mzalendo🇹🇿

35.1K posts

mzalendo🇹🇿 banner
mzalendo🇹🇿

mzalendo🇹🇿

@Hamadbakari2

mjasiriamali wa Mtaani , ( BABA) muumini wa democrasia na utawala bora, ndio msingi wa maendeleo🙏

Tanzania,dar esalaam Tabata. Katılım Ocak 2019
3.4K Takip Edilen2.2K Takipçiler
mzalendo🇹🇿 retweetledi
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
HIKI NDIO NINACHOKIONGEA KILA SIKU…… WATANZANIA TULIO WENGI HATUPIGANIII MASLAHI YA CHAMA CHOCHOTE TUNACHOPIGANIA NI HAKI NA MASLAHI YA NCHI. LAKINI WAUWAJI @SuluhuSamia , wako busy kudeal na Chadema. Wanajitoa akili kuwa October 29 Watanzania tuliingia barabarani bila kuambiwa na chama chochote cha siasa wala mwanasiasa yoyote yule kutushawawishi…. Kwa sasa Watanzania tunaegemea upande wa Chadema only because they have earned our trust na sio sababu sisi ni Wana Chadema. HIi movement ya kudai haki Tanzania, itashinda sababu haina chama, wala dini wala ukabila.
Filipino
19
282
1.3K
27.1K
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
A-Town nimerudi home 😎🔥 Nimetua ARUSHA leo kutokea KAHAMA, nimekutana fresh na Mkti wa Kanda pamoja na viongozi wengine pale Relini. Tarehe 22/05/2026 Mkutano hapa A Town , yaani Makaksi wote tupo yaani😂 Kahama, Katoro na Geita wasijipe hopes sana 😅… safari hii A-Town tunataka ku-set standard nyingine kabisa. Tutawaonyesha difference ya “mlima na kichuguu” politely tu 😂🔥
Godbless E.J. Lema tweet media
Eesti
41
173
1.5K
29.3K
My64impala🇺🇦🇺🇸🇹🇿🇮🇱
Halafu kuna watanzania wasenge wanamsifia Ayatollah. Mtanzania wa tatu sasa ameuliwa na magaidi wa Ayatollah. 🚮🚮 @kighera50 @AbroadTanzania
MwanzoTvPlus@MwanzoTvPlus

#BREAKING: MWILI WA BAHARIA WA KITANZANIA ALIYEUAWA KATIKA SHAMBULIO LA STRAIT OF HORMUZ WAREJESHWA NYUMBANI Mwili wa baharia wa Kitanzania Mchama Maregesi Mongu, aliyeuawa tarehe 3 Mei 2026 kufuatia shambulio la bomu dhidi ya meli iliyokuwa ikipita katika Mlango wa Strait of Hormuz, umefika nchini kupitia Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere. Mongu alikuwa akihudumu kwenye meli ya kuvuta VOLANS (IMO No. 929856), iliyosajiliwa chini ya bendera ya Falme za Kiarabu (UAE), wakati iliposhambuliwa ikisafiri kutoka UAE kuelekea Oman. Mamlaka ya Usafirishaji wa Baharini Tanzania (TASAC) ilithibitisha utambulisho wake na kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kuratibu urejezwaji wa mwili wake. Mashirika ya kimataifa ya baharini, yakiwemo IMO, yameonya kuwa mashambulio ya aina hiyo yanaonyesha hatari kubwa kwa mabaharia na biashara ya kimataifa, yakisisitiza umuhimu wa kulindwa kwa haki ya kupita bila kuingiliwa chini ya Mkataba wa Umoja wa Mataifa wa Sheria za Bahari (UNCLOS).

