NYESE JR
23.3K posts


@oldschool_03 @JMariotz @mzee_mbuzi Shabiki wa city tunakuombea mema kwa sababu unapambana na arsenal ila isikufanye utunange sana
Indonesia

@JMariotz @mzee_mbuzi Basi tu mnawapaga hype na makombe yao ya vita ya kwanza ya dunia fulham>>>>>>>>>>>
Indonesia

Imagine a Liverpool fan speaking about Arsenal going trophyless baada ya timu yake kutoka kapa msimu mzima after spending €500M+ ndani ya msimu mmoja.
Ukitaka kutrend kwa sasa wewe itaje Arsenal tu kwa sababu everyone become stupid when it comes to Arsenal.
Kennedy 🐓@kenedsimon2
Mfano Chelsea akibeba kombe la FA then arsenal akose makombe yote anayoyapambania Means Chelsea atakuwa na msimu mzuri kuzidi mahasimu wake? 😂
Filipino

#TajiriLaKihaya
Mkali acha pombe za Makali…acha pombe kwa ujumla wake…
Tutakupoteza….
Mm sio Daktari ila tu kwa kipimo cha macho inaonesha Figo au Ini linaelekea Kufeli…
Nafaham maisha ni magumu ila huu sio Mwili wako …
CHURA WA MILEMBE MKALI PAPPARAZI@Maestrowafact
Indonesia


@BlackSingapore2 Unafikiri hii propaganda ndyo itakuwa ignition ya watu kuingia barabarani. Vijana wameshagomeq huu upuuzi
Indonesia

@mj0058 Hatutaki maswala free free flani humu, mnakufa kwa popularity zenye kukost wazazi wenu.
Indonesia
NYESE JR retweetledi

Please @elonmusk : Many of us X users encounter this “login error attestation denied” error when trying to log in on Android and iPhone. It's time to do something about it quickly! Support isn't communicating, we're stuck. I can no longer do my Spaces like I used to. For a premium service, that's not great!🤬
What is X becoming?🙄
English

@NYESEJR @Hamadbakari2 @Sativa255 Kwani nyie wenye spirit ya Gen Z hamjuagu kubishana Kwa hoja mpaka mtukane? Jueni kushukuru Kwa mlichokikuta duniani mtafanikiwa,mngekuta Tanzania ni mbovu hata msingezaliwa
Indonesia

@mkuubaba @Hamadbakari2 @Sativa255 Nazidi kuthibitisha kuwa huna akili, unataka kuniambia kwamba kuuwawa ndo ilikuwa solution?
Filipino

@NYESEJR @Hamadbakari2 @Sativa255 Vita haina macho,ukianzisha vurugu madhara yake huwa yanaenda hadi Kwa innocents,kwani mwendo Kasi ilivyochomwa waliochoma tu ndio walishindwa kupanda?
Indonesia

@Hamadbakari2 @Sativa255 Sasa mnamtuhumu nani kama hakukua na Serikali??
Indonesia

@mkuubaba @Hamadbakari2 @Sativa255 Huo usenge huo unaongea, vip ambao waliuwawa wakiwa sebulen kwao?
Filipino

@Hamadbakari2 @Sativa255 Sasa kama hawakuwa na silaha walilipua Vipi vituo vya mafuta? Au kwenu nyie silaha ni bomu na binduki Tu? Mlichomaje magari ya watu?
Indonesia
NYESE JR retweetledi

Daah SAMIA kaua ndugu zangu wengi sana daah…!
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi
OMG!! 😭😭😭😭 hii ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii. Anasema kuwa polisi walikuwa wanachukua simu za manesi na madokta wanafuta video na picha na kuwatishia wasirekodi kitu, yeye alikuwa na simu 2 so akawapa simu ambayo alikuwa hajarekodi chochote wakaridhika.
Indonesia

OMG!! 😭😭😭😭 hii ni Mortuary ya Mwananyamala. Alieachia video hii anahofia mnooo maisha yake ndo maana imemchukua muda sana kunipa video hii.
Anasema kuwa polisi walikuwa wanachukua simu za manesi na madokta wanafuta video na picha na kuwatishia wasirekodi kitu, yeye alikuwa na simu 2 so akawapa simu ambayo alikuwa hajarekodi chochote wakaridhika.
Filipino

@hamis_abas @Flagoff1 @gratian_barbosa @NYESEJR Huyu mseche na @AllenJezzy huwa wanapenda kunipika kweli..Ni wiki ya 3 sasa hawaonekani😀
Filipino

Hakuna shabiki wa Liverpool ambae alikua anajimaliza kama @gratian_barbosa Kmk Jamaa sasa hivi kapotea kinoma 😂😂😂😂😂
Indonesia

Kupata goli moja imebidi apige on target 3 kwa mpigo😀😀😀
Fabrizio Romano@FabrizioRomano
🛑🇸🇮 Benjamin Šeško scores his first goal as Manchester United player! 🔛
Polski









