MWITALE
404 posts

MWITALE
@Mwitale2
ishi na watu vizuri kwa maana huijui kesho
lake zone Katılım Ağustos 2020
1.2K Takip Edilen345 Takipçiler

MWITALE retweetledi

@Narrowbeeflying Weee kwan @azam juice kubwa ya kopo ipo kwaajili ya Nan sikama sisi naagiza kwambwembwe kabsa
HT

@MfiaNchi255 Peku unachapa na hamna shida
Ila jiandae kupigwa limbwata
Filipino

@IamGabby_01 Nilikuwa naamini wahovyo
Ni vijana tu kumbe hata wazee wapo
Filipino

@Ayodimejitz Hapo ni Dodoma airport hiyo barabara ni runway ya ndege
Uliza lingine
Filipino

@Paullyker Hiyo namba 5 nimerudia kuisoma mara 3
Ukiskia nmefunga kurasa ndo hiyo apo sasa
Filipino

@humbleQueen02 Huwa nawaambia vijana jitahidi sana umiliki wanawake 3 au zaidi kwa wakati mmoja ili kuepuka stress ndogo ndogo kama za kuachwa
Indonesia

@british77boe Usiogope bwana mdogo ukimwi hauambukizwi kirahisi hivyo hapo chamsingi mpake mafuta mengi
Halafu mtende dhambi ukimaliza mpe hela yake ukitoka hapo
Pita pharmacy chukua AZUMA dozi 2 kianzio
Afu skilizia siku 3 mpk 5
Maumivu yakizidi muone datkari
Indonesia

@maxannania @Obure1998 Nikula sana nanasi mitaa hiyo hasa mwezi wa 1 na2
Ilikuwa ukienda na jero unanunua 3 na unapewa 1 nyongeza
Filipino

@Obure1998 Nkome (Geita)kuna Warundi wanalima heka kwa bei chee, 2016 kurudi nyuma walikuwa wanalima heka kwa buku 5,
Nanasi bei chee, kesheshe ni miundombinu ya kuisogeza mjini.
Indonesia

Ukienda Kilimanjaro kuna Tangawazi za kutosha kufika shambani sasa
Kuna sehemu nilienda kutafuta Nanasi panaitwa Igate Geita nanasi 300 tu kuitoa Geita ifike Dodoma🙌🏾 niliwahi kutamani kulia hapo Busisi maana ni saa 6 na inatakiwa niwe Sirari saa 12 Asubuhi
Cinephile@Obure1998
@maxannania Kama umeitaja tarime basi unaijua hii nchi vizuri🙌🏾 umeacha Morogoro kuna dingi aliwahi kuniambia SGR ikifika nchi nzima na tukawa na tren ya kusafirisha mazao tu, hakuna mtu atalala njaa hii nchi na hakuna mkulima atalia, Nahisi Magu alikuwa na hii vision
Indonesia

@BesteNicolas Niite nije nijifanye mimi ndo mwenye geto afu wee mdogo Wang umefikia kwangu
Niwafokee mtaondoka tu
HT

@IamGabby_01 Mzee ulikuwa hujui?
Watu wanaenda kusalimia mizimu
Na kuomba baraka kwao
Ndo maana kuna wengne kila mwisho wa mwaka
Mabasi yanazidiwa abiria
Hasa huku kanda ya..................
Indonesia

@Timbertzaa Labda umuibie
Na hakikisha una waganga wa 3 wanaoweza kazi
Na ma Ustaadhi wa2
हिन्दी

@erasto_fid93397 Watu duniani wako busy kwa UEFA kisa asenali? Mmh
Indonesia

@Narrowbeeflying Futa hii
Halafu kafanye utafiti upya
Ndo uje tena hapa
Indonesia

..✍️ kwenye History nakumbuka tuliwahi kusoma kwamba kuna makabila hapa Tz ambayo asili yake mtawala wa familia ni mama (mfumo jike), hayo makabila ni
1.Nyakyusa
2.Hehe
3.Chagga
4.Kurya
5.Wapare
So kama wewe ni mwanaume na ukioa kwenye haya makabila, usipokuwa imara utatawaliwa na kama ni legelege utakuwa unapigwa humo kwenye ndoa mpaka ushangae 😁
Filipino
























