Sabitlenmiş Tweet
TheMazeRunner
7.1K posts

TheMazeRunner
@P8Anco
JigSaw
Dar es Salaam, Tanzania Katılım Temmuz 2010
655 Takip Edilen298 Takipçiler

@shaffihdauda1 HAKUNA SHABIK WA YANGA MWENYE AKILI TIMAMU ATAENDA DM YA EDMUND KUMSHAMBULIA..
YANGA HAWANA HIZO ITIKADI...
.
.
SIMBA WALIMSHAMBULIA SANA CHASAMBI BAADA YA KUJIFUNGA
.
SIMBA WALIMSHAMBULIA SANA MANULA BAADA YA ZILE 5.
.
SIMBA KUPITIA MAGORI WALIMSHAMBULIA SANA CAMARA.
SIO YANGA
Indonesia

Calm down Edmund John, najua DM
yako itakuwa bize sana leo wapo watakao kutia moyo lakini wapo pia watakaokusema as if haujawahi kufanya jema
Kukosea kupo na leo umekosea wewe, huu sio mwisho wa career yako stay strong
Ujumbe wangu kwa Wananchi, wachezaji wengi wazuri wamewahi kupotea baada ya kukosea na waliopaswa kuwapa moyo kugeuka na kuwasimanga, Edmund yupo Yanga lakini Taifa linamuhitaji mpeni moyo badala ya kumpoteza

Indonesia

Hadi muda huu wachezaji 7 wanalikosa kombe la dunia kwa majeraha
🇳🇱 Xavi Simons
🇧🇷 Eder Militao
🇧🇷 Estevao
🇧🇷 Rodrygo
🇫🇷 Hugo Ekitike
🇬🇭 Mohammed Kudus
🇩🇪 Serge Gnabry
Kwa sababu ligi haijaisha tuombe tu wasiongezeke wengine , ubaya watu wanakaza sana kutaka ubingwa wengine hawataki kushuka daraja ... 🙌🙌

Filipino

@shaffihdauda1 Dhidi ya Mlandege😆😆😆😆😆... Mechi za CAF alikuwa wapi mpaka timu inamaliza wa mwisho kwenye kundi??🤣🤣🤣....
Alishindwa nini kuwabeba mgongoni makolo mpaka wanachwa 5 points na Yanga??
Indonesia

Neo Gift Maema ! Wakati msimu unaelekea mwishoni anatukumbusha Class yake kuwa kwenye bega lake amewahi kubeba matumaini ya Taifa zima la Afrika Kusini kama Nahodha kiwanjani, kwa nidhamu, uongozi na matendo sahihi mguuni.
Najua Gen-Z mnalala mapema na hata mkiangalia mpira huwa mnachezea sana simu kiasi vitu vizuri vinawapita sasa Kuna goli amefunga Olise juzi kwenye Bundesliga kwenye comeback ya 3-4 na kuna lile alilowafunga Madrid UEFA kama hukuyaona hayo, tafuta goli Bluetooth la Maema Jana
NB: Mali anayo aongeze tu ibada KIUNGO BLUETOOTH

Indonesia

@tagatojtagato Usiwe tahira....
Diarra ndio mchezaj wa kwanza kwenda kulalamika kwa refa?? Au unapayuka tu upate engagement??
Hizo ligi namba 1,2,3 Afrika hakuna wachezaj wanafanya kama Diarra? Pumbuza ujinga
Indonesia

@HamisKittumma @Dominicksalamb1 Makolo mengi kichwan ni ujinga tu
Indonesia

@Dominicksalamb1 AZAM TV walipokufukuza kazi walikua mbele ya muda.
Türkçe

@Dominicksalamb1 Ulifuzwa azam kisa umbea hujui kuchmbua mech
Indonesia

@Dominicksalamb1 Mijinga hua haipendi vita...Makolo yanataka wao tu ndio waseme wenzao, wakiguswa wao MILIO KIBAO...
Nakumbuka yule Guardiola mnene aliwahi shindanishwa na andazi.....Walimaind balaa😁😁🤪
Filipino

@shaffihdauda1 Takwimu zinazohitajika kweny mpira wa miguu ni MAGOLI na POINTS..
.
Shots on target na passes zinasaidia nini kwenye ubingwa😁😁😁..
Arder Guler aliachia mshut umbali wa 68Meters mpaka golini bila passes
Filipino

@PolycarpMDM Kuna movie ya EYE IN THE SKY.. Yule binti muuza mikate aliwaumiza sana waamerika namna kulipua nyumba ya jiran.bila bint kuumizwa.. Ndio hiyo sasa
Filipino

🚨 Shambulio la anga la Israel limepiga jengo lililopo ndani ya eneo la mtambo wa nyuklia wa Bushehr nchini Iran, takriban mita 350 kutoka kwenye kinu cha nyuklia.
Kinu chenyewe hakikuharibika, na hakukuwa na uvujaji wa mionzi wala vifo vilivyoripotiwa.
International Atomic Energy Agency (IAEA) imethibitisha tukio hilo na kuonya kuwa linaweza kuvuka “mstari hatari zaidi” wa usalama wa nyuklia, huku Russia ikiilaani hatua hiyo kuwa “isiyo ya kuwajibika” kutokana na ukaribu wa kinu kinachofanya kazi na eneo lililopigwa na kombora pamoja na uwepo wa wafanyakazi eneo hilo.


Filipino

@shaffihdauda1 Hawana mshambuliaj halisi na bado wamepata goli...
.
Benfica alimfunga Madrid 4 na goli la nne alifunga kipa....
.
Arsenal wana mshambuliaj halisi lakin Eze ana Hattrick....
.
Chambua mpira acha ushabik🧻🧻🧻🧻
Indonesia

Leo ilikuwa nafasi ya Simba kupunguza gap lake na kuwasogelea Yanga kileleni lakini imekuwa tofauti
Kukosekana kwa mshambuliaji halisi kunaendelea kuitafuna Simba, nafasi zinazotengenezwa zinashindwa kutumika ipasavyo
Naiona Simba inabebwa na uwezo wa mchezaji mmoja mmoja zaidi na sio timu
NB: Bado sijashawishika kuwa shabiki wa Baker

Indonesia


@Mzeewajambia Anamuokoa ndio nini??
Unaijua kaz ya kipa??
Unaandka kama FALAHY
Filipino

Article 82: Timu itakayoondoka uwanjani kabla ya mchezo kumalizika bila ruhusa ya mwamuzi itapoteza mchezo husika na kuondoshwa kwenye mashindano..
Article 84: Timu itakayokiuka kifungu cha 82 itapoteza mchezo husika kwa mabao 3:0 ikiwa ni pamoja na kuondoshwa mazima kwenye shindano husika..
Senegal amevuliwa ubingwa wa AFCON 2025 Kwa mujibu wa hizo kanuni na hivyo basi Morocco ndiye bingwa wa Afcon 2025 kwa mujibu wa taarifa iliyotoka jana usiku kwenye vyombo mbali mbali vya habari

Indonesia

@zoetjesheeftX Na unajua mpaka sehem ambazo taa haziwashwi...??
.
Acha kutisha watu
हिन्दी



























