DreamChaser

958 posts

DreamChaser banner
DreamChaser

DreamChaser

@Nas__Tz

https://t.co/slnKwzaNrh

Katılım Mayıs 2014
102 Takip Edilen37 Takipçiler
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@HildaNewton21 Sometimes sisi wabongo ni km tuna utindia wa ubongo, Utaskia mtu anamponda hta Mo dewji,ila yeye kakaa kijiweni au kwenye social media , bank account inasoma 100k ,nae anajiona ana akili kumzidi Mo,Sasa unajiuliza akili zake huyu mtu zinamsaidia nn wakat wajinga wanafanikiwa?
Indonesia
0
0
0
35
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nduli Idd Amin Mama anahangaika sana naona sasa kaamua kununua shahada za heshima.😂 Ni hivi kama wewe ni kilaza utabaki kuwa kilaza tu hata ulipe vyuo vikupe Shahada za heshima zifike hata 100 kama ni zero brain utabaki kuwa zero brain. Mtu anajiita mtaalam wa hesabu halafu hata nusu ya 100,000 haijui? Anasema yeye ni mtaalam wa Uchumi hata bei ya mafuta haijui anakuja kudanganya Watanzania eti USA lita ya mafuta inauzwa Dola 8000 mara Europe lita moja wanauza Euro 6000. Takataka kabisa 🚮🚮🚮
Indonesia
44
46
245
12.4K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@mangekimambi Don't let us na sisi watanzania tumuombe Mmarekan ashushe mambomu hapa tz ili CCM iondoke,am I right? By the way ur a woman u cant think properly.
English
16
0
10
61.9K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@HildaNewton21 Km watanzania mmeiendesha bandar Kwa zaid ya miaka 40 na hakuna maendeleo Why asipewe muwekezaji! Ok nyie ndo akipewa muwekezaji kauziwa na police wakikamata mtu ndo kamteka! Tz tuache chuki hata kwenye maendeleo ya nchi.
Indonesia
0
0
0
21
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Baada ya “Who are you” kukataa kumpa pesa Nduli Idd Amin Mama kwasababu aliuwa Watanganyika zaidi ya elfu kumi Oktoba 29, naona sasa ameamua kuuza Bandari ya Tanga kwa DP World. Next sijui atauza nini?
Hilda Newton tweet media
Indonesia
25
86
794
31.5K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@Sativa255 Always I'm trying to advice this Guy,lkn mze kichwa chako ni kigumu sana kuelewa,acha kila kitu kiishe hao unaowapambania siku ukifa watakuzika km shujaa then watarudi bar kula nyama na bia na kila kitu kitaishia hapo.
Indonesia
0
0
0
6
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Mimi nimepewa ULEMAVU TAYA MOJA ya chini kushoto ni ya chuma baada ya kupigwa RISASI YA KICHWA. Ila chakushangaza mpaka leo mimi ndio natafutwa usiku na mchana na serikali haramu ya TANZANIA na jeshi la polisi wakiongozwa na MAFWELE niuliwe. Ninazo taarifa RASMI kuwa kwasasa mpango uliopo sio tu kuniteka bali ni KUNIUA "onspot" popote watakaponiona. Jaribio la KUNITEKA na kunikamata kihuni limegonga mwamba kwa zaidi ya miezi 20. Sasa wameamua kuingia phase 2 ya kuhakikisha nauliwa popote nitakapoonekana. Wabaya wangu ni MAFWELE, JESHI ZIMA LA POLISI NA SERIKALI HARAMU YA SAMIA SULUHU. Nimeweka hapa kama sehemu ya KUMBUKUMBU naomba muitunze. TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
59
429
2.8K
76.7K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@HildaNewton21 Ungetumia muda na energy hii ulonayo kutafuta pesa sasahv inawezekana ungekua na biashara kubwa sana,sio Kwa ubaya ila unatumika vbaya .
