OB

22 posts

OB

OB

@OUTTHEINBOX

Katılım Mart 2021
46 Takip Edilen8 Takipçiler
CHINGA🌍
CHINGA🌍@CHINGA_KID_·
Sportybet code: 5Z44LK ODDS 28💚💚💯 STAKE BANK 100% WE ARE WINING💪💪💪💪💪
CHINGA🌍 tweet media
English
1
3
12
1.5K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@YoungAfricansSC Kesho akiharibu Tu, aende moja Kwa moja airport
Indonesia
0
0
1
226
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea katika mchezo huo, Kocha Mkuu wa Yanga, Pedro Goncalves, amesema maandalizi ya timu yetu yamekamilika na tumejipanga tofauti na mchezo uliopita. “Tumekuwa na siku tatu za kujiandaa na tunautazama mchezo huu kivingine kabisa, tutakuwa na mpango mwingine tofauti na ule wa mchezo uliyopita kwa kuwa haya ni mashindano mengine,” Pedro.
Young Africans SC tweet mediaYoung Africans SC tweet media
Indonesia
10
7
228
8.2K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@YoungAfricansSC Kesho akiharibu Tu, aende moja Kwa moja airport
Indonesia
0
0
0
93
Young Africans SC
Young Africans SC@YoungAfricansSC·
“Tunakwenda kucheza na miongoni mwa timu kubwa hapa nchini hivyo tunapaswa kuongeza umakini zaidi. Nakumbuka mchezo uliyopita tuliadhibiwa kwa kukosa umakini dakika za mwisho. Nina imani tutakuwa bora zaidi na kupata alama tatu katika mchezo huu muhimu,” Pedro.
Young Africans SC tweet mediaYoung Africans SC tweet media
Filipino
16
6
248
4.6K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@MarekaMalili Kwanza lami iliyowekwa hapo ni substandard
Filipino
2
1
1
405
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Hapa Mkuyuni Mkandarasi ame flood kila kitu mpaka soko 🙌🏼
Indonesia
5
7
183
6.3K
Adellah Tillya
Adellah Tillya@AdellaTillya·
Don’t Look down on Anyone, Tables turn, so Always remain Humble Hali aliyonayo Mtu Sio Mwisho wa Maisha yake kwani Mambo Hubadilika.HESHIMU KILA MTU.✍️
Adellah Tillya tweet media
Filipino
4
11
70
1.1K
w!se-man🦷
w!se-man🦷@mwarabu22305·
@zoetjesheeftX Familia zetu zina vita kali za ushirikina kwa ndugu wa wazaz wetu,kufanikiwa ni kazi sana.
6
0
9
1.4K
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️
Nimeona stori ya huyu kijana mwenzetu anaitwa Haji athuman, anasema huu ni mwaka wa sita toka ahitimu Masomo yake chuo kikuu Cha Dar es Salaam (UDSM), anasema toka amalize haja bahatika kupata kazi ameishia kuwa muokota makopo huku akiwa hana makazi ya kuishi. Anasema Kuna baadhi ya watu alio soma nao anakutana nao wengine walisha pata kazi na wameoa wamejenga familia zao tayari ila Kwa upande wake bado mambo magumu. Haji ana wakilisha vijana wengi wasomi ila ni vile wengi kujitokeza kama hivi ni ngumu. Hivi hapa Kosa ni lake au ni Elimu aliyo ipata?
❤️ Miss Platnumz ❤️💃🏽🧚🏻‍♀️❣️ tweet media
Filipino
58
12
266
35.4K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@kasesco_tz Kama unaweza kaa na watoto wako day school, achana na boarding schools
Filipino
0
0
2
437
kasesco☆
kasesco☆@kasesco_tz·
Eti wakuu ni wakati gani sahihi wa mtoto wako asome boarding school.. 1.Primary level 2.Ordinary level(o'level) 3.Advanced level (a'level).
Filipino
23
32
157
6.6K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@LogikbetX Still early, will deliver relax
English
0
0
0
2.1K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@TonyJo01 Sio kosa lake Africa imelaaniwa
Filipino
0
0
0
70
.
.@TonyJo01·
Nyerere ametuachia matatizo mengi sana ni vile wengi wenu hamjui.
Indonesia
20
31
152
6.2K
TICHA MANDEVU13
TICHA MANDEVU13@TichaMandevu·
Wazeee huyu GALATASARAY nimembetia peke angu 🥶
Indonesia
13
4
87
4.4K
SPOON
SPOON@TonnyUnfiltered·
Mwanaume kuwa na wanawake wengi ndio unakuwa mwanaume shababi.
Filipino
