
@HildaNewton21 Sometimes sisi wabongo ni km tuna utindia wa ubongo,
Utaskia mtu anamponda hta Mo dewji,ila yeye kakaa kijiweni au kwenye social media , bank account inasoma 100k ,nae anajiona ana akili kumzidi Mo,Sasa unajiuliza akili zake huyu mtu zinamsaidia nn wakat wajinga wanafanikiwa?
Indonesia
