Indonesia
0
0
0
2
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Picha ya kwanza ni mzee Mohamed Saidi, dini Mwislamu, mkazi wa Tandika, wilaya ya Temeke jijini Dar. Shuguli anayofanya ni kubeba mizigo soko la Tandika. Amekana imani yake na kujibatiza Ukatoliki wa kuchaji kwa tamaa ya vipande vichache vya fedha. Picha ya pili (aliyezungushiwa duara) anaitwa Naomi Matola, kabila Mnyakyusa, mkazi wa Kurasini, mzaliwa wa Mwakaleli, Mbeya. Amewahi kuwa Mwenyekiti wa UVCCM Kata ya Kurasini 2017 hadi 2022, na pia aliwahi kugombea Uenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mivinjeni, Kata ya Kurasini jimbo la Temeke mwaka 2014 akashindwa na Claudius Togocho wa Chadema. Naomi ni Muumini wa Kanisa la Moravian, ushirika wa Keko. Amewahi kuwa muimbaji wa kwaya ya Sinai Moravian Keko, lakini akafurushwa kwa utovu wa nidhamu. Naomi amekana imani yake ya Moravian na kujivika Ukatoliki wa kuchaji kwa tamaa ya vipande vichache vya fedha. Namba yake ya simu ni 0712 535467, msalimieni kidogo.!
Hilda Newton tweet media
Indonesia
64
171
1K
54.1K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@HecheJohn Unacholalamika hapa bwana Heche sio kuhusu mauaji ya 29th,Wala huna uchungu huo,Plan ya 29th ilikua ni ya CDM ila hamkupata matokeo mliyotarajia,just calm down kisha mje na plan nyingine hii ya 29th ilishafeli na mmeua watu Kwa plan zenu mbovu, acheni kuturemba na maneno hapa.
Indonesia
0
0
0
3
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Jaji Mwambegele, Kailima na tume yenu… Nyie ni wahusika wa moja kwa moja ya kile kilichotokea tarehe 29/10. Nyie kwa kiburi na dharau mmeingiza Nchi yetu kwenye matatizo makubwa… Mauaji, dhuluma na maumivu makubwa waliyofanyiwa Watanzania.. Nyie ni sehemu ya wahusika wa kupika na kutekeleza huo uovu. Watanzania hawapaswi na hawatasahau, mpaka haki itakapotendeka.
Indonesia
57
366
1.6K
36.2K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@HecheJohn Unajua nyie wanasiasa mna akili sana,b4 29th mliplan na kuziteka akili za vijana na mkajua tu kutokana na sumu mliowajaza lazima watafanya vurugu na police hawatotulia lazima watafanya jambo,so mkasubir reaction yao now mmepata content,nyote ni wauwaji tu hakuna kutupiana mpira.
Indonesia
0
0
0
5
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@HildaNewton21 Skuhiz wachawi sio wazee,hv ungekaa ukamuombea mamako akawa na kacheo serekalini ungepungukiwa nn,kazi kukaa vilingeni kuroga mama wa watu afe ili unufaike na nn ambacho huna saahiz.?
Indonesia
0
0
0
2
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
Nimeota Idd Amin Mama amekufa ila hajafumba mdomo sasa wakati tunapokea hiyo taarifa ya msiba nilikuwa na rafiki angu mmoja hivi yeye alifurahi sana, furaha ikamzidi hadi akazimia sijui hii ndoto tafsiri yake nini?
Indonesia
74
98
1.2K
41K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@MariaSTsehai Maria km unahitaji kibali Cha kuendelea kuwa mkimbizi wa kisiasa tafuta matukio mengine ya kureport sio haya ,yashakua ya zamani mno,hata huyo Larry akisoma anaona ni habar nyepesi yu ya kutunga ,acha utoto na kupotisha watu ,Yan watu aache kula Sikukuu na familia .
