#Festo MOSHI

11.9K posts

#Festo MOSHI banner
#Festo MOSHI

#Festo MOSHI

@esmo_moshi

Houdin of Cheaters....

Kilimanjaro Katılım Aralık 2015
57 Takip Edilen220 Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
Wakati mwingine mtu anaweza kuwa hana shida na wewe....ila sabab ya mdomo wako akataka akuoneshe ni nini anaweza japo hapati faida yeyote..... So msiwasukume sana watu kwenye kona ambapo watataka kukuonesha ni kiasi gani mioyo yao ina ganzi.
Indonesia
0
0
0
141
angel bellerin02
angel bellerin02@angelbellerin02·
Hio video ya hao jamaa wanaomfanya nyuma mwenzao kisa kumfumania mke ambae alitanua miguu na mapaja mwenyewe imeniuma sana Hadi tumbo limeniuma 💔💔
Indonesia
43
20
331
47.6K
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@PolycarpMDM Anasema dr Remy samaki akila binadamu ni habari, lkn binadam akila samaki kimwa
Indonesia
0
0
0
180
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
MUWINDAJI RAIA WA MAREKANI ALIYEKANYAGWA NA TEMBO MPAKA KUFA. Mwindaji tajiri Ernie Dosio raia wa Kimarekani mwenye umri wa miaka 75 amefariki nchini Gabon katika eneo la msitu wa Lope-Okanda baada ya kukutana uso kwa uso na tembo wakati wa safari ya uwindaji porini. Taarifa zinaeleza kuwa akiwa katika uwindaji alikutana ghafla na kundi la tembo jike waliokuwa wakimlinda mtoto wao, na ndani ya sekunde chache walimshambulia kwa kasi. Mwongoza watalii alijeruhiwa vibaya, lakini mwindaji huyo alikanyagwa na tembo hao hadi kupoteza maisha.
Polycarp The Bibliophile tweet media
Indonesia
5
1
31
6.3K
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@Adventure_36 Matv ya juu yanakera sana...unasinzia ukishtuka unakutana na mwanga wa tv had macho yanauma
Indonesia
0
0
0
89
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
MORGAN LUXURY Dar to Bukoba Nauli 150k Huu mwaka watu wamepania 🔥. Mshindwe nyie tu
Adventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet mediaAdventure-360 tweet media
Indonesia
28
36
303
19.8K
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@RITATanzania @RITATanzania najaribu kubadili cheti cha kuzaliwa nikifika kwenye kuupload files naambiwa attach cheaked attachments wakati nimeattach au yeyote anaejua anisaidie
हिन्दी
0
0
0
7
RITA Tanzania
RITA Tanzania@RITATanzania·
Je, ni huduma gani unayohitaji kuifahamu kutoka RITA siku ya leo?. Karibu tukufahamishe mdau. Pia unaweza kuwasiliana nasi kwa simu ya bika malipo; 0800117482 au tembelea tovuti yetu ya rita.go.tz.
Indonesia
150
4
39
0
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@tagatojtagato Ningekuwa serekali siwaruhusu wajenge uwanja hapo....ni kuzidisha msongamano eneo la katikat ya mji
Indonesia
0
0
0
245
Tagato James 
Tagato James @tagatojtagato·
🚨UNAHITAJI AKILI KUIELEWA YANGA-UWANJA PROJECT Eneo la JANGWANI lina vipaumbele viwili vya Serikali; DARAJA na project MTO MSIMBAZI Sisemi Yanga hajengi uwanja ila ni hadi project hizi zikamilike ndio picha ya uwanja na makadilio yake vitapatikana; NDIO UHALISIA na UKWELI
Tagato James  tweet mediaTagato James  tweet media
Indonesia
20
3
212
25.8K
Rastafarian_culture
Rastafarian_culture@IgoraIrene32964·
Moja ya changamoto nakutana nayo As a woman truck driver ni kugongewa hodi na wanaume wakitaka kunigonga alafu mi ndo nlipie utasikia hodi Karibu dada huduma zote zipo chumba utalipia vinywaji na hela ya service mwanzoni nliona utani sahizi issue ni deep 😂😂😂
Rastafarian_culture tweet media
Filipino
66
37
427
30.7K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Hivi kumbe Pound Lock System ilivumbuliwa na Wachina. Jamaa walikua mbele ya muda sana 😁
Indonesia
2
1
64
4.2K
matogoro
matogoro@Network_321·
@esmo_moshi @Adventure_36 Kwa kweli kuna sehemu hii itakuwa nzuri mfsno pale Iringa kwa Gari za Mbeya Dodoma..Gari haina mtu wa kushuka wala kupakia ila inapitiliza kama inaenda Dar km 8, 16 na kurudi kuifuata stend ya Igumbilo
Indonesia
1
0
1
33
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Kuanzia sasa sio lazima mabasi ya mikoani kuingia kila stend kama ilivyo awali, chuma imetoka Mbeya inakuja Dar pale Igumbilo Iringa hakuna abiria wa kushuka na gari iko full inaanyoosha tu Na mizani itakuwa inaingia mwanzo wa safari na mwisho wa safari. Hapo mnasemaje wakuu