Zionsville, IN 🇺🇸 Indonesia
2
4
7
591
Maelezo News
Maelezo News@maelezonews·
Mamia ya Wananchi Leo Mei 19, 2026 Katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) wamejitokeza kumlaki Nyota wa zamani wa Leeds, Manchester United na England Bw. Rio Ferdinand ambaye amewasili nchini kwa ziara ya mwaliko wa Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Paul Makonda.
Maelezo News tweet mediaMaelezo News tweet mediaMaelezo News tweet mediaMaelezo News tweet media
Indonesia
1
1
8
739
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Upo upande gani hapa A. Or. B
kasesco☆ tweet mediakasesco☆ tweet media
46
45
107
3.3K
Swahili Times
Swahili Times@swahilitimes·
Wanachi wamejitokeza katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere, Dar es Salaam kumpokea nguli wa zamani wa timu ya Taifa ya England na Klabu ya Manchester United, Rio Ferdinand. Akiwa nchini, Rio anatarajiwa kutembelea Bunge la Tanzania pamoja na vivutio vya utalii.
Indonesia
71
13
299
17.9K
mzalendo🇹🇿 retweetledi
H E R R Y 🦉
H E R R Y 🦉@Uherry14·
Afadhali sio ndugu yangu huyu takataka
Indonesia
0
1
2
178
mzalendo🇹🇿 retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Amka na Akili za KIPANYA leo.
Filipino
28
369
1.6K
28.6K
mzalendo🇹🇿 retweetledi
Jamii Forums
Jamii Forums@JamiiForums·
DAR: Mchora Katuni ambaye pia amewahi kuwa Mtangazaji wa Redio na TV, Masoud Kipanya ametoa kauli hiyo Mei 15, 2026 akieleza mtazamo wake kuhusu Waandishi wa Habari walioshiriki kuwania nafasi za uongozi kupitia Vyama vya Siasa. Je, Uhuru wa Habari utakuwa hatiani kulingana na mgongano huo wa kimaslahi? Nini maoni yako Mdau? Zaidi bofya jamii.app/KipanyaIthibati #JamiiForums #Uwajibikaji #Siasa Video: Tell A Vision
Indonesia
19
149
839
30.2K
mzalendo🇹🇿
mzalendo🇹🇿@Hamadbakari2·
@John_Pambalu Ma ccm huwa yanaamini hii nchi ni mali yao na hakuna mtu nje ya ccm anaweza kuisemea nchi ni wao tu🤣
Indonesia
1
0
16
577
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
Anahitaji dakika moja tu kuwamaliza Chadema wote. Hivi hawa watu wanajua nini cha kusema na wakati gani?. Huyu ni MKT wa umoja wa wanawake taifa. Na kamwe hutamuona msajiri wa vyama akiwalima barua.
Indonesia
122
137
523
32.8K
mzalendo🇹🇿
mzalendo🇹🇿@Hamadbakari2·
@WizarayaUJ Shule anayosoma mwanangu ina watoto wanakaa chini, kupanga ni kuchagua,Dodoma kuna foleni gani?
Indonesia
0
0
0
11
Wizara ya Ujenzi
Wizara ya Ujenzi@WizarayaUJ·
Barabara ya Dodoma Mjini–Chamwino Ikulu (km 32) kujengwa kwa mfumo wa Sanifu na Jenga na kuwa ya njia sita. Mradi unalenga usalama, urahisi wa usafiri na ukuaji wa uchumi.
Wizara ya Ujenzi tweet mediaWizara ya Ujenzi tweet mediaWizara ya Ujenzi tweet mediaWizara ya Ujenzi tweet media
Indonesia
3
0
1
214
Wizara ya Ujenzi
Wizara ya Ujenzi@WizarayaUJ·
Serikali yasaini mkataba wa ujenzi wa barabara ya njia sita kutoka Dodoma Mjini hadi Chamwino Ikulu (km 32) kwa gharama ya Sh bilioni 241. Lengo ni kuboresha usafiri, kupunguza msongamano na kuipa Dodoma hadhi ya jiji la kisasa
Wizara ya Ujenzi tweet mediaWizara ya Ujenzi tweet mediaWizara ya Ujenzi tweet mediaWizara ya Ujenzi tweet media
Indonesia
4
5
28
2K
Shasila Nabipa
Shasila Nabipa@Shasilanabipa·
Chadema kususia uchaguzi yalikuwa maamuzi ya binafsi yenye maslahi ya Wana siasa na sii kwa ajili ya wanachi, Chombo pekee cha kuwasemea wananchi ni bunge, Leo hii chadema hawana mbunge hata mmoja watawasilisha vipi hoja za wananchi,Chadema wanapigania maslahi yao binafsi
Shasila Nabipa tweet media
Indonesia
92
8
44
6.1K
mzalendo🇹🇿 retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Hii ya KAHAMA imeniogopesha wanangu. Naona mpaka Mh Heche kaona Awavulie kofia kwa hili nyomi. Wakoloni weusi kupata robo ya hili nyomi kwanza lazima MASHULE yafungwe. Watu wabebwe na kusombelewa kwenye maroli kama ng’ombe. Mahospitalini VICHAA wabebwe wapelekwe mkutanoni. Ila CHADEMA kujaza nyomi kama hili ni kugusa tuu mamae. REPOST 200 #KatibaMpya #FreeTunduLissu #TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet mediaSIR TIVA tweet media
Indonesia
26
240
1.3K
27.6K
mzalendo🇹🇿 retweetledi
John Pambalu
John Pambalu@John_Pambalu·
Picha la kutisha. Nipate.... Repost 1000
John Pambalu tweet media
Filipino
7
86
334
2.8K
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Sijawahi kuona msiba ukisafirishwa kutoka mkoani kuletwa Dar ila unatoka Dar kwenda mkoani.
Indonesia
52
64
953
43.2K