Indonesia
0
0
0
26
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️🚨OPERATION FUKUA MIILI DEC 25‼️ Nimekuwa nikifuatilia taarifa ya kikosi cha Abdul kufukua miili ya wapendwa wetu katika makaburi halaiki na kuyachoma! Siku iliyopangwa ni KESHO - Dec 25 na zoezi hili litaratibiwa na besti ake Abdul anaitwa Sumai (huyo anayejipiga picha)! Huyu jamaa ametajwa sana na Rachel Dangwa ila sikuwahi kutilia maanani sana lakini mmoja wa source wangu ameniambia huyu jamaa ni KEY OPERATOR kati ya Abdul na kikosi chinjachina! Nendeni kwa Rachel ye ana data zake Sasa hii operesheni wamepanga kufanya maeneo kadhaa kwa mujibu wa mtoa taarifa mwingine na ametaja maeneo kuwa - Mwananyamala pembeni mwa hospitali - Beach huko Ununio - Kawe nyuma ya ghorofa ya Kikwete - Kimbiji - Msituni maeneo ya Mabwepande Hii operesheni imelengwa zaidi Dar mida ya usiku so kuanza leo kwenye mkesha tuwe rada maana kwa sasa jeshi lililotumika kuzika mikoani na karibu na makambi ya jeshi hawapo! Kesho muhimu kwenda kuzuru pia maeneo haya Tusisahau na kwa Kondo kama @LarryMadowo @CNNAfrica walivyowabamba! Kama nilivyosema wamevurugana huko ndani na wazalendo wamechoka wanamwaga data Alafu JWTZ mkikubali huu upumbavu hatutawasamehe kamwe! Mjiongeze! Tunataka miili ya wapendwa wetu tuwazike kwa heshima! #SamiaMustGo #D25 #J1 #TusiogopeTumeshinda
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Indonesia
21
196
1K
69.1K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@HecheJohn We mzee hebu acha watu wale Sikukuu na familia zao,Roho Yako haitulii bila kuona vurugu kwenye hii nchi? Watu walishakufa Kwa uchochezi wenu usiokua na mipango thabit ,Leo unawakumbusha Tena.
Indonesia
0
0
3
43
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@godbless_lema Buda unazingua,Yan hapo ndo umefika mwisho wa kufikir, UNFOLLOW hii itasaidia nn? Itamuondoa kwenye uwaziri,itamfanya aongee unachotaka au itampunguzia nn,mze unawaza km watt wa 2000?
Indonesia
0
0
0
4
Godbless E.J. Lema
Godbless E.J. Lema@godbless_lema·
Kwa: Gen Z na watu wote. Yahusu - Mwendo wa Haki na Ukweli Machalii na wasee wangu wote, Natumai mko poa. Hii message iko straight forward, hakuna kuzunguka, ACHENI KUMFOLLOW SAA HII , huyu Mwigulu Nchemba. 👉 Unfollow kwa platform ZOTE , IG, X, TikTok, YouTube, kila mahali. Sababu iko wazi, anaongea bila facts, anapotosha watu, na hajali haki ama ukweli. Sisi kama Gen Z na wananchi hatuwezi endelea kupea mtu clout wakati anauza uongo. Hii si chuki, si beef ya kibinafsi , ni simamo ya pamoja. 👉 Unamfollow = unaongeza kelele. 👉 Unam-unfollow = unasimamisha upotoshaji. Chukueni hii kama direction ya mtaa na ibada takatifu. Mwendo mmoja, lengo moja. Asanteni kwa kuskia na kuchukua hatua. Post na sambaza matokeo. Wenu katika ujenzi wa haki, God bless Lema
Godbless E.J. Lema tweet media
Filipino
104
317
1.2K
39.6K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@Sativa255 Yan kenge km ww unajifananisha na wambura au muliro ,so we ndo mpanga mipango ya maandamano ili watu wafe we ubaki ukila mema ya nchi juu ya dam za watu,Tofauti Yako we na alieuwa Kwa bunduki ni ipi? Nyote mnawatumia waTz Kwa manufaa binafsi, stupid kabisa nyie.
Indonesia
0
0
1
8
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kuhusu tunaohamasisha MAANDMAANO kuwa hatuonekani kwenye maandamano kuwa mstari wa MBELE analijibia WAKILI MSOMI JEBRA KAMBOLE. “Mbona ambao wanaosema watazuia au kupambana na waandamaji huwa hawawiwi mbele? Wakati wa maandamano mlimuona Wambura au Murilo wakiwa mbele pale?” @Advocate_Jebra REPOST 500 TUTAKUWEPO🫵🏾😎
SIR TIVA tweet media
Filipino
68
450
2.1K
61.7K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@mangekimambi Jambo la kufungiwa account mange ni lazima Congress wahusike kupaza sauti who is Mange ???
