NON EMPLOYED TEACHERS ORG

46 posts

NON EMPLOYED TEACHERS ORG banner
NON EMPLOYED TEACHERS ORG

NON EMPLOYED TEACHERS ORG

@NETO_TANZANIA

Akaunti rasmi ya umoja wa walimu wasio na ajira Tanzania

Dar es Salaam, Tanzania Katılım Mart 2025
18 Takip Edilen480 Takipçiler
NapoleonJunior🇹🇿(Mtanganyika)
NapoleonJunior🇹🇿(Mtanganyika)@TheSonOfMalundi·
Kipindi NETO wanawasilisha concern ya ukosefu wa ajira kwa vijana. Mkawaona miyeyusho ona sasa mnaanza kutoa hongo kwa vijana wa NETO @NETO_TANZANIA01 @NETO_TANZANIA . Kiko wapi sasa?
Jambo TV@Jambotv_

VIDEO: Serikali imetangaza jumla ya nafasi 41,500 za ajira katika kada mbalimbali zikiwemo elimu, afya, ulinzi, kilimo, mifugo na uvuvi, huku ikiagiza Sekretarieti ya Ajira kukamilisha mchakato wa kuzijaza zote ifikapo Novemba mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumamosi, Oktoba 11, 2025, katika Ofisi za Utumishi zilizopo Mtumba jijini Dodoma, Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Juma Mkomi, amesema ajira hizo zimetengwa mahsusi kwa ajili ya kujaza upungufu mkubwa wa watumishi wa umma nchini. Kwa mujibu wa Mkomi, kada zitakazonufaika ni pamoja na: Elimu: nafasi 12,176 Afya (Serikali za Mitaa): nafasi 10,280 Kilimo: nafasi 470 Mifugo: nafasi 312 Uvuvi: nafasi 47 Vyombo vya Ulinzi (Polisi, Magereza, Zimamoto na Uhamiaji): nafasi 7,000 Aidha, kada nyingine mbalimbali nazo zitapewa kipaumbele. Mkomi ameielekeza Sekretarieti ya Ajira kukamilisha pia mchakato wa ajira 45,000 ambazo hazikujazwa kwa mwaka wa fedha 2024/2025, sambamba na ajira mpya za mwaka 2025/2026, kabla ya kufika Novemba mwaka huu. Ameongeza kuwa kwa sasa Serikali inakabiliwa na upungufu wa watumishi takribani 280,000, na kwamba juhudi zinaendelea kufanyika kwa kutoa vibali vipya vya ajira ili kupunguza pengo hilo.

Filipino
1
0
1
59
NON EMPLOYED TEACHERS ORG
NON EMPLOYED TEACHERS ORG@NETO_TANZANIA·
(Alivyokuwa mjengoni utamsikia anasema "vijana wajiajiri serikali haina ajira" Kaja kutia Nia "vijana mnipe nafasi nitaenda kuwasemea muajiriwe hii nchi ni Tajiri sana" Ndugu mtia Nia hii sio 2005 ni 2025) Mwenyekiti NETO-Paul Joseph Kaheza✍️
NON EMPLOYED TEACHERS ORG tweet media
Indonesia
1
0
5
105
NON EMPLOYED TEACHERS ORG
NON EMPLOYED TEACHERS ORG@NETO_TANZANIA·
@NETO_TANZANIA inatamani na inashauku ya kupata majibu yatakayoweza kuponya mioyo yao iliyovunjika kwa muda mrefu, tunafahamu serikali uwezo wa kuajiri inao na haitakuja na visingizio visivyokuwa na msingi wowote katika Taifa, hii italeta tafsiri mbaya na italeta sintofahamu
NON EMPLOYED TEACHERS ORG tweet media
Indonesia
0
0
2
98
NON EMPLOYED TEACHERS ORG
NON EMPLOYED TEACHERS ORG@NETO_TANZANIA·
Ikumbukwe kuwa dhamira kuu la kuanzishwa kwa NETO ni kudai haki ya ajira kwa walimu wasio na ajira kwa mwaka 2015 hadi 2024 pasipo kuvunja sheria za nchi, na NETO inafuata na itaendelea kufuata taratibu zote za kisheria kuhakikisha kwamba dhamira hiyo inafanikiwa kwa kias kikubwa
Filipino
1
0
2
118
NON EMPLOYED TEACHERS ORG
NON EMPLOYED TEACHERS ORG@NETO_TANZANIA·
Saa chache zinaelekea kutamatika na sasa @NETO_TANZANIA wanaitizama serikali kwa jicho la kipekee sana kuelekea kupata majibu kutokana na kikao kilichofanyika tarehe 12 Machi mwaka huu, Umoja wa walimu wasio na ajira una matumaini makubwa sana kwa viongozi
NON EMPLOYED TEACHERS ORG tweet media
Indonesia
3
0
3
191