Nuru Gulila
5.1K posts


@Octavianlasway Kwa hiyo hautupendi kabisa walima nyanya mdogo wangu 😂
Filipino

@jwise017 "Nilikutana na kademu asee kakaali, Kapo kaunta mi nakunywa safari" The guy from Kigamboni
Filipino

@1TraVeLA Huyu dogo ni mzuri sana, angalia anavyopokea mipira pamoja na movements zake, then ana speed na mashuti. Bado kidogo asaidiwe kwenye decision making, ni kama alivoanza Mzize
Filipino

Amillion dollar question:-
Raila Amolo Odinga alipobatizwa alipewa jina gani la KIKRISTO?
Sijalisikia hadi kazikwa.
Jambo TV@Jambotv_
VIDEO: Hivi ndivyo Jeneza lenye mwili wa Hayati Raila Odinga lilivyoshushwa katika kaburi lake leo Oktoba 19, 2025 nyumbani kwake Kang'oka Ka Jaramogi, Kaunti ya Siaya nchini Kenya. Baada ya kushushwa jeneza hilo imepigwa mizinga 17 ya heshima kutokana na wadhifa aliokuwa nao wa Waziri Mkuu Mstaafu wa Kenya.

@Udadisi Na tusali ile sala aliyotufundisha Baba yetu...... Usitutie katika kishawishi...... 😅
Eesti

@bohny_chengula Sasa kocha hata Ihefu hawezi kufundisha ndo anapewa starz ? Kocha ana kinyongo na wachezaji, kocha anataka uwakala wa wachezaji, asiyekubali haitwi. Nyambaaf zake na Kacheka wake
Indonesia

Google inanambia hii picha ilipigwa August 2022,
Nikiwa na kachero @ManenoIzaak , mtu mfupi wa sistimu ambae hapendi sura yake ionekane .. Anaundugu na @bajabiri ..
Issa throwback! 😎😀
#NakapanyaStyle

Filipino

@1TraVeLA Kamwe kasema, kama mtu wachezaji wake wanafeli majaribio Marekani hana ubavu wa kuwasema Kuala lumpur
Indonesia


@MichaelMwebe Wameleta mapinduzi makubwa sana kwenye cashless, makato yao ni nafuu zaidi kulinganisha na mitandao ya simu na benki zote
Filipino

I told her since we are celebrating your 25 years in the music industry ,
Let's start by wine tasting at @masiwines ...
Eyoo @jidejaydee we are just getting started!..
📸 by mamake Martino & Irene
#Nakapanyastyle

Lazise, Veneto 🇮🇹 English

@YoungAfricansSC @ikuluzanzibar Zawadi za Mh Mwinyi zimefika , halafu hawa wajinga @Tanfootball hela ya ubingwa watasema tusubiri usajili wa wachezaji msimu ujao. #KARIAMUSTGO
Indonesia

Uongozi wa Young Africans Sports Club unatoa shukrani za dhati kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi kwa zawadi ya shilingi milioni 100 kutokana na mafanikio makubwa tuliyoyapata Msimu wa 2024/25.
#TimuYaWananchi
#DaimaMbeleNyumaMwiko

Indonesia