Filipino
0
0
0
6
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
Hi guys, Kuhusiana na account zangu za Instagram na WhatsApp kufungiwa na meta tumeshauriwa kuwa ni muhimu tukawasiliana na bunge la Marekani na kwa wingi wetu tuwaombe wafanye congressional inquiry into meta’s actions after the Tanzania massacre in disabling accounts za wanaharakati, tunashukuru ya @MariaSTsehai imerudi. Meta wameturudisha nyuma sana kwenye safari ya ukombozi na ni lazma tuwafikishe kwenye chombo husika (bunge la Marekani) ili hatua sahihi zichukuliwe. Tunaomba na ndugu zetu Wakenya watusaidie hii kampeni. Peke yetu hatutaweza. Tafadhali jitahidi uwasiliane na kila email na kila namba ya simu niliyoweka hapa. US senate foreign relations committee Email: Web_Inquiry@foreign.senate.gov Phone: (202) 224-4651 US senate foreign relations chairman Phone: (202) 224-2752 Email lazma ingia kwenye hii link ujaze: risch.senate.gov/public/index.c… US senate committee on Commerce, Science and Transportation. Phone: 202-224-1251 Email:Republican_Whistleblower@commerce.senate.gov Email:Cantwell_Whistleblower@commerce.senate.gov HOUSE FOREIGN AFFAIRS COMMITTEE Phone: (202) 226-8467 WHITE HOUSE -(Donald Trump) Please Jaza hii form whitehouse.gov/contact/
Filipino
158
757
3.4K
115.7K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@JohnNgutiCDM Ukiaachana na Samia,Kuna nyie ambao chama chenu kinaunga mkono 🌈 ,mkichukua nchi tunachomeka km 3nzi za sodoma.
Indonesia
0
0
0
9
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@Sativa255 Acha kudanganya watanzania ww ,unafikiri mapinduzi ni jambo rahis ,km ww ni mwanaume kweli mbona unajificha hutokei Barabaran hata kwenye maandamano tu,kaz kuagiza watu waandamane.
DreamChaser tweet media
Indonesia
0
0
0
5
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Hii ndio HOTUBA YA JESHI likichukua nchi huko BENIN. Huku kwetu watanzania zaidi ya ELFU KUMI wameuliwa na Dikteta JIKE lakini JESHI LETU WANANCHI limeamua kuwa upande wa DIKTETA kutisha watu wasiandamane kudai HAKI za watanzania waliouliwa kikatili. WAPUMBAVU huku wamegeuka TRAFIC mabarabarani kutisha watu tusiandamane kudai nchi yetu. TUTAKUWEPO🫵😎
Indonesia
26
136
785
29.6K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@MariaSTsehai Let me ask this, Ikiwa Samia Must Go,je tunadhani ni nan anafaa kuwa kiongoz wa taifa hili na kwanini?
Indonesia
0
0
0
8
Maria Sarungi Tsehai
Maria Sarungi Tsehai@MariaSTsehai·
‼️Breaking news‼️ Inadaiwa na vyanzo viwili vinavyojitegemea kuwa Fadhili Saga (msaidizi wa Mombo) ameondolewa kwenye nafasi yake! Kumbukeni huyu nimempigia sana kelele kutokana na kuhusishwa na ushenzi mwingi sana na ukatili! Hii haitoshi lakini maana alikuwa anafurahisha wakubwa zake so #SamiaMustGo #D9 #D9Tunatoka
Maria Sarungi Tsehai tweet mediaMaria Sarungi Tsehai tweet media
Filipino
65
280
1.7K
132K
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@Sativa255 Hv mtawaona watanzania wajinga mpk lini ,Yan unaandaa na kupush maandamano ya amani huku we mwenye haupo,unajificha nn? Unataka watu wakakudaie haki huku umetulia geto na popcorn unachek CNN wanapost nn!
Indonesia
0
0
0
17
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@Sativa2555 Tukimaliza kusherehekea hichi kinachoendelea na Hawa wanaojiita wanaharakati,wao watapewa uraia huko marekani na ulaya Kisha mini na ww tunaojiita GenZ tutabaki hapa hapa Tz, #ThinkTwice Kabla hujaamua kuwaunga mkono, Wenzenu wanatafuta Visa ya kwenda marekani.
Indonesia
0
0
0
7
DreamChaser
DreamChaser@Nas__Tz·
@mangekimambi @realDonaldTrump We ni mweusi tu Hata uandike waraka haitasaidia kukupa ww uzungu mbele ya Trump,kaz uchawa tu kugombanisha watanzania wenzio Kisa unaishi Ughaibuni, Huna tofauti na wale waliopewa chakula na Mavazi ili kuwavalisha waTz wenzao Minyororo ya utumwa, Your a killer because of money.