Indonesia
51
47
677
23.2K
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Wait, why are they being affected by salt when the ocean water literally contains salt????
English
24
3
42
15.2K
Eng.Mapunda Jr
Eng.Mapunda Jr@EngMapundajr·
Mwenye Ule Mkeka wa Kodi zote zinazokatwa kwenye kila Lita Moja ya Mafuta yanayouzwa Nchini Malawi aweke hapa kuna Namna kama Serekali hili zigo wamewaachia Wananchi ambao wengi Wanaishi kwa Mlo Mmoja kwa Siku wapambane nalo..😟😔
Indonesia
24
33
355
21.3K
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@unlimited_ls Bodaboda they behavior is same worldwide, only they are not alowed to carry two people there
English
0
0
1
5
Unlimited L's
Unlimited L's@unlimited_ls·
NEW: Police seize nearly 80 dirt-bikes and ATVs after trapping dozens of teens during an illegal street takeover on a California bridge (HELICOPTER FOOTAGE) Video shows riders trying to push through traffic to get out, before realizing every exit was blocked Most of them ended up abandoning their bikes and running on foot Nine people were arrested, including one who tried to hide in the water. Police also recovered two firearms and impounded several vehicles used in the takeover
English
1.6K
4.6K
30.4K
2.2M
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@Hon_KibayasiF Ndo maana wakati nipo shule nilikuwa na demu chalinze so nikitoka home nasema naenda kibaha kwa rafiki yangu...najua ukitokea msala njian nikisema tulienda ruvu kutembea au chalinze kwa ndugu yake inasound
Filipino
1
0
0
72
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
@esmo_moshi Nakumbuka kuna Binti wa chuo wazazi wakijua mtoto wao anasoma kumbe alikuwa safari kwenda kwa Mchizi...🙌🙌 Hii ajali sio poa 🤝
Indonesia
1
0
0
174
Kibayasi FS 🇹🇿
Kibayasi FS 🇹🇿@Hon_KibayasiF·
Way back kuna ajali zilitikisa. Enzi hizo wanafuta kisahani: 1. SAO HILL, Bus la MAJINJA. 2. LUKUMBULU, Bus la SHABIBY. 3. PANDA MBILI, kwenye kona Bus la MORO BEST na LORI la Mabomba. 4. PANDA MBILI, Bus la TAQWA ilikula tuta ikahama na kuwaka moto. 🤝
Indonesia
23
10
71
9.5K
P'site Shio
P'site Shio@Psiteshio1·
Arusha ikifika saa 3 usiku maduka yamefungwa, watu wamelala na maskini ni wanahesabika. Dar watu wanafanya kazi usiku na mchana, pale Buguruni saa 8 za usiku unapata pilau la Moto kabisaaa lakini bado umaskini NI mkubwa Sana Shida inaweza kuwa NI nini?
Indonesia
63
35
488
27.6K
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@BlacDaady Tuliwahi fanya kituko mitaa ya tandale tupo na Noah letu dereva akatuwekea ligi tukamwacha aende tukakaa nyuma akipunguza mwendo tunapunguza akisimama tunasimama mbona alikuja kuomba msamaha...
Indonesia
0
0
1
560
Black Dady
Black Dady@BlacDaady·
Unajua baada ya kurudi kwenye bajaji nini kilitokea?. Jamaa hakupiga tena honi 😅
Indonesia
7
0
100
14.6K
Black Dady
Black Dady@BlacDaady·
Juzi kati nilitest kama kweli Confidence ni silaha na matokeo yalinishangaza.😅 Nilikuwa kwenye bajaji mitaa flani ya Goba, kwa bahati mbaya kulikuwa na foleni balaa. Behind bajaji yetu kulikuwa na roli la mchanga linapiga honi muda wote yani full makelele ikabidi.....
Filipino
34
23
637
69.1K
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@deosparta @PolycarpMDM Ninachosema ni parachichi inayolimwa Njombe sio ya kula(haina ladha ya parachichi ya Rombo au Tukuyu) kitachofuata hawa watakata miti ya asili waoteshe ya Njombe mwisho tutapoteza mbegu ya asili
Indonesia
0
0
0
37
Deosparta
Deosparta@deosparta·
@esmo_moshi @PolycarpMDM Tanzania tunalima sana hatuwezi fikia hio stage huku Ruvuma watoto shule ya msingi wana mshamba ya eka moja akipata gunia 16 za mahind kavuna na marafiki zake siku zinasonga.
Indonesia
1
0
0
24
#Festo MOSHI
#Festo MOSHI@esmo_moshi·
@KennedyMmari Tumeenda kutengeneza tuta pale sisi....afu baada ya miaka 10 mtu atakuja na wazo lingine
Eesti
0
0
1
211
Kenny Mmari Snr.
Kenny Mmari Snr.@KennedyMmari·
Theoretically, Msimbazi basin including Jangwani should in the end, look like this. Kigali wametengeneza city park kali sana, kwenye sehemu ambayo ilikuwa swamp. Nitafanya a simple video siku moja ya hiyo park.
Filipino
44
34
229
27K