P.PIO

27.9K posts

P.PIO banner
P.PIO

P.PIO

@Obby_5

🏄

United Kingdom Katılım Mayıs 2016
625 Takip Edilen1.7K Takipçiler
Sabitlenmiş Tweet
P.PIO
P.PIO@Obby_5·
Dear Men,Haijalishi uta jinyima ili umpe chochote aridhike,Uta aharisha au kuacha vitu gani vya msingi ili umfurahishe na kutimiza kile anacho taka,Utapambana vipi kuweka future yake iwe bora.Siku ya kukuacha hata kumbuka wema wako na vyote vizuri ulivyo mfanyia kamwe.
P.PIO tweet media
Indonesia
8
2
15
1.4K
P.PIO retweetledi
Jebra Kambole
Jebra Kambole@Advocate_Jebra·
Kumbe mnajua umuhimu wa haki ya kusikilizwa!! Mngeomba amani kwanza sio haki ya kusikilizwa!! Si amani kwanza, haki baadae? Kwanza kwanini mnataka kujieleza kwa watu wanaotuonea wivu?
Jebra Kambole tweet mediaJebra Kambole tweet media
Indonesia
61
221
840
23.3K
Samwel Daniel
Samwel Daniel@SammyMosereta·
@kishoka_ @Obby_5 Uliiga Vile ulivyokua na Matamanio navyo. Ambavyo hukua na Matamanio navyo hukuweza kuvifanya. Kwanini useme Chuo ndo ilikua sababu wakati yalikua Matamanio yako toka awali?
Filipino
2
0
1
30
METRO🎭
METRO🎭@kishoka_·
Nilienda chuo nikiwa sijawahi, Kunywa pombe, Kuvuta shisha, Kuvuta bangi/sigara, kutomba Malaya na mambo mengine mengi ya hovyo sikuwai Fanya before But now, Siwezi kulala bila bangi, au sigara, au iishe wiki bila kulewa pombe Itoshe kusema UNIVERSITY Ruined my life 😭😭
Filipino
113
63
598
58.5K
P.PIO retweetledi
Tundu Antiphas Lissu
Tundu Antiphas Lissu@TunduALissu·
Barua kutoka gerezani Ukonga kwa Mh. Tundu Lissu November 25, 2025 —Admin
Tundu Antiphas Lissu tweet mediaTundu Antiphas Lissu tweet mediaTundu Antiphas Lissu tweet mediaTundu Antiphas Lissu tweet media
Indonesia
45
653
2.4K
81.6K
P.PIO retweetledi
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
Eti AONYWA?! What the hell is that supposed to mean?! Au alitumwa kusema hayo?!Maana vinginevyo tungesikia kashtakiwa kwa UHAINI/UGAIDI… NB: Sema MCHONGO wa kutugawa kidini UMEBUMA.😎
Joseph Mbilinyi tweet media
Filipino
118
263
1.6K
50.5K
P.PIO retweetledi
Dunia🌍
Dunia🌍@DuniaSlaveDunia·
Muda sio mrefu ICC wanatoa tamko la kukamatwa Emmauel Nchimbi ,Samia,Murilo,Msigwa,Abdul,Makonda,Chalamila,N.k
Filipino
51
228
1.2K
17.4K
P.PIO retweetledi
Martin Maranja Masese
Martin Maranja Masese@IAMartin_·
Unasema hakukuwa na maandamano. Mbele yake unasema waandamanaji walikuwa na silaha za moto. Kama maandamano hayakuwepo hawa waandamanaji wenye silaha walikuwa kwenye gwaride? Hizo silaha za moto, waandamanaji wa mkoa/wilaya/kata gani walikuwa nazo? Kuna ushahidi au tusubiri tume?
Filipino
40
201
1.3K
44.1K
P.PIO retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Nimesikiliza baadhi ya maswali ya wahariri, mmewatendea haki Watanzania. Hii serikali haina ridhaa ya umma.
Indonesia
40
354
2.4K
49.5K
P.PIO retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
BARUA YA NWENYEKITI KWA WATANZANIA KUTOKA GEREZA KUU LA UKONGA:
John Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet mediaJohn Heche tweet media
Indonesia
60
634
2K
68.6K
P.PIO retweetledi
Spana & V.A.R Movement
Spana & V.A.R Movement@spana_Konki·
Wewe nenda kaTweet, itaenda imeenda viral na watakuwa wamekupika hivyo futa alafu jitetee, baada ya hapo wao wenyewe ndio watasambaza huo ujumbe na screenshot. Jinsi wanapika ndio ujumbe unasambaa, sawa??