Indonesia
0
0
0
6
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸
Mange Kimambi 🇹🇿🇺🇸@mangekimambi·
@realDonaldTrump Dear Mr. President, My name is Mange Kimambi, and I am a Tanzanian pro-democracy activist who has been living in the United States since 2012. I am writing to bring to your attention what I believe to be a grave injustice committed against the people of Tanzania and myself by Meta, and to respectfully request your support in defending democratic activism and freedom of expression online. Recently, my Meta accounts — including Instagram (@mangekimambi80), Instagram News media page owned by me (@wananchiforum), and my WhatsApp number (+1 424-537-3057) — were deactivated after I raised awareness about a series of severe abuses and horrific events occurring in Tanzania. These include, the kidnappings of regular citizens and kidnappings, killings and imprisonment of opposition leaders on fabricated treason charges, the barring of opposition parties from participating in the general election, widespread corruption, misuse of public funds, and the large-scale looting and exploitation of Tanzania’s natural resources by foreign governments such as the UAE, China, Oman, and most recently Russia, which is currently seeking access to Tanzania’s significant uranium deposits. Despite the country’s natural wealth, millions of Tanzanians continue to live in extreme poverty and lack even basic necessities — including clean drinking water — due to systemic corruption. For months, I used my platforms to highlight these issues and consistently encouraged PEACEFUL protests, as many Tanzanians feel there is no safe alternative for expressing dissent. The government has been widely accused of kidnapping, torturing, or killing individuals who speak out against injustice, which makes digital communication one of the only remaining tools for civic engagement. Every post I made emphasized peaceful, non violent protests. On October 29 2025— the day of the general election — protests led largely by Gen Z erupted across the country. These demonstrations were met with extreme state violence. Thousands of young Tanzanians were killed and many more injured as security forces responded with lethal force. The African Union, SADC, and the EU Parliament have all publicly condemned the compromised electoral process and the deadly violence that followed. Most Tanzanians view the President, Samia Suluhu Hassan — who claimed 97% of the vote — as an illegitimate president who chose to kill thousands of Tanzanian youth instead of stepping down from power. Numerous photos and videos documenting these horrific events and deaths remain visible on my X account (@mangekimambi). My social-media platforms were essential tools for communicating with supporters, organizing peaceful civic action, and documenting human-rights abuses in real time. Their removal has severely hindered the ability of Tanzanians to access truthful information and to organize safely. Traditional media inside Tanzania has been effectively silenced; journalists who speak out risk being kidnapped, disappeared, or killed. This leaves social-media platforms run by diaspora activists like myself as one of the last remaining channels for Tanzanians to document and expose abuses. I respectfully ask that you publicly urge Meta to reinstate my accounts without delay. I also request that you encourage Congress to consider legislation that grants activists and individuals with significant public platforms meaningful legal recourse when their accounts are removed without transparency, due process, or a clear path to appeal. Millions of people around the world — especially those advocating for democracy and human rights — depend on platforms such as Instagram, Facebook, X and TikTok to have their voices heard. In today’s world, where civic freedoms and personal safety often depend on digital communication, these companies must be held accountable. On the same day my accounts were removed, another prominent Tanzanian activist, Maria Sarungi @MariaSTsehai saw her Instagram page
English
694
2K
6.5K
540.2K
Hilda Newton
Hilda Newton@HildaNewton21·
1. Frame no. 1 anaitwa Eliya Mbise alitekwa wiki tatu zilizopita Wilaya ya Arumeru. 2. Frame no. 2 anaitwa Victor Ndibalema alitekwa wiki mbili zilizopita Mkoani Arusha. 3. Frame no. 3 anaitwa Paulo Ngoni alitekwa wiki mbili zilizopita Mkoani Arusha. Leo Vijana hawa watatu wamefikishwa Mahakamani Mkoani Arusha, wamepewa kesi ya Uhaini na kwasababu kesi hiyo haina dhamana wamepelekwa Gereza la Kisongo.
Hilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet mediaHilda Newton tweet media
Filipino
26
306
1.1K
43.1K