Michael Sessan
2.6K posts

Michael Sessan
@Msessan
Everything & Everyone at their own pace . Sales & Marketing @misanbees @muri_chick


#BREAKING: TANZANIA YASISITIZA VURUGU ZA UCHAGUZI TATA WA OKTOBA 29 'NI NDOGO UKILINGANISHA NA AFRIKA' Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Mohamed Thabit Kombo, amesema vurugu zilizotokea Tanzania ni ndogo ukilinganisha na mataifa mengine ya Afrika. Akizungumza katika Mkutano wa 39 wa Wakuu wa Nchi wa Umoja wa Afrika uliofanyika Addis Ababa, waziri huyo alieleza kuwa Rais Samia Suluhu Hassan aliwapa viongozi wenzake taarifa kuhusu hatua zinazochukuliwa nchini, ikiwemo kuundwa kwa tume huru ya kuchunguza vurugu pamoja na kuanzishwa kwa wizara mpya za vijana na mahusiano ya jamii.






Ukijipata usimpe pesa wala msaada wowote ule MTU anayeitwa ndugu 😎 . Hii ni sheria .





























