Paschal Daniel

1.3K posts

Paschal Daniel

Paschal Daniel

@PaschalDaniel13

Mathematics cosaltant,cattle keeper

Mwanza, Tanzania Katılım Haziran 2022
3.3K Takip Edilen1.1K Takipçiler
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@Adventure_36 Aisee wamama Wana mioyo ya kipekee sana,honesty speaking kwenye maisha nimewahi kuzingua pahala pengi sana lkn bimkubwa alinishika mkono picha ya kumdispoint mara nyingi.
Indonesia
0
0
0
23
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
2014 mwanzoni tu mambo yakaanza kubadilika hakajikuta hapati shows tena kila kitu kimekata, akaanza kutumia akiba aliyoweka ndani nayo ikaisha kabisa ikafika wakati akakosa hadi hela ya majani ya chai ya shiling 3000. Maisha yalikuwa magumu sana jamaa ikabid arudi nyumban
Indonesia
2
3
27
1.3K
Adventure-360
Adventure-360@Adventure_36·
Msanii Benpol anasema mwaka 2014 ulikuwa mgumu sana ikapelekea yeye kurudi nyumban kwao na kuanza upya. Benpol alitoka ki mziki mwaka 2010 alitoa hits song kibao kama nikikupata, pete na nk, ikapelekea kupewa tuzo mbalimbali kama mtunzi bora alikuwa msanii mkubwa. Ilivyofika
Filipino
7
15
140
5.6K
Peter Msigwa
Peter Msigwa@MsigwaPeter·
“Ukigundua umepanda treni isiyokupeleka unakotaka kwenda, shuka kituo kinachofuata. Kadri unavyoendelea nayo, ndivyo gharama ya kurudi inavyokuwa kubwa zaidi.” Japanese proverb
Filipino
222
270
2.1K
52.1K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@meamswahili @rioferdy5 Mmekabidhi nchi watu wajinga wajinga,juzi kaja drogba,Tena aje reo Ferdinand,impact ya drogba kuja hatuioni analetwa mwingine kwa pesa zetu hizi hizi
Indonesia
0
0
1
86
MeaMswahili
MeaMswahili@meamswahili·
🚨𝐔𝐏𝐃𝐀𝐓𝐄 Nahodha na beki wa zamani wa Manchester United na timu ya taifa ya Uingereza, Rio Ferdinand @rioferdy5 amethibitisha kuwa atawasili nchini Tanzania tarehe 19 hadi 22 Mei, 2026 kwa ziara maalum. Ujio gwiji huyo umekuja kufuatia mwaliko rasmi na mazungumzo makubwa yaliyofanywa na Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda. #MeaMswahiliUPDATES
Indonesia
8
5
116
6.9K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@McinikaWaLamar Usinikumbushe mwalimu wetu wa practical pale UDSM madam Blenda alitushawishi 2016 tukaenda kwenye semina za forever living pale chuo Cha kilimanjaro institute of technology-Sinza,akaletw mdada ana gari Kali kuja kutoa ushuhuda ili kutumotivate but yalitushinda
Filipino
2
0
1
501
Daktari Wa Manesi 💉💊
Daktari Wa Manesi 💉💊@McinikaWaLamar·
Ndugu yangu, ukikaza ndani ya miezi mitatu hii V8 hapa nje inakuwa yako, cha msingi leta watu wawili na wao walete watu wawili..." 😂 ​Sote tunajua jinsi washkaji wa Network Marketing wanavyovutiaga picha ya maisha ya ghafla!. Ukweli ni upi? Huu ni utapeli au ni fursa halisi ambayo watu hawaielewi tu Tazama hii episode hii, Dr. Ibrahim Chenza amefunguka mengi sana youtu.be/674OAq3b0tg?si…
YouTube video
YouTube
Indonesia
15
38
161
15.5K
𝗭𝗘𝗗
𝗭𝗘𝗗@zed_officially·
*UKIAMBWA “HIVI VINA PESA UTAKUWA TAJIRI” — JIHADHARI.* UNAWEZA KUISHI MAISHA YOTE UKISUBIRI MAFANIKIO YASIYOKUJA. *Hizi ni sehemu wengi wanapoteza muda na pesa wakidhani ni fursa. lakini ukweli wake huu hapa: 1. Forex Watu wanaona screenshots za profit na motivation, 🧵
Indonesia
17
31
83
17K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@OfficialMkapa Bro hela Iko hivi ukiwepo huwa inatafuta matatizo itoke,ikiisha na matatizo yanaisha,so usipoipa KAZI itajitafutia yenyewe
Filipino
0
0
0
94
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@WideEdson Anza na ulichonacho ukisubiri viwe vingi hutoweza kuvisave viwe vingi utajikuta umegaili tu
हिन्दी
0
0
0
7
