlijua tu, anawezaje kukutambua chap ivo kama sio kideo😂😂. Li video lipewe heshima yake
Indonesia

@MrDeePel @fezoomaster Sasa unahisi nini kimemvutia kama sio ule uturisti
Eesti

@Therealremmy004 @mananajr_ Azam atahonga kila upande hawez kubali kuachia hii
Indonesia

@mananajr_ Wanataka kumpoteza azam, mkataba wa haki za matangazo wa NBC premier league ukiisha azam watakua na shughuli ya kushindana na dstv, azam wakishindwa ndo anguko lao
Filipino

@George_Ambangil Tangu alipoenda leverkusen sikumuelewa kabisa arteta, hii ni moja ya sehemu aliyozingua sana! Kuna huyu na partey
Indonesia

Baadhi ya mashabiki wa Chelsea najua mtaniwamba makofi hapa lakini huu ni usajili mzuri , believe me .!
Namkubali sana Xhaka
Florian Plettenberg@Plettigoal
🚨💣 EXCLUSIVE DETAIL | Granit Xhaka and Chelsea have already reached a full verbal agreement over a transfer. Personal terms have been fully agreed. #CFC Chelsea are already in contact with Sunderland. Xabi Alonso is pushing hard to sign Xhaka post Blick and various English media outlets. @SkySportDE 🇨🇭
Indonesia

Ukiweka komenti ya ‘kiwaki’ kwenye post kama hizi account yako inaenda au unatumiwa email ya onyo kali.
Manchester United Women@ManUtdWomen
You guys! 🥹❤️ On Wednesday, Millie and Lisa announced the fantastic news that they're engaged! 💍
Indonesia

@George_Ambangil Sasa pale cheisii nani atamkaba saka wazee, maana huyu ndo alkuwa anajitahid😅😅
Filipino

Eeeh mbona ghafla hivyo🤔🤔😀😀
Fabrizio Romano@FabrizioRomano
🚨💣 EXCLUSIVE: Real Madrid reach verbal agreement to sign Marc Cucurella from Chelsea, HERE WE GO! Verbal agreement in place between all parties, player too — he’s the left back wanted by Mourinho. Details to follow. Cucurella leaves #CFC and joins Madrid after World Cup. ⚪️🇪🇸
Indonesia

@chapanombombwi Nyie mnaoleta hisia. Mnaoa wake watulivu afu bado mnarud kwa ma ex mlowafumaniaga mnawavunja iman wake zenu
Indonesia

Utafiti!
90% ya wanaume waliooa hawaishi na wanawake wanaowapenda kwa asilimia 100.
Ni kwamba walioa kwa sababu ya umri kusonga, presha ya familia, au mimba za dharura.
Na 90% ya wanawake hawaishi na wanaume waliowahi kuwazimia mioyo yao, wanaishi na wanaume walio na unafuu wa kiuchumi (financial security).
Ndoa nyingi za sasa ni makubaliano ya kibiashara na kuleana, sio mapenzi.
Indonesia












