matogoro
2.2K posts


Arusha kilo moja ya samaki NI 18000
Hivi hakuna uwezekano WA kugawa ziwa Tanganyika kipande kingine mkaleta Arusha?
EZEKIAH JEREMIAH@ezzy_wix
Pande hizi nimelipia 25k samaki wawili wenye jumla ya 3kg. Vipi pande hizo bei ikoje?
Indonesia

@JuniorRobert24 @Celsius015 Flagyl na Pombe ni hatari usije ukajaribu, tutakula wali wa msibani
Indonesia

@Philosophe45141 Mim pia nina 35+ na sijui pikipik ila nimenunua shamba sehemu najiona kabisa ninahitaji kujua pikipiki maana hakufikiki kwa gari wakati wa mvua
Indonesia

@ProfessorTZA19 @yaredy30 Bado wapo wanaajiliwa waliokwisha maliza miaka ya Nyuma ila vyuo ndio vimeacha kutoa certificates
Filipino

@yaredy30 Na diploma yake take home 480k hii si unyonyaji kabsaa
Indonesia

@ItsKamala Sasa hizi parachichi za Grafring kama hass, Njombe ndio wanalima zaid kuliko hata Mbeya,
Filipino

@LastSagitarius @madeinmusoma Hiyo 12M ni deni pamoja na riba hapo yeye kapata milion 7 tuu
Filipino

@madeinmusoma Huyu kama hajawekeza vizuri hizo hela atakufa maskini mikopo yote hiyo ni muda mrefu ndio maana makato kidogo
Indonesia

@BarakaMaviatu Kama Dunia ni Flat je mwisho wake ni wapi kwa dhana ya duara inaleta maana kuwa haina mwisho kwa sababu ni mzunguko unapoanzia utarud tena pale pale
Filipino

@Jasusiwetu @Adventure_36 Sasa si zinaenda Iringa na pale ndio stend kuu ya Iringa kwa hiyo lazima ziingie stend, wakilitekeleza hili maana yake watakaza kushusha na kupakia stend bubu, hii ni kqa gari zinazoenda mfano Mbeya na hakuna mtu wa kushuka au kupakia Igumbilo linapita litashusha Mbeya stend kuu
Indonesia

@Adventure_36 Gari zinazoenda iringa mjini mfano Alsaedy na ABC hakuna ulazima wa kupita igumbilo

@SimonUrio434750 @Adventure_36 Umeona eeh hasa kwa Gari za Dodoma maana hata abiria wa kushuka Iringa kutoka Mbeya au Songea watashushwa Kihesa au Ipogolo
Filipino

@esmo_moshi @Adventure_36 Kwa kweli kuna sehemu hii itakuwa nzuri mfsno pale Iringa kwa Gari za Mbeya Dodoma..Gari haina mtu wa kushuka wala kupakia ila inapitiliza kama inaenda Dar km 8, 16 na kurudi kuifuata stend ya Igumbilo
Indonesia

@Adventure_36 Hii kitu ilikuwa inanikera sana....na nilikuwa sielewi kwa nini waingie wakat hawashushi wala kupakia? Na zingine unaacha njia unazifuata ndani ndani huko
Indonesia

@maipambomteta Nitumie toilet paper yaani mpaka niridhike basi nitatumia nusu bunda lile
Eesti

@AdoniasMusa @mananajr_ Yaani unaenda na mke chemba harafu mbegu hazijapatikana? Basi hii ndoa haipati mtoto sababu ni nyingi😃 zinachangia
Indonesia

@mananajr_ Anaenda na mke chemba, kuna wengine huwa wanarudi hawana anasema imeshindikana , unabaki kujiuliza shida nn
Indonesia

@andrew_elikana @mananajr_ Sasa Nyeto kwa mtu ambaye hajawahi kufanya ni ngumu sana kulipata bao tena kavuu..wanaofanya kila siku hata wakiibana mashine na mapaja wanamwaga
Filipino

@mananajr_ Ili kuweza kupata majibu sahihi ya vipimo unatakiwa kupiga nyeto kavu bila kutumia sabuni wala losheni. Inawezekana ukafanya na mkeo ukawithdraw kwenye kile kichupa ila haipendekezwi sana coz majibu hayatakua sahihi. Kuhusu chumba ndio unapewa chumba maalum kwaajili ya zoezi hilo
Indonesia

@BillyTronix1 Ila wajijue wao wanaishi nyumba za vioo, huu ugomvi wao ndio wataathirika zaidi
हिन्दी

@ze_mandevu Mchele wa Mbeya ni huko Dar ila ukija Mbeya tunaambiwa mchele huu Kamsamba yaani wa mchele Mbeya tunaoishi Mbeya hatuutaki
Eesti

@faraja_zungu @fariji_dee23 Songea hii unapata heka 2 na Chenji inabaki
Indonesia

@fariji_dee23 Unaweza kununua kaka, kuna maeneo unapata mpaka ekari moja kwa Tsh 500k.
Indonesia

@Kingsley_25 Na Umpate wa Kyela, wana dharau sana...siku wakitoa Rais wale tumekwisha
Filipino

