15
28
90
1.8K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@PolycarpMDM Africa imelaaniwa, full stop
Filipino
0
0
0
231
Polycarp The Bibliophile
Polycarp The Bibliophile@PolycarpMDM·
Rais wa Zimbabwe Emmerson Mnangagwa leo amekabidhi mamia ya baiskeli kwa maveterani wa vita katika eneo la Maphisa, Kezi, ambako sherehe za maadhimisho ya miaka 46 ya Uhuru wa nchi hiyo zimefanyika Jumamosi hii.
Polycarp The Bibliophile tweet mediaPolycarp The Bibliophile tweet mediaPolycarp The Bibliophile tweet media
Filipino
44
9
160
18.7K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@EsirEid Africa imelaaniwa, full stop
Filipino
0
0
1
11
🇪 🇸 🇮 🇷 🇹🇿🇲 🇹 🇿
#TajiriLaKihaya Kwa mawazo yangu Binafsi nadhani Demokrasia ya kupiga kura kila baada ya miaka 5 Afrika ina tatizo kubwa kuliko tunavyokiri. Inaua vision ya muda mrefu. Kiongozi anajua ana muda mfupi, hivyo anawaza: – Kujilimbikizia mali – Kuingia mikataba mibovu – Kukopa mikopo mikubwa Kwa sababu anajua akiondoka, mzigo unabaki kwa taifa. Matokeo? Madeni, miradi hewa, na sera zisizo na mwendelezo. Sasa tuwe wakweli… China haikujengwa kwa siasa za kila baada ya miaka 5. Chini ya Deng Xiaoping waliweka msingi wa uchumi kwa miongo bila presha ya uchaguzi. Kila siku tunasema Singapore miaka ya nyuma tulikua tunalingana kiuchumi ila sasa wametuacha vibaya mno… ni kwa kua chini ya Lee Kuan Yew,ilitoka kuwa nchi maskini hadi world-class economy. Rwanda chini ya Paul Kagame dira na sera vina consistency. Sasa angalia Afrika kwa uhalisia: Nchi nyingi zinazobadilisha viongozi kila baada ya muda mfupi: → Sera zinabadilika kila awamu → Miradi inasimama njiani → Kila kiongozi anaanza upya ili aonekane amefanya kitu Matokeo? Hakuna continuity. Hakuna vision ya taifa. Lakini pia ukweli mwingine: Kuna nchi Afrika zilizo na uthabiti wa uongozi kwa muda mrefu,zimeweza kusukuma agenda zao bila kuyumba sana (japo zina changamoto zake). Hii inaonesha kitu kimoja: Tatizo sio muda wa uongozi pekee… Tatizo ni mfumo mzima. Hata Ulaya na Marekani tunazozisifu: Ndio, wanapiga kura. Lakini wana: – Taasisi imara – “Permanent state” – Sera za taifa zisizochezewa kila awamu Ndiyo maana hata Rais akibadilika, nchi haishtuki. Afrika? Kila awamu ni “reset button”. Ukweli mchungu ni kwamba, Sio kila demokrasia inaleta maendeleo. Na sio kila kiongozi wa muda mrefu ni mbaya. Kinachohitajika ni: – Viongozi wazalendo – Taasisi imara – Dira ya taifa ya miaka 20–50 Kwa sababu… Ukipata kiongozi mzuri taifa linapaa. Ukipata mbovu miaka 5 tu inatosha kulirudisha nyuma kwa miaka 20.
Indonesia
73
37
220
10.3K
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@derc2323 Hiyo game imekuwa fixed, haiwezekani
Indonesia
1
0
0
61
deric
deric@derc2323·
Kuna mda unaweza kukaa chini na kuwaza hivi inawezekanaje kweli hata chuma moja mnashindwa kupata kwa timu inayoshika mkia hii sidhani kama ni sahihi😂😂😂😂😂
deric tweet media
Indonesia
11
9
48
1.5K
Coventry City
Coventry City@Coventry_City·
A point at home. ⏹️
Coventry City tweet media
English
321
146
3.3K
526.1K
SC Cambuur
SC Cambuur@SCCambuurLwd·
Veilig thuis, SCC-ers ♥️ #VVVCAM
Nederlands
1
2
27
3.8K
1 SEO Uzmanı
1 SEO Uzmanı@1seouzmani·
@SCCambuurLwd What are you even doing in this league? You clearly belong in a lower league. You basically sold the match—shame on you. The Dutch league is finished too
English
4
0
2
336
OB
OB@OUTTHEINBOX·
@mrlamar01_ Cambuur match fixing
English
0
0
0
178
DEAR GOD🇬🇧💙🥼
DEAR GOD🇬🇧💙🥼@mrlamar01_·
Chale the teams dey disappoint we waaa, we getting close to winning big then one team you had so much trust in will mess you up hmm
English
8
15
64
2.7K