ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ
23.7K posts

ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ
@Msikivu_
■Fix Your Life First! Love Can Wait! ■ It's not luck, It's God■
🇹🇿 Katılım Temmuz 2019
11.1K Takip Edilen15.5K Takipçiler

@zoetjesheeftX Hakuna namna yeyote itakayokufanya utambue ukubwa wake hata ukiuona ukiwa umelala, ukubwa wake unapimwa ikiwa imesimama pekee hapo ndo utapata majibu kamili.
Indonesia

@lawrencekitema Not even when mikel arteta I'll be a referee on 30May😂
English

@SimbaSCTanzania @FIFAcom Limeisaidia Nini club hilo goal? Kolo ni kolo tu💔
Indonesia

𝐂𝐇𝐀𝐌𝐀 𝐅𝐎𝐑 𝐅𝐈𝐅𝐀 𝐏𝐔𝐒𝐊Á𝐒 𝐀𝐖𝐀𝐑𝐃.
Dunia imeona bao bora zaidi mwaka huu ni kutoka kwa Mwamba wa Lusaka, Clatous Chota Chama. Utamu wa bao hili zaidi ni kumfunga mtani na kuchangia mtu kuliwa kichwa.
Jambo la kufanya kwa Mwanasimba ni kutag akaunti ya @FIFAcom ujumbe uwafikie mapemaaaaa!!! #NguvuMoja


Indonesia

@iamzioraa Even not inside it's hard to pee when penis is erected stronger
English
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi

Mahakama Nchini Burkina Faso imemhukumu Waziri wa zamani wa Masuala ya Kiutu, Laure Zonga, kifungo cha miaka mitano jela baada ya kupatikana na hatia ya makosa ya wizi wa fedha za umma, kujitajirisha kwa njia haramu pamoja na utakatishaji wa fedha.
Kwa mujibu wa taarifa za Mahakama, Zonga alihusishwa na ubadhirifu wa kiasi cha faranga milioni 35 za CFA, ambazo ni sawa na takribani dola za Marekani 61,400. Fedha hizo zinadaiwa kupatikana au kutumika kinyume cha sheria wakati akiwa madarakani, jambo lililosababisha uchunguzi na hatimaye kufikishwa Mahakamani.
Hukumu hiyo imekuja katika kipindi ambacho Uongozi wa Burkina Faso chini ya Ibrahim Traore umeweka mkazo mkubwa katika kusafisha mifumo ya utawala na kuwajibisha Viongozi wanaohusika na matumizi mabaya ya rasilimali za umma.
Mbali na mapambano dhidi ya ufisadi, Rais Traore ametaja pia vita dhidi ya Wapiganaji wa itikadi kali, rushwa na utawala mbovu kuwa miongoni mwa vipaumbele vyake vikuu katika kuimarisha usalama, uwajibikaji na utendaji wa Serikali.
#MillardAyoUPDATES.

Indonesia
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi
ᴜsɪsᴇᴍᴇ ᴜᴋᴀᴍᴀʟᴀ retweetledi

BRO TO BRO
Usiwahi kudhani wewe ni wa pekee au hauwezi kuguswa.
Maisha hayana huruma leo uko juu, kesho uko chini.
Ugonjwa unaweza kukuangusha, kifo kikagonga bila hodi,
Ukapoteza kazi ghafla, pesa ikakauka, na wale uliowazoea wakaanza kukuona kama huna thamani.
Kwa sekunde chache tu, kila kitu ulichokijenga kwa miaka kinaweza kusambaratika.
Meza inapinduka haraka kuliko unavyodhani. Marafiki hugeuka wageni, na ukibaki peke yako na mawazo, maumivu na mapambano yako.
Omba bila kuchoka na baki kuwa mnyenyekevu hata ukiwa juu, Shukuru hata ukiwa chini.
Usijisahau, usiwadharau wengine,
kwa sababu maisha yanarudisha kila kitu kwa wakati wake.
Indonesia

@MkulimaKante Angalia miguu halafu kaa kimya huko kwengine filers halafu hii picha sio real ni AI made
Filipino