Indonesia
72
144
1.2K
61.3K
P.PIO retweetledi
SIR TIVA
SIR TIVA@Sativa255·
Kumbe tunavyopiga spana WAANDISHI zinafika KUNAKO. Leo wametema Nyongo vizuri sana. Shida majibu ndio yametoka ya KIPUMBAVU.
40
206
1.8K
33.4K
P.PIO retweetledi
Lubasha Jr
Lubasha Jr@MarekaMalili·
Taasisi zote credible Duniani zinakupelekea moto, hii ni zaidi ya gangbang 🙌🏼.
Filipino
55
166
1.4K
37.8K
P.PIO retweetledi
Joseph Mbilinyi
Joseph Mbilinyi@TheRealJongwe·
TAARIFA : Mimi binafsi kama MTANZANIA/MTANGANYIKA , nachagua kusema kuwa SIHUSIKI wala SIWAJIBIKI kwa chochote alichoongea GIRISHONI kwenye so called PRESS yake. Hajaongea kwa NIABA yangu! @cnn @larrymadowo NB: My EXPOSURE is too big to be PART of that EMBARRASEMENT, nakataa kuwa KITUKO🙏🏾 #NotInMyName #MKRISLAMU #TaifaKwanza
Filipino
66
493
2.5K
56.4K
P.PIO retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Vijana wa Tanzania Asante sana kwa kukataa agenda ya udini ya watu waliolipwa… Vijana Watanzania wanataka fursa za ajira, wanataka elimu bora, wanataka nyumba nzuri kama watoto wenu wanazoishi. Wanataka kwenda likizo nje na familia zao kama nyie mnavyofanya, wanataka matibabu mazuri kama nyie mnayofuata ulaya na kwingineko.. Wanataka miundombinu bora kwaajili ya kusafirisha mazao yao. Nchi yetu ina rasimali za kutosha kuwapa ubora wa maisha.. Nchi pekee yenye Tanzanite duniani, mbuga bora, ardhi nzuri, dhahabu , makaa ya mawe, chuma, bandari Almas na vingine vingi. Mnaiba future zao, Mnawaua wanapotaka haki.. Alafu mnawaletea hoja mufilisi za udini!!! Vijana wetu wamekataa wana akili wanajua wanachokitaka. Shame on you.
Indonesia
53
600
2.8K
70.8K
P.PIO retweetledi
John Heche
John Heche@HecheJohn·
Kukaa kwenye denial, kudharau Watanzania na kuwaona kama wajinga ndio chanzo cha matatizo. Mnateka watu, mnaua watu wanaohoji utawala wenu. Mnaiba uchaguzi na kujipa vyeo fake bila ridhaa ya wananchi. Leo mnasema watu wanachonganishwa na kulipwa na watu wa nje kwasababu ya rasimali? Mnawaona Watanzania kama hawana akili sio? Lini mmejua kwamba tuna rasimali nyingi? Hizo rasimali zinawasaidia nini Watanzania tofauti ya nyie na familia zenu. Watanzania hawatakubali propaganda rahisi kama hizo, wamekataa udini na hizo propaganda za kitoto watazikataa.
Indonesia
50
417
1.8K
41.9K
P.PIO retweetledi
SIR JEFF⚡🇹🇿
SIR JEFF⚡🇹🇿@Sirjeff_D·
Huu ndio muda sahihi Wakazi angetoa hit song ya kikabe... But his level of intelligence isn’t that high.
Filipino
34
50
812
20.4K
P.PIO retweetledi
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Mbona hatuoneshwi hao waandamanaji waliokuwa na silaha ? Au wanaongelea mawe na sio bunduki? Si mtupe iyo documentary tuone wote
Filipino
89
267
2K
62.2K
P.PIO retweetledi
Madenge
Madenge@rollymsouth·
Mbona waliopewa kesi ya uhaini wote ni watanzania? Wageni hawakushikwa hata mmoja?
Indonesia
115
356
2.8K
92.7K
P.PIO
P.PIO@Obby_5·
@TheRealEkiswaga Hizo mali zilizoharibiwa tayari pesa ya kurekebisha imepatikana na ukarabati unaanza. Vipi kuhusu uhai wa wale waliopoteza maisha,Uhai wao utarudishwa lini?
Indonesia
0
0
2
174
Enock Kiswaga
Enock Kiswaga@TheRealEkiswaga·
Mlio tazama Taarifa ya CNN wameonyesha uharibifu wa Mali uliofanywa siku ya maandamano?
Indonesia
484
11
155
197.8K