Mr, HB

2.4K posts

Mr, HB

Mr, HB

@MusaMusah3

Teacher

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Şubat 2022
768 Takip Edilen172 Takipçiler
Joti
Joti@JotiOfficial·
Tukutane tarehe 3
Indonesia
7
4
125
3.8K
Mr, HB
Mr, HB@MusaMusah3·
@shaffihdauda1 Libace atakua mtu wa kwanza kushinda goli la kwanza
Indonesia
0
0
0
17
Shaffih  Dauda
Shaffih Dauda@shaffihdauda1·
Tabiri na Ushinde SH 50, 000🎉 🟢 YANGA SC 🆚 SIMBA SC 🔴 Tabiri Mfungaji wa Bao la Kwanza na Matokeo ___👇 NB: Folo Whatsapp channel yangu mshindi atatangazwa huko baada ya gemu: whatsapp.com/channel/0029Vb…
Shaffih  Dauda tweet media
Indonesia
221
19
302
18.2K
iDesign
iDesign@ImMichael_K·
Hili soko airtel walichezea... sasa ttcl naona wameamua kuingia mazima... wanapita mtaani kuuliza watu wanaotaka kuwekewa fiber. Yani niliposikia hivyo nikasema bila kupepesa Airtel ni mateso sana nilipo
iDesign tweet media
Filipino
95
50
757
71.3K
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿
Huyu mwamba kaacha legacy kubwa sana kwenye forex ya bongo vizazi na vizazi vitalimba jina lake Kwani yeye ndo alii introduce forex bongo kipindi hicho kulikuwa hamna mtu yoyote anaeijua forex Mungu amsaidie sana huko alipo
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿 tweet media
Filipino
23
34
397
30.3K
Mr, HB
Mr, HB@MusaMusah3·
@Engkabora Kaomba vizuri sana ule wimbo nmeusikiliza mara 29
Filipino
1
0
0
85
Engkabora
Engkabora@Engkabora·
BASATA BASATA BASATA 💔🚮
Engkabora tweet media
Indonesia
21
14
150
32.3K
PASTA JOSHUA
PASTA JOSHUA@pastajoshuatz·
Unapoteza kumbukumbu? Tafuta hii ya kutosha kausha kivulini kisha hifadhi kwenye chombo safi kisichopitisha hewa. Tumia kama majani yako ya chai kila siku. Ndugu yangu baada ya miezi mitatu utaona mabadiliko makubwa yafuatayo: - Hautakuwa mtu wa kusahausahau - Utakuwa na uwezo mkubwa wa kufikiri - Utaanza kujisikia imara kila wakati — hautakuwa mtu wa kuchoka wala kuwa na sonona. - Kama chai hiyo unakunywa pamoja na watoto wako—basi wataanza kufaulu kwa kiwango kikubwa shuleni. Mdharau asili hufa kikatili🀄️
PASTA JOSHUA tweet media
Indonesia
4
23
111
6.4K
Micky Jnr
Micky Jnr@MickyJnr__·
🚨 𝐁𝐑𝐄𝐀𝐊𝐈𝐍𝐆: It’s over between Jonathan Sowah and Simba SC. A mutual contract termination letter has been submitted to the club. The player is understood to be unhappy with allegations raised against him and has decided it’s best to move on. Sowah kuondoka Simba SC. #NguvuMoja #AfricanFootball
Micky Jnr tweet media
English
31
32
541
25.8K
Brave man
Brave man@thomas_yona_·
Ipi namba tisa ilitisha sana?
Brave man tweet mediaBrave man tweet mediaBrave man tweet mediaBrave man tweet media
Filipino
46
16
173
14.5K
Mr, HB
Mr, HB@MusaMusah3·
@ayubu_madenge Achana nao ,,itakua madaftari yalikua mazito shulen
Indonesia
0
0
2
119
Ayubu Madenge
Ayubu Madenge@ayubu_madenge·
Mtu yupo Tandahimba anabonyeza kioo kilichopo mkononi mwake anaongea na mtu wa New York, anaona watu wanapandikiza viungo na wanaishi, watu wanatumia maji kuzalisha umeme unaowasha mitambo na kuendesha magari, halafu bado anabisha kusikia watu wanauzunguka Mwezi. Hii nchi daah 🙌
Indonesia
103
105
1.1K
32.3K
The mandevu
The mandevu@ze_mandevu·
Kuna Mtu kashaibiwa huku.😁
The mandevu tweet media
Filipino
32
56
1.3K
33.9K
Mr, HB
Mr, HB@MusaMusah3·
@Sativa255 Hahahaha ,kaka ko gogo hukati tena
Filipino
0
0
0
14
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Ipo siku tutakuja KUTOMBWA kama taifa, ni suala la muda tuu. Mimi tayari nimenunua CHUPI YA CHUMA maandalizi yaendelee wanangu.
SIR TIVA tweet media
Indonesia
203
170
1.7K
47.4K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Namba 6 Yako Bora ya muda wote msimbazi.... 🦁 Hapo Mimi naondoka na Kagoma ndo mido yangu Bora 😀.
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
132
29
443
19.9K
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼@RevocatusMagum1·
Unafikili ni nini kinamsibu chasambi ndani ya kikosi cha Simba Sc Kama ni kubaguliwa na kocha Big No kocha anawapa nafasi vijana wanaoonyesha kitu mazoezini Kama ni kuugua Big no hana majeraha Ni nini hasa sasa!?
𝗥𝗲𝘃𝗼𝗼 tweet media
Indonesia
16
8
132
5K
EL SUKAYO LE ANALYSTE 🇹🇿
Usitumie dawa za meno ❌ Usitumie maji ya bomba ❌ Usile wali ni hatari kwa Afya yako❌ Usile ugali ni hatari pia❌ Usinywe maziwa ❌ Usile mboga za majani ❌ Usile matunda ❌ Lala masaa 8 + kwa siku Ukiishi kwenye mtindo huu wa maisha utaishi maisha marefu sana yenye Afya bora.
Indonesia
111
17
215
33.1K
Mr, HB
Mr, HB@MusaMusah3·
@fumbokhanJr Ni 72 sio 74 ,,afu uyo Duara atapigwa nyundo hatoaamn
Filipino
0
0
0
29
Fumbo Khan
Fumbo Khan@fumbokhanJr·
Diara anawanyooshea waandishi kidole hivi mpaka sasa Kamati ya Masaa 74 hawajasema chochote. Angekuwa Mchezaji wa Simba lazima ungeskia kapigwa faini Kali.
Fumbo Khan tweet media
Indonesia
27
10
128
6.8K
SportsArenaTz
SportsArenaTz@SportsarenatzTz·
💬 “Ghafla Simba wamemuongezea mkataba wa miaka miwili Mpanzu. Wakati umuhimu wake ukiwa umepungua klabuni wameamua kumuongezea mkataba mpya wa miaka miwili. Tukiwa wakweli Simba wamemuongezea mkataba wa miaka miwili huku kukiwa hakuna upinzani wa maana kutoka kwa maadui, labda wanapambana kumchukua. — Legend, Edo Kumwembe.
SportsArenaTz tweet mediaSportsArenaTz tweet media
Filipino
47
24
635
48.9K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Uliacha Simu Yako Ukakuta ipo hivi Dogo ....5 missed call Brother...3 missed call Mother....1 missed call Boss... 2 missed call Mke....4 missed call.. Hapo utaanza kumtafuta Nani Kwanza..🤔?
Eesti
113
47
334
24.7K