Ng'wanangwa

178.5K posts

Ng'wanangwa banner
Ng'wanangwa

Ng'wanangwa

@Mugaka_N

Patriotic to my country, not to my Rulers #MjingaFulani #Mwananzengo #KwenyeVinchiVyetuHivi likes = Will look into it later.

Geita Vijijini Katılım Nisan 2012
12.7K Takip Edilen66.4K Takipçiler
Ng'wanangwa
Ng'wanangwa@Mugaka_N·
Ninaendelea na maombi, kuiombea nchi yangu na kukuombeeni nyote, Mwenyezi Mungu awabariki sana 🙏
Indonesia
3
1
8
412
Mtanzania
Mtanzania@Mtanzan03736833·
@Mugaka_N Nina furaha kuu kukuona humu tena Mzalendo wa kweli! Karibu tena mzee, heshima yako!
Filipino
2
1
2
82
Ng'wanangwa
Ng'wanangwa@Mugaka_N·
@Mtanzan03736833 Marahaba Ticha, sijarudi rasmi, nakutakia kila la kheri hadi hapo nitakaporejea.
Indonesia
1
1
1
11
Ng'wanangwa
Ng'wanangwa@Mugaka_N·
@Chahali Kwenye maisha yetu ya kawaida hili ndivyo lilivyo ndg Jasusi. Hili linashindikana eneo moja tu, kwenye siasa!
Indonesia
0
0
1
65
Ng'wanangwa retweetledi
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢
𝐉𝐚𝐬𝐮𝐬𝐢@Chahali·
Mtu akikwambia "flani ameniambia umenisengenya" maana yake anaamini kuwa unaweza kumsengenya. Na kama ni mtu anayedai kuwa anakuamini, na anajua kuwa "usiri wako unakuweka hai" ni wazi anajua kamwe "usiri na kusengenya haviendani." Ni dhahiri sio tu hakuamini bali anakudharau.
Indonesia
2
5
37
2.3K
Ng'wanangwa
Ng'wanangwa@Mugaka_N·
@Mtanzan03736833 Imeshakuwa kanuni? Kwamba Yanga na Azam wakikuchapa lazima Simba akuchape pia?
Indonesia
1
0
1
16
Ng'wanangwa retweetledi
Mtanzania
Mtanzania@Mtanzan03736833·
@Mugaka_N Wangetulia labda wangeokota kupanick kumewapoteza maboya Yale yale ya siku ya Yanga
Indonesia
1
1
0
185
Ng'wanangwa
Ng'wanangwa@Mugaka_N·
Kwa hiyo Singida wanamfanyia Simba ukarimu?
Indonesia
1
0
4
287
Ng'wanangwa retweetledi
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Watu sita wamefariki dunia baada ya gari walilokuwa wamepanda lililokuwa likitokea kijiji cha Lumalu kata ya Upolo Wilaya ya Nyasa kuanguka kwenye mteremko wa Chunya wilayani Mbinga mkoani Ruvuma, kisha kuwaka moto. Waliofariki ni walimu wanne wa Shule ya Msingi Lumalu, mfamasia mmoja na dereva wa gari hilo. Katibu Tawala Wilaya ya Nyasa amewaomba ndugu wa marehemu waliofariki kwenye ajali hiyo wafike katika hospitali ya Mbinga mkoani humo kupima DNA kwa ajili ya utambuzi wa miili hiyo.
Swahili Times tweet media
Indonesia
14
16
410
33.7K
Mtanzania
Mtanzania@Mtanzan03736833·
@Mugaka_N Wanalalamika sana kuliko kucheza
Filipino
1
1
0
155
Ng'wanangwa
Ng'wanangwa@Mugaka_N·
@LongaZimale Walitaka kuhalalisha zile mali walizokuwa wakificha wakati wa Ujamaa!
Indonesia
1
0
1
12
LongaZimale
LongaZimale@LongaZimale·
“Mwalimu” aliipitisha nchi zama za Ujamaa na Vita baridi, alipoona zama za Ujamaa zinakufa kifo cha “lazima” akang’atuka kulinda heshima yake. Salaaaaam Mzee @Mugaka_N .
Indonesia
1
1
2
172
Ng'wanangwa
Ng'wanangwa@Mugaka_N·
@TitoMagoti Siasa za uchaguzi wa ndani CDM zimeathiri sana namna tunavyo angalia kuuona ukweli!
Indonesia
0
0
0
63
Ng'wanangwa retweetledi
Tito Magoti
Tito Magoti@TitoMagoti·
Kipindi kama hiki 2019/2020 nilikuwa jela. Faraja ilikuwa ndugu na marafiki wanaotutembelea. Mawakili wengi sana walikuja kuniona kila wiki. Wakili wangu Jebra: 'bingwa, leo sina la maana, ila nimekuja tupige story.' Man did that to me & lots of others. Respect the OG!
Filipino
75
291
2.3K
79.7K
Ng'wanangwa retweetledi
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
⏳:dak 43' Gooooooooooooooooooaaaaalllllllllll Nani wa kumzuia Simba akitaka jambo lakeeeeee🔥🔥 Fabrice Luamba Ngomaaaaa anaweka bao la kichwa hapa Liti kumeanza kuchangamka sasa🙌🙌 🐆 Singida B.S 0️⃣-1️⃣ Simba SC 🦁
Indonesia
5
10
345
12.7K