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Wengine wanaanza mama ntilie 🍛 bila aibu… wengine wanasubiri mtaji mkubwa ili waonekane “serious”. Kati ya kuanza sasa na kusubiri perfect moment—nani yuko mbele?
Filipino
2
10
44
795
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@prossoff Achana na demu wa watu na ujiheshimu,wanawake wanapenda kuolewa hivi halafu yy anakata,jiongeze
Indonesia
0
0
0
52
ProsperNow.
ProsperNow.@prossoff·
Hili swali ni jepesi, shambulieni kwa majibu.
ProsperNow. tweet media
Indonesia
78
20
320
22K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@MasaliaTz @emabilly2001 We mdanganye Sasa,bima inafidia tu ukifa lakini ukiacha KAZI watakutafuta mno na utaulipa tu otherwise ni ndani
Indonesia
1
0
1
24
@MasaliaTz
@MasaliaTz@MasaliaTz·
@emabilly2001 Dhamana ya mikopo ya watumishi wa serikali ni mshahara na kila mkopo unaotolewa unakatwa fedha ya bima ya mikopo. Ukiacha kazi na mshahara wako ukakoma benki itatumia fedha ya bima ya mikopo kufidia deni lako. Hakuna atakayekutafuta
Indonesia
1
0
2
35
Beast
Beast@emabilly2001·
Wakuu' Eti ukiajiriwa na serikali na ukachukua mkopo mkubwa let say million 150+ na ukaamua kuresign yani kuacha kazi huo mkopo inakuwaje. Naombeni majibu kabla sijatoa boko
Indonesia
27
4
161
20.1K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@WideEdson Ukiendesha mwenyewe pesa ipo,nimewahi kumiliki bajaji mbili Moja nilimpa jamaa akawa anaendesha from buzuruga to kiloleli na nyingine from pasiansi to nyasaka msumbiji lakini niliambulia maumivu makali,usirogwe ukakabithi mtu akuletee hesabu litakukuta jambo
Indonesia
1
0
1
144
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Hatimae nimemaliza kufanya malipo ya kujiunga na Chama (UWB) Mwanza. Nimebakiza kesho kupeleka barua ya utambulisho kutoka kwa M/kiti na mambo mengine kama passport n. k Total malipo nimelipa 210000/= Hivyo vingine nikifanikiwa kupata chombo ntapewa kama namba na kitambulisho.
Indonesia
4
14
101
3.3K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@techiehub_28 It is headache,four days I'm trying to practice but nothing I have understood
English
1
0
1
42
Rofiah | E-Commerce & Growth Analyst
Data Cleaning in Excel will test your patience but no panic. Especially when you had to do it manually 😑😪.
English
5
8
48
1.4K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@WideEdson Kama pesa ipo weka update mkopo buthakikisha unanunua Bajaji aina ya TVS na uendeshe mwenyewe hapo sawa lakini kama unapanga kumpa mtu Nina habari mbaya kwako,kingine uwe na source nyingine ya kukuingizia kipato ili siku mambo magumu ikisaidie kurejesha pesa
Indonesia
1
0
5
803
MJUKUU (Fan)
MJUKUU (Fan)@WideEdson·
Wakubwa nimeenda kwenye ofisi za mikopo pale NMB Pamba Road, Miongoni mwamasharti ya kupata mkopo wa bajaji ni lazima utoe aslimia 20% Ambayo mfano kama bajaji unayotaka kukopa itakua na thamani ya M10 maana yake lazima utoe M2 ambayo ndio aslimia 20% Mnanishaurije apo? 🤔
Indonesia
11
9
167
11.1K
Duru | Data Analytics
Duru | Data Analytics@DuruOzii·
Data Analytics will take us places we never dreamt about🙏
English
8
10
48
949
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@Mudimabiriani Tatizo connection za namna ya kuja huko,nafundisha math kwenye shule za serikali but Sina furaha kabisa na hii KAZI kwa huku
Filipino
0
1
1
128
Mudi Mabiriani in Dubai
Mudi Mabiriani in Dubai@Mudimabiriani·
Kama wewe ni mwalimu na una Bachelor Degree kufundisha shule hapa Dubai mshahara wako unakuwa Dirham 10000-15000 na zaidi unapewa nyumba ya kuishi +viza + medical na benefits kadha wa kadhaa Tena huyo ndo common Teacher hapo bado hujapiga mishemishe zako za TUITION baada ya kazi
Indonesia
12
24
356
18.2K
Godsent Ndoma
Godsent Ndoma@Godsent_Ogar·
