
@mshighativ @mangekimambi Kwamba hiyo inatoa kibali kwa USA kuua watoto Iran? Hayo mambo ya ndani ya nchi watamalizana wenyewe kwa wenyewe! Mbona hawakuja huku kushambulia wananchi kisa polisi waliua waandamanaji? Ndo ujue hiyo ni vita ya maslahi!
Indonesia



























