Mwenyeji
50.1K posts

Mwenyeji
@PapaaMandevu
Am not genius am using common Sense.! I believe in God #YNWA #STRIVEFORGREATNESS #DAIMAMBELENYUMAMWIKO

Walter must've been on drugs creating Yahaya's tune!! 🔥


Nimepishana na School Bus bado ina watoto saa 1 hii! Na unaweza kuta walitoka nyumbani kwenda shule saa 12,hawa watoto wanapumzika saa ngapi ?

Kocha Pedro Goncalves amegeuzwa mbuzi wa kafara huko jangwani. Ifike wakati anaefanya scouting ya makocha wa kuifundisha Yanga naye ahukumiwe sasa. Msimu uliopita Yanga ilifundishwa na Makocha watatu na msimu huu tayari Makocha wawili wameondoka.

Makocha wetu huwa wanajifunza hivi ?

Jinsi ya timu kubwa ikiwa na wafaasi milioni 3 kule facebook....asanteni followers mlio ifollpw account ya simba.🦁🔥🔥

Sema YANGA kweli ni Timu ya Wananchi.!!😁