Disappear for Six Months • Learn SQL • Learn Excel • Be disciplined • Stay hydrated • Learn PowerBi • Build a portfolio • Eat healthy meals • Go for daily walks • Learn Data modeling • Learn Data visualisation • Focus on your own goals You will return as a Data Analyst.
English
11
45
421
12.6K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@amosuibk What if some ona has bachelor of science with education majoring mathematics and physics but also has skills of excel,SQL ,power bi?
English
0
0
0
453
Ibukun Amosu 🇳🇬🇬🇭
We’re Hiring: Data Analyst (Entry-Level) We’re looking for a detail-oriented and analytical Data Analyst to join our team. This role is ideal for recent graduates passionate about turning data into actionable insights. Requirements: - Bachelor’s degree (First Class or Second Class Upper) in a relevant field (e.g., Statistics, Mathematics, Computer Science, Economics, etc.) - Candidates with a Second Class Lower (2:2) must possess a recognized Data Analysis certification - Strong skills in Excel, SQL, and/or Python (preferred) - Basic knowledge of data visualization tools (e.g., Power BI, Tableau) - Good problem-solving and communication skills If you’re eager to grow your career in data, we’d love to hear from you. Qualified candidates should send their CVs to recruitmentng@opay-inc.com
English
15
34
189
21.5K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@njiwapori_ As long as ana experience awe na utulivu kazi atapata tena
Indonesia
1
0
0
148
Njiwapori 10k
Njiwapori 10k@njiwapori_·
Kuna mchizi alikuwa anafanya kazi GGM bahati mbaya kafukuzwa kazi. Mke kamkimbia kamuacha na watoto wawili mmoja bado mdogo sana. Jambo la msingi ambalo vijana inatakiwa tulielewe hasa sisi tuliooa tukiwa na vibarua tayari ni kuwa: Kwa asilimia kubwa huyo mwanamke yupo na wewe kwasababu unayo hiyo kazi ila ikikutoka na yeye anakutoka.
Filipino
14
20
154
13K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@RickyJaduong86 Naona uchaguzi umeshaisha na mama Hana Tena uchaguzi mwingine,machawa wametupwa huko,hakuna tena mchuzi,atarudi kuanza kuitetea chadema,huyu naye kumbe ni mganga njaa tu.
Indonesia
0
0
3
887
Punch-UDSM90
Punch-UDSM90@RickyJaduong86·
NAONA Didier Mlawa aka Kigogo 2014 kazaliwa upya! GHAFLA anautandika utawala na Ikulu ya SSH kila kona. Kwamba mlipaji KAACHA kulipa baada ya UCHAGUZI au Katokewa na Roho wa Mungu? Whichever way, yetu Macho
Indonesia
22
16
319
26.9K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@tagatojtagato Huyu Tanja Siyo kipa kabisa wa kumshindanisha na kina Camara au diara,Kuna wakati anafungwa magoli ya kijinga sana
Filipino
0
0
0
17
Tagato James 
Tagato James @tagatojtagato·
🚨SIMBA KWENYE MTEGO WA KASALI-CAMARA Inahitaji shule kidogo kugundua tofauti ya daraja/ubora kati ya Tanja Kassali na Moussa Camara Zitakuwa hesabu za hovyo kumuacha Moussa Camara ‘Pinpin’ ili kumbakiza Kassali Baada ya Manula, Camara ni kipa bora zaidi Simba wamewahi kuwa nae
Tagato James  tweet mediaTagato James  tweet media
Indonesia
18
9
349
11.1K
Paschal Daniel
Paschal Daniel@PaschalDaniel13·
@IAmHaule Babu e Kuna mwamba Mmoja anafundishaga forex jamaa anapost mara Yuko Dubai,yaani mazingira ya post zake zote ni unyama,hapo anakutumia na ushuhuda ya watu aliowafundisha Sasa hivi Wana trade kwa faida,yaani kidogo nijae ila nikajiuliza si a trade mwenyewe tu aingize pesa?
Indonesia
0
1
5
221
IAmHaule
IAmHaule@IAmHaule·
NAMNA WAUZA KOZI WANAVYOTEKA AKILI YAKO . Kuna watu wanashangaa. “Inakuaje niliamua kulipia kozi haraka hivi?” Jibu ni rahisi: Sio wewe ni dhaifu — ni mbinu walizotumia zilikuwa kali. Wauza kozi wengi wazuri hawauzi kozi tu, wanauza hisia ndani ya akili yako. 🧵
IAmHaule tweet media
Indonesia
21
34
114
9.